Miaka 10 ndani ya JF

Miaka 10 ndani ya JF

Hongera mkuu...

Ile kitambo wengi wetu tulisahau password, vile Jambo Forums sehemu kubwa mijadala ilikuwa siasa kwa kiasi kikubwa...

Unajipata mtu ulikuwa unaingia tu kama guest kusikiliza miziki haswa zilipendwa (kwa ile embedded online player, baadaye ilikuja tolewa)..
Wewe besidei lini jamani
 
Back
Top Bottom