Hahaaa sina labda tufungue tuwe tunashea[emoji3][emoji38]Hongera sana! Vip auna aid nyingine? [emoji23] [emoji23]
HahahaWakati Internet Cafe zinaanza hazikua na wale wa vyumba, sasa watu walikua washamba sana! Dah Siku moja Tanga mjini pale kuna Wanafunzi wa Eckenforde wakaja si wakaingia www.worldsex.com wakafungua, kumbe spika volume iko juu! Aaghhh dakika tu utulivu wa Cafe nzima ukaharibika! Hawajui wazimie wapi! Ni miguno tu......
Tufungue basi 😂
HahahahaAsante mkuu....umeipoteza au umeikimbia?!