Miaka 10 ndani ya JF

Miaka 10 ndani ya JF

Najua hilo jamanii dear
Ila kama ushaanza kusikia na sauti jamani, nitaambia nini watu mimi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka kwa sauti siwezi kukusaliti hata wewe ni ndugu yangu
 
Umenikumbusha Rajon Rondo wa wakati ule. Alikuwa na pasi za hatari, akikupiga hiyo fake sasa utatamani kuomba sub. Nini Imani nawe ulikuwa machachari kama yeye mpaka ukapewa hilo jina.
Nilikuwa najitahidi kiasi chake...mimi ndio wale ukiniona utanidharau ila tukianza kucheza hutaamini kitakachokupata
 
Back
Top Bottom