Miaka 10 sasa jukwaani

Miaka 10 sasa jukwaani

Umenifananisha na KakaKiiza ye alipoona mchuchu umekuja na kandambili akawahi kaunta, akajificha. Mchuchu ukajua mi ndo Kiiza... nilipotaka kuuonesha Kiiza ni yupi nikakuta njemba ishatimua. Nami nikaenda zangu kukojoa na kutokomea... Mzee Mtambuzi ndo anajua yaliyojiri baada ya hapo. Maana mzee yule hajuagi kuchagua kabisa...

Hapa mnaniharibia tu kwa Mzigua90 wakati nina kideti naye La Stanza weekend hii...
Kumbe unakimbia watu babu.
 
Sio cha kwangu... Ni KakaKiiza aliingia PM kubebisha mkongwe mmoja hivi... Mkongwe alivyotokea ndo nilijua jamaa lina kipaji cha kujificha. Sijui Celica ilipitia wapi maana nlishangaa tu haipo!
hahahahahaaa.. Naona ndo Siku alistaafu ubazazi
 
Back
Top Bottom