Mi sio mwenzenu tena kwaherini wote

Mi sio mwenzenu tena kwaherini wote

Ni juzi juzi tu sio siku nyingi nilitoka mwanza kuja dom kuchek mishe si unajua tena life sio kukaa na kukalili sehemu moja

Mambo sio mambo jana yakawa mambo mtoto wa kitaa nimekutana na bonge la zar pale maeneo ya bunge upande wa pili nilikutana na dada mmoja mkali balaa yaan ni kisu balaa kitu ngoz nyeupe si unajuaga tena sisi kabila letu tunapendaga ngoz nyeupe

Mtoto sikuogopa kumufata nikaomba namba nikapewa jana hiyo hiyo nikapiga mistari kitu kikaingia lain leo asubuhi nimekula mzigo kiulain sana mtoto anafanya kaz ofisi ya bunge ana mshahala mzur tu leo kanitoa 50 ya kula kaenda kazin nami nikarud gheto kulala

Saiv natumiwa msg kila dakika mara kanimis sana mara najua mambo yaan ni balaa tupu naogopa kumupeleka gheto kwangu coz mi nalala chini afu ndo niko naanza maisha

Ukweli ananizid umuri lakin mi sijali nakula vitu vizur na mtoto mzur baadae mkitaka picha nitawatumia

Polen sana masela mimi siyo mwenzenu tena shauri zenu hamunaga hata bahati ya kupendwa
Mnasahau ukimwi Ni hatari kwa kuhongwa haya magari majumba na mavumba baadae afya zinayumba
 
Nanyupu kwa kugha ya kwetu ni sehem ya kutolea kinyesi
 
Nna uhakika asilimia 100% baada ya miezi michache tu utawaomba mods wakusaidie kuufuta huu uzi! Si kwa utoto huu!
 
Dogo, acha kuvutia bange chooni. Mwishoe utavaa pedo kichwani.

-Kaveli-
Bange za chooni za kisenge sana afu uwe na eaphone masikion na mdundo Wa maana yaani ukitoka hapo ukiandika jambo lazma ufikiliwe Mara zote
 
Ni juzi juzi tu sio siku nyingi nilitoka mwanza kuja dom kuchek mishe si unajua tena life sio kukaa na kukalili sehemu moja

Mambo sio mambo jana yakawa mambo mtoto wa kitaa nimekutana na bonge la zar pale maeneo ya bunge upande wa pili nilikutana na dada mmoja mkali balaa yaan ni kisu balaa kitu ngoz nyeupe si unajuaga tena sisi kabila letu tunapendaga ngoz nyeupe

Mtoto alikua na vx jeusi kali hatari sikuogopa kumufata nikaomba namba nikapewa jana hiyo hiyo nikapiga mistari kitu kikaingia lain leo asubuhi nimekula mzigo kiulain sana mtoto anafanya kaz ofisi ya bunge ana mshahala mzur tu leo kanitoa 50 ya kula kaenda kazin nami nikarud gheto kulala

Saiv natumiwa msg kila dakika mara kanimis sana mara najua mambo yaan ni balaa tupu naogopa kumupeleka gheto kwangu coz mi nalala chini afu ndo niko naanza maisha

Ukweli ananizid umuri lakin mi sijali nakula vitu vizur na mtoto mzur baadae mkitaka picha nitawatumia

Polen sana masela mimi siyo mwenzenu tena shauri zenu hamunaga hata bahati ya kupendwa
Beira mdogo wangu, si juzi ulikuja na uzi wa kwenda shule weee, au umebadikika na kuwa chokoraa tena
 
Hahaha yaani nikafikiri umepata kazi aisee, kumbe umariyoo ndio unakuja kuturingishia hapa,

Ila kweli wewe sio mwenzetu tena maana sisi sio mariyoo kama wewe , endelea kulala kwakutegemea pesa za demu , sisi tunazichanga na tumatumia tunavyo taka sio kusubiri kupewa
 
Back
Top Bottom