Miaka 10 ya Utawala wa Kikwete haya ndo mambo muhimu sana.

Miaka 10 ya Utawala wa Kikwete haya ndo mambo muhimu sana.

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
1. Watu tulikuwa tunapata pesa. Kwa kila namna rais alikuwa hana muda mufuatilia mambo ya mtu. Kila mtu ajiservie hakuna kusumbuana. Kwenye viroba haya, kwenye sandarusi haya... Ushindwe wewe tu kwa aibu, woga au ushamba wako.

2. Aliwahi kuongea jambo la maana moja tu kwenye speech zake. Ndo neno pekee ambalo mpaka leo naona lina maana au fundisho kwenye hotuba zake zoooote.

"akili za kuambiwa changanya na za kwako"

Mbali na hapo kwa kweli ilitaka moyo sana kumsikiliza kikwete. Mara nyingi nlikuwa nalazimika kwa sababu ya kazi zangu nami nakuwa hapo alipo. Hakuwa smart.
 
1. Watu tulikuwa tunapata pesa. Kwa kila namna rais alikuwa hana muda mufuatilia mambo ya mtu. Kila mtu ajiservie hakuna kusumbuana. Kwenye viroba haya, kwenye sandarusi haya... Ushindwe wewe tu kwa aibu, woga au ushamba wako.

2. Aliwahi kuongea jambo la maana moja tu kwenye speech zake. Ndo neno pekee ambalo mpaka leo naona lina maana au fundisho kwenye hotuba zake zoooote.

"akili za kuambiwa changanya na za kwako"

Mbali na hapo kwa kweli ilitaka moyo sana kumsikiliza kikwete. Mara nyingi nlikuwa nalazimika kwa sababu ya kazi zangu nami nakuwa hapo alipo.
Watu kumwagiwa Tindikali mbona hujaeleza????
 
Kauli hii baada ya kustaafu ilionesha uhalisia wa kaulizake pale juu na kwann aliajiri atakavyo

"Mtembea Bure sisawa na MKAA bure'
 
Asilimia kubwa ya Wanachuo waliomaliza baada ya yeye kustaafu wanajilaumu.
 
Kikwete kilikuwa na uhuru wa kupata taarifa za mafisadi
 
Back
Top Bottom