Miafrika ndivyo tulivyo. Inashangaza sana akili hii ya Serikali

Miafrika ndivyo tulivyo. Inashangaza sana akili hii ya Serikali

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Hata aibu hawaoni. Halafu kuna mtu anakuja anazungumzia mabeberu sijui na nini. Hebu soma hapa. Uliza hao wanaoenda Qatari ni wazungu? Kama ni waafrika waulize wanaenda kwa pesa zao?
Screenshot_2022-10-26-16-53-49-912_com.instagram.android~2.jpg


Unasoma unagundua wanametengewa bajeti na Serikali. Wanaenda Kombe la Dunia Qatar watu 327. Wanatumia kodi za walalahoi kwenda kutembea. Na hapo wameshachaguana si kwamba wanaenda tu....its a tour or picnic kila mtu ana blanket chapa mtu.

Kama mkeo yupo kwenye huo msafara usifurahie anapata per diem. Elewa huko pia anaenda kuwa per diem ya mtu flani. Hii miana siasa ya kiafrika unagundua asilimia 90 plus ni mishetani in human disguise. Haina uchungu na maisha ya kina mama wanaoteseka kuchota maji mbali, wanaofariki wakati wa kujifungua, maisha magumu, elimu na matibabu dhaifu.

"Miafrika ndivyo ilivyo"
 
Nawaza tu, neema kama hiyo ingekupitia, bado ungekemea kwa lugha kali hivyo hivyo? Japo sitetei upigaji, lakini, ndo dunia ilivyo. Kila mtu anatafuta pa kumsogeza mbele, na linapokuja suala la fedha za walala hoi, ni wachache sana, narudia, wachache sana watazionea aibu. WE ARE WHO WE ARE
 
Yani Mungu kama kweli yupo anaonekana ni mbaguzi namba moja, haiwezekani waafrika tutofautiane na watu wengine kwa kiwango hiki.
 
Kosa kubwa alilolifanya Mungu ni kumuumba Mwafrika. Alikose sana tena sana! Mungu kwa kipengele hicho alikosea.

Hawa hakuna mwaka wataleta Kombe ni ujinga tu. Watu 324 kwa kazi gani? Kijiji chetu hakizidi watu 300, leo kijiji kizima kinakwenda kutembea.
 
Kosa kubwa alilolifanya Mungu ni kumuumba Mwafrika. Alikose sana tena sana! Mungu kwa kipengele hicho alikosea.

Hawa hakuna mwaka wataleta Kombe ni ujinga tu. Watu 324 kwa kazi gani? Kijiji chetu hakizidi watu 300, leo kijiji kizima kinakwenda kutembea.
Just imagine....yaani sisi miafrika ni mijitu ya hovyo sana. Hapo ulikute limtu linawapondea wazungu...na kulaumu wanatufanya tuwe maskini....inaumiza sana....miafrika ina UNYANI MWINGI SANA
 
Kosa kubwa alilolifanya Mungu ni kumuumba Mwafrika. Alikose sana tena sana! Mungu kwa kipengele hicho alikosea.

Hawa hakuna mwaka wataleta Kombe ni ujinga tu. Watu 324 kwa kazi gani? Kijiji chetu hakizidi watu 300, leo kijiji kizima kinakwenda kutembea.
Just imagine....yaani sisi miafrika ni mijitu ya hovyo sana. Hapo ulikute limtu linawapondea wazungu...na kulaumu wanatufanya tuwe maskini....inaumiza sana....miafrika ina UNyani mwingi sana.
 
Hata aibu hawaoni. Halafu kuna mtu anakuja anazungumzia mabeberu sijui na nini. Hebu soma hapa. Uliza hao wanaoenda Qatari ni wazungu? Kama ni waafrika waulize wanaenda kwa pesa zao?
View attachment 2398512

Unasoma unagundua wanametengewa bajeti na Serikali. Wanaenda Kombe la Dunia Qatar watu 327. Wanatumia kodi za walalahoi kwenda kutembea. Na hapo wameshachaguana si kwamba wanaenda tu....its a tour or picnic kila mtu ana blanket chapa mtu.

Kama mkeo yupo kwenye huo msafara usifurahie anapata per diem. Elewa huko pia anaenda kuwa per diem ya mtu flani. Hii miana siasa ya kiafrika unagundua asilimia 90 plus ni mishetani in human disguise. Haina uchungu na maisha ya kina mama wanaoteseka kuchota maji mbali, wanaofariki wakati wa kujifungua, maisha magumu, elimu na matibabu dhaifu.

"Miafrika ndivyo ilivyo"
Duh !!
 
Wewe ndio liafrika na ndio ulivyo, usi generalized watu[emoji2959]
Kama wewe lijinga ni lijinga mwenyewe walahi!
Usituumbe kwa lidomo lako [emoji3062]
Koma!
 
Hata aibu hawaoni. Halafu kuna mtu anakuja anazungumzia mabeberu sijui na nini. Hebu soma hapa. Uliza hao wanaoenda Qatari ni wazungu? Kama ni waafrika waulize wanaenda kwa pesa zao?
View attachment 2398512

Unasoma unagundua wanametengewa bajeti na Serikali. Wanaenda Kombe la Dunia Qatar watu 327. Wanatumia kodi za walalahoi kwenda kutembea. Na hapo wameshachaguana si kwamba wanaenda tu....its a tour or picnic kila mtu ana blanket chapa mtu.

Kama mkeo yupo kwenye huo msafara usifurahie anapata per diem. Elewa huko pia anaenda kuwa per diem ya mtu flani. Hii miana siasa ya kiafrika unagundua asilimia 90 plus ni mishetani in human disguise. Haina uchungu na maisha ya kina mama wanaoteseka kuchota maji mbali, wanaofariki wakati wa kujifungua, maisha magumu, elimu na matibabu dhaifu.

"Miafrika ndivyo ilivyo"
Duh!

Iliyonitisha ni hiyo "per diem" mkuu 'Komeo la Chuma'.
Naona jina lako linaakisi vyema kabisa fikra.

Kwa kweli namba ya hao wahusika inatisha, lakini isingekuwa hivyo, heshima ya timu ya Senegal inafahamika katika dunia ya mchezo huo.

Unajuwa, hii si michezo tu inapokuja kwenye maswala ya nchi. Senegal imejijengea heshima kubwa sana duniani kwa wachezaji wake na mchezo huo. Hili siyo jambo la kubeza hata kidogo.

Kama hiyo bajeti imepangwa kuleta ufanisi zaidi na siyo kwa mambo kama hayo uliyoyataja wewe, sioni tatizo sana.

Hapa kwetu pesa kama hiyo hata hujui imekwenda wapi. Inapotea kimya kimya tu, na huoni matokeo yoyote.
 
Kosa kubwa alilolifanya Mungu ni kumuumba Mwafrika. Alikose sana tena sana! Mungu kwa kipengele hicho alikosea.

Hawa hakuna mwaka wataleta Kombe ni ujinga tu. Watu 324 kwa kazi gani? Kijiji chetu hakizidi watu 300, leo kijiji kizima kinakwenda kutembea.
EeeenHeeee!

Mungu atakuwa amekosea kukuumba wewe peke yake na watu wa aina yako tu basi.

Hujui hao watu 300 wanatokana na nini na wala hujui watakachokuwa wakijishughulisha nacho wakiwa huko, halafu unakuja hapa na kutoa mapovu!

Unaujuwa mkakati wa Senegal katika mchezo huo wa mpira?
Ukiambiwa wengi wa hao wanaokwenda huko ni vijana wanaoandaliwa kuwa mabingwa katika mchezo huo utasemaje?
 
Just imagine....yaani sisi miafrika ni mijitu ya hovyo sana. Hapo ulikute limtu linawapondea wazungu...na kulaumu wanatufanya tuwe maskini....inaumiza sana....miafrika ina UNyani mwingi sana.

Epidomea​

 
Back
Top Bottom