Miaka 10 maandalizi ya sensa lakini hadi sasa vifaa vya sensa hakuna. Hii ni aibu kwa taifa, aibu kwa Serikali

Miaka 10 maandalizi ya sensa lakini hadi sasa vifaa vya sensa hakuna. Hii ni aibu kwa taifa, aibu kwa Serikali

polokwane

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2018
Posts
3,361
Reaction score
5,842
Hii nchi ina mambo ya aibu sana mawaziri wote wapo kimya utadhani wamemsusia mama Samia nchi mambo ya hovyo hovyo ambayo hata mwananchi wa chini kabisa anaona.

Makarani wameanza kazi jana hawana kifaa hata kimoja, zaid ya tablet ambazo na zenyewe naambiwa ni tia maji tia maji.

Tablet zinazo tumiwa na makarani ni za kiwango cha chini sana lakini nasikia zimeandikiwa pesa ndefu wakati huo kuna watu wanajiita TAKUKURU wapo kuna usalama wapo sasa sijui kazi zao huwa ni zipi kama madili ya kuiba fedha za umma yapo mengi tuu na wao wapo tu.

Makarani wengine hawajalipwa pesa zao hadi sasa na wengine wamepunjwa kwenye pesa ya chakula.

Hii nchi inahitaji reform kubwa sana vinginevyo wananchi wa chini tutaendelea kuumizwa kwa tozo na kodi za hovyo hovyo huku wenzetu huko juu wakineemeka na kusaza.
 
Hii nchi inahitaji reform kubwa sana vinginevyo wananchi wa chini tutaendelea kuumizwa kwa tozo na kodi za hovyo hovyo huku wenzetu huko juu wakineemeka na kusaza
Muhimu Sana
 
Ebu eleza vtu vizur acha ushabiki toa maelezo yene kueleweka na wasio jua wajue nn ttzo
Ela za chakula shingap walipaswa kupewa na wamepewa kias gan?
Pesa za posho na kaz nzima ya sensa walipanga walipwe kias gan na wamelipwa vp
Vitendea kazi ambavyo vinaitajika na havijapatikana ni vp ambavyo mawakala wanalalamikia
Tuache chuki za hovyo na km kuna ttzo sehemu tulieleze sio kuongea kishabiki

Sensa inafanyika Tz nzima mnataka kutwambia pesa ya chakula anayopewa mtu wa singida ni sawa na yule wa Arusha
Je malipo ya wakala wa Mtwala ni sawa na malipo ya mtu wa Dar es salaam
 
Ebu eleza vtu vizur acha ushabiki toa maelezo yene kueleweka na wasio jua wajue nn ttzo
Ela za chakula shingap walipaswa kupewa na wamepewa kias gan?
Pesa za posho na kaz nzima ya sensa walipanga walipwe kias gan na wamelipwa vp
Vitendea kazi ambavyo vinaitajika na havijapatikana ni vp ambavyo mawakala wanalalamikia
Tuache chuki za hovyo na km kuna ttzo sehemu tulieleze sio kuongea kishabiki

Sensa inafanyika Tz nzima mnataka kutwambia pesa ya chakula anayopewa mtu wa singida ni sawa na yule wa Arusha
Je malipo ya wakala wa Mtwala ni sawa na malipo ya mtu wa Dar es salaam
Fact
 
Ebu eleza vtu vizur acha ushabiki toa maelezo yene kueleweka na wasio jua wajue nn ttzo
Ela za chakula shingap walipaswa kupewa na wamepewa kias gan?
Pesa za posho na kaz nzima ya sensa walipanga walipwe kias gan na wamelipwa vp
Vitendea kazi ambavyo vinaitajika na havijapatikana ni vp ambavyo mawakala wanalalamikia
Tuache chuki za hovyo na km kuna ttzo sehemu tulieleze sio kuongea kishabiki

Sensa inafanyika Tz nzima mnataka kutwambia pesa ya chakula anayopewa mtu wa singida ni sawa na yule wa Arusha
Je malipo ya wakala wa Mtwala ni sawa na malipo ya mtu wa Dar es salaam
Braza jiongeze,hata mabalozi wanaotembea na makarani wamegoma sababu wameambiwa watalipwa elfu tano kwa siku( yaan chukulia mzazi wako azurure kuanzia saa 2 asubuhi mpaka 11 jion kwenye jua kali alafu apewe hiyo hela!!!!)

Pili mpaka sasa reflectors, chalks na daftar hawajapewa,wilaya nyingi makarani wa sensa hawajalipwa FEDHA ZA NAULI WALIZOTUMIA KIPINDI CHOTE CHA SEMINA..
 
Braza jiongeze,hata mabalozi wanaotembea na makarani wamegoma sababu wameambiwa watalipwa elfu tano kwa siku( yaan chukulia mzazi wako azurure kuanzia saa 2 asubuhi mpaka 11 jion kwenye jua kali alafu apewe hiyo hela!!!!)

Pili mpaka sasa reflectors, chalks na daftar hawajapewa,wilaya nyingi makarani wa sensa hawajalipwa FEDHA ZA NAULI WALIZOTUMIA KIPINDI CHOTE CHA SEMINA..
Tuwekeni uzalendo mbele tusifanye kazi kwa maslahi aliskika mama mmoja top wa sensa akisema ivo
 
Nadhani hii si habari ata kidogo, kila kitu kingeenda sawa ingekuwa habari kubwa zaidi. Tumekubali kuolewa sharti tulale utupu
 
Back
Top Bottom