Miaka 10 ndani ya ndoa: Ahsante sana mke wangu!

Miaka 10 ndani ya ndoa: Ahsante sana mke wangu!

Huyu mwanachama huwa anapenda sana kutingisha kiberiti

Sasa The Finest inakuwaje kuhusu vile tulivyoongea???
Kadi yako ya ucnachama tumeshakutayarishia.....usijali najua viongozi waandamizi hawatakiwi kuona hii.....:A S wink::A S wink::A S wink:
 
Sasa The Finest inakuwaje kuhusu vile tulivyoongea???
Kadi yako ya ucnachama tumeshakutayarishia.....usijali najua viongozi waandamizi hawatakiwi kuona hii.....:A S wink::A S wink::A S wink:
Sasa inakuwaje, hutaki kushehereka nami katika sherehe hii ya miaka 10 mitakatifu? Anyway, rule namba tatu inakuruhusu kushehereka na ze fainest!:A S 13::A S 13:
 
Sasa inakuwaje, hutaki kushehereka nami katika sherehe hii ya miaka 10 mitakatifu? Anyway, rule namba tatu inakuruhusu kushehereka na ze fainest!:A S 13::A S 13:

Heheheh.....the idea actually is to.........:tonguez:
 
Sasa The Finest inakuwaje kuhusu vile tulivyoongea???
Kadi yako ya ucnachama tumeshakutayarishia.....usijali najua viongozi waandamizi hawatakiwi kuona hii.....:A S wink::A S wink::A S wink:

Ahaaaaa unakumbushia rule namba 3 that is there to stay
 
The idea actually ni kwenda zero pub tunashusha valuer+pepsi+safari wota za kutosha baada ya hapo CHUDA RAHA

Ok....hapo unajaribu kuwapotezea viongozi waandamizi ili wasikuelewe......:A S wink:
 
Usijali kiongozi....nakuahidi kuwa "ur FORMER member" atakuwa kwenye mikono salama kabisa pale kambi ya upinzani.............:tonguez:

Usiusemee moyo wa Beauty muache aseme yeye mwenyewe
 
How blind are u.....? we are not talking about Beauty here.....:mad2:

HA HA HA HA HA HA HA HA HA mbona unawa protect sana members wako wape huru au unaogopa watarudi chama tawala usijali
 
Back
Top Bottom