Miaka 10 maandalizi ya sensa lakini hadi sasa vifaa vya sensa hakuna. Hii ni aibu kwa taifa, aibu kwa Serikali

Miaka 10 maandalizi ya sensa lakini hadi sasa vifaa vya sensa hakuna. Hii ni aibu kwa taifa, aibu kwa Serikali

Kiukweli sijajua wanaoratibu zoezi la sensa uwezo wao wa kufikiria na kufanya kazi ukoje ,imagine tokea mwaka mzima watu wanafanya maamdalizi ila hakuna kilichofanikiwa mpka leo tofauti na promotion.

Mfumo bado haukakaa stable tablet zao majanga sidhani kama kwenye idara ya IT kulikuopo na mafunzo ya kujitosheleza au research kuhusu vifaa gan vitafanya kazi na mfumo .

Serikali ijiandae kupoteza data nyingi kutokana na mambo yanavyoenda .Sijui nani asimame kukemea uozo unaondelea .

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
.......

Makarani wameanza kazi jana hawana kifaa hata kimoja, zaid ya tablet ambazo na zenyewe naambiwa ni tia maji tia maji.

......
Vifaa gani tena kama si tablets. Unataka wabebe na masanduku! Kitu hujui uliza. Zamani tulibeba EA maps, sasa zipo ndani ya tablet. Tulibeba kalamu, rula penseli na kifutio, questionnaires as enumerators. Sasa wanabeba tablets.
 
Kiukweli sijajua wanaoratibu zoezi la sensa uwezo wao wa kufikiria na kufanya kazi ukoje ,imagine tokea mwaka mzima watu wanafanya maamdalizi ila hakuna kilichofanikiwa mpka leo tofauti na promotion.

Mfumo bado haukakaa stable tablet zao majanga sidhani kama kwenye idara ya IT kulikuopo na mafunzo ya kujitosheleza au research kuhusu vifaa gan vitafanya kazi na mfumo .

Serikali ijiandae kupoteza data nyingi kutokana na mambo yanavyoenda .Sijui nani asimame kukemea uozo unaondelea .

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Unabwabwaja tu kijana.
 
.
IMG-20220810-WA0003.jpg
 
Vifaa gani tena kama si tablets. Unataka wabebe na masanduku! Kitu hujui uliza. Zamani tulibeba EA maps, sasa zipo ndani ya tablet. Tulibeba kalamu, rula penseli na kifutio, questionnaires as enumerators. Sasa wanabeba tablets.
Unajifanya unajua wakati hujui kitu chochote kuhusu sensa ya mwaka huu. , mada imekuzidi hii ndio maana unadhani ninapo sema vifaa wewe unajua tablet tuu kwani nani asiyejua kuwa sensa ya mwaka huu wanatumia vishikwambi?
 
Nchi hii tumeshaipiga mnada. Tutaendeshwa kama mkokoteni. Hakuna mtetezi tena.
Bibie wanampelekesha kama gari bovu.
Wanamtengenezea mchanganuo wa manunuzi wa kihuni, na yeye anakubali tu na anaidhinisha fedha.
Kumbe karibu 3/4 ya fedha hizo ni MPIGO tu.
Mzee JIWE ilikuwa ukimpelekea mchanganuo wa manunuzi wa kidili dili unaweza ukakuta unafutwa kabisa kwa sababu yeye mwenyewe alikuwa anajitosheleza kichwani.
 
Madudu kama hayo alafu unasikia kuweni Wazalendo,Uzaendo gani huo,yan wewe unipige Pesa kwenye tozo, alafu mambo ya msingi yanakushinda
 
Hii nchi Chochote kinacho anzishwa na serikali ni vigumu kufaulu , shida ni uongozi, maandalizi hafifu na budget, kila kitu tuna hitaji tusaidie kwahiyo tume kuwa na hiyo mentality kuanzia juu hadi chini.

Sensa ni muhimu, lakini wangeweka utaratibu mzuri kukawa na vituo na mawakala Kwa siku Tano ili watu waende Kwa muda wao , halafu kukawa na siku moja ambayo ni hitimisho Kwa wale ambao hawa kupata muda na hiyo siku ndo inakuwa ni public holiday, lakini Kwa siku moja ya kesho msongamano uakuwa mkubwa, vifaa kutofanya kazi sahihi , mawakala kuzidiwa na kazi, watu wengi hawata hesabiwa, hii nch serikali na viongozi sijui wana shida gani, utadhani hawana elimu, hawana mpangilio, kitu ambacho viongozi wetu hufanya vizuri ni kuongea na unafiki, Hilo viongozi wetu wako sawa sana.
 
Ebu eleza vtu vizur acha ushabiki toa maelezo yene kueleweka na wasio jua wajue nn ttzo
Ela za chakula shingap walipaswa kupewa na wamepewa kias gan?
Pesa za posho na kaz nzima ya sensa walipanga walipwe kias gan na wamelipwa vp
Vitendea kazi ambavyo vinaitajika na havijapatikana ni vp ambavyo mawakala wanalalamikia
Tuache chuki za hovyo na km kuna ttzo sehemu tulieleze sio kuongea kishabiki

Sensa inafanyika Tz nzima mnataka kutwambia pesa ya chakula anayopewa mtu wa singida ni sawa na yule wa Arusha
Je malipo ya wakala wa Mtwala ni sawa na malipo ya mtu wa Dar es salaam
Acha hasira.Au wewe ni mmoja wa waliozipiga hela za sensa?.
 
Back
Top Bottom