Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

Ni ngumu mno Boss, yaani ule umri ni zaidi ya foolish age
 

Kweli mademu sio watu wazuri.... Wacha nijiunge chaputa tuu huku hela zangu nazichungulia kwenye kibubu changu.

Pole sana m, ee ila vijana wengi wanakoseaga pale wanapopata kazi yenyekulipa vizuri wanaanza mambo ya papuchi... Wakati wa neema ndio muda wakuweka akili sawa na kuishi kimaskini kadri iwezekanavyo hapo ndio utapiga maendeleo.
 

Bora wee unajisemea ukweli kuwa unasasambua papuchi zingine
 
Mitandao imesaidia wengi sana kwa kuanika ukweli na wengi kujifunza kutokana na makosa
Enzi zetu tulijifunza kupitia nyimbo za band mbalimbali ambazo zilikuwa na mafundisho mengi ingawa sio kihivyo kama vijana wa sasa mnavyopata fursa ya kuwaelimisha wengine

Wengi wamebadilika na wengine bado wanaona kama mda bado na kutokuelewa nini maana ya maisha

Big up Mkuu na huu ndio mda wa kutokujiangalia wewe bali wajengee misingi mizuri wanao ili wasihangaike na maisha baadae kwani ni circle of life
Leo tupo na kesho hatupo
 
Kweli mkuu ndicho ninachokimbazana nacho kukifanya kwa sasa
 
Shida inakuja kuishinda hiyo tamaa Kipindi ukiwa na pesa na Uhuru wako katika umri huo
 
Ofcouse ila kademu kangu tulisha achana ukweliukweli..!
 
Shida inakuja kuishinda hiyo tamaa Kipindi ukiwa na pesa na Uhuru wako katika umri huo

Bwana wee yaani hapo ndio changamoto... Maana warembo wenyewe ndio kwanza wanajileta huna shida ya kuwatogonza... Unajiokotea tuu kama mizoga.... Its quite challenging kusema ule ukweli.

Naelewa unachoongea maana ilishanitokea mie dah nilizisasambua ila ndio hivyo tena mihela imepotea kichizi alafu huna la maananumefanya.
 
Mkuu haya mambo ni Kama uteja ni ngumu sana kuyaacha kabisa

Ah mie nilishajichokea na kujaribubfight hiyo temptation... Wacha njwagegede tuu hamna jinsi maana pale kati ni patamu... Kujisemea rais mstaafu... Vijana wanapataka wazee wanapata 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…