DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Weekend ni bonge la dude
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wengi wa kaliba yake hawajasifiwa sana kama yeye mfano Godzilla, Langa etcHakuwa na maajabu yoyote ni msanii kama wasanii wengine tu.
HUJAFA HUJASIFIWA
Hakuwa na maajabu yoyote ni msanii kama wasanii wengine tu.
HUJAFA HUJASIFIWA
Ngwair alikuwa ana uwezo wa kukupa picha halisi ya mambo ya kitaa.Samahani we Anti uliyevaa shati,
Hivi unaitwa nani,
Naitwa Bahati,
Hivi nilishawahi kukuona wapi?
Acha longolongo we sema una shingapi.
Mkuu Kiranga naomba ukiwa unachangia uwe unanitagi navutiwa sana na madini yako mkuuNgwair alikuwa ana uwezo wa kukupa picha halisi ya mambo ya kitaa.
Yani unaona kabisa story inavyoendelea kama kweli vile.
RIP Cowbama.
Ni ya C PWAA ft. Dully, Ngwair & Ms Trinity.Naikubal Action Dully sykes ft Mangwair ft Ms trinity