Nasari amepeleka ushahidi TAKUKURU mtuhumiwa mkampandisha cheo takukuru wakapotezea tuhuma
Hata hao wakipeleka ushahidi wa wizi huo wa Lowassa hamtampeleka mahakamani hata kama yuko chadema haimaanishi hana makosa
Mbona
Lema
Msigwa
Sugu
Bulaya
Lissu
Mdee
Mnawapeleka palisi mahakamani
Ugumu wa Lowassa uko wapi?
Chadema walistuka kuwa Lowassa alisingiziwa huo ufisadi
Mulikuwa munawapenyezea taarifa na wasiri wenu ili kummaliza Lowassa
Mungu sio Athumani wala sio faru John
Leo watu wanaojielewa kama Mimi nimegundua ule ulikua uzushi mbona mahakama ya mafisadi haijampeleka Lowassa kolokoloni?
Wapumbavu wanaimba wimbo uleule wa fisadi Lowassa
Hata mtu niliemuamini slaa
Kaiacha chadema kisa fisadi Lowassa
Huko ccm kuna mafisadi wangapi au hao anataka kutuaminisha kuwa wanapambana na ufisadi mbona
Kila siku wanambembeleza fisadi Lowassa arudi ccm?
Wapuuzi tu hawawezi kunielewa