Miaka 10 ndani ya JF

Eti huyu ",dada" unauhakika kama ni Dada?
Wewe unauhakika sio "dada"? Tunampa member jinsia kwa anavyojitanabahisha humu yeye mwenyewe na sio kwa member mwingine kumsemea jinsia yake.


Member kasema yeye ni dada kwanini nisimuite dada?

Haujasahihisha ulichotudanganya hapo juu kwamba kaanza kupost mwaka huu nenda kasahihishe umekosea.
 
hahahahah, kweli kabisa huyo ndie aliyeniambia habari za kuingia jamboforums miaka hiyo na akanielekeza namna ya kufungua a/c hahahaha
Huyo Muhenga yuko wapi siku hizi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…