Miaka 10 ndani ya ndoa: Ahsante sana mke wangu!

Huyu mwanachama huwa anapenda sana kutingisha kiberiti

Sasa The Finest inakuwaje kuhusu vile tulivyoongea???
Kadi yako ya ucnachama tumeshakutayarishia.....usijali najua viongozi waandamizi hawatakiwi kuona hii.....:A S wink::A S wink::A S wink:
 
Sasa The Finest inakuwaje kuhusu vile tulivyoongea???
Kadi yako ya ucnachama tumeshakutayarishia.....usijali najua viongozi waandamizi hawatakiwi kuona hii.....:A S wink::A S wink::A S wink:
Sasa inakuwaje, hutaki kushehereka nami katika sherehe hii ya miaka 10 mitakatifu? Anyway, rule namba tatu inakuruhusu kushehereka na ze fainest!:A S 13::A S 13:
 
Sasa inakuwaje, hutaki kushehereka nami katika sherehe hii ya miaka 10 mitakatifu? Anyway, rule namba tatu inakuruhusu kushehereka na ze fainest!:A S 13::A S 13:

Heheheh.....the idea actually is to.........:tonguez:
 
Sasa The Finest inakuwaje kuhusu vile tulivyoongea???
Kadi yako ya ucnachama tumeshakutayarishia.....usijali najua viongozi waandamizi hawatakiwi kuona hii.....:A S wink::A S wink::A S wink:

Ahaaaaa unakumbushia rule namba 3 that is there to stay
 
The idea actually ni kwenda zero pub tunashusha valuer+pepsi+safari wota za kutosha baada ya hapo CHUDA RAHA

Ok....hapo unajaribu kuwapotezea viongozi waandamizi ili wasikuelewe......:A S wink:
 
Usijali kiongozi....nakuahidi kuwa "ur FORMER member" atakuwa kwenye mikono salama kabisa pale kambi ya upinzani.............:tonguez:

Usiusemee moyo wa Beauty muache aseme yeye mwenyewe
 
How blind are u.....? we are not talking about Beauty here.....:mad2:

HA HA HA HA HA HA HA HA HA mbona unawa protect sana members wako wape huru au unaogopa watarudi chama tawala usijali
 
HA HA HA HA HA HA HA HA HA mbona unawa protect sana members wako wape huru au unaogopa watarudi chama tawala usijali

wewe ukiwa mmoja wapo..... kwani nawe unaogopa?!! :becky:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…