Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

Huwa nashangaa sana mtu kujivunia kuwa "mtumishi wa umma" inanifikirisha sana
we jamaa wewe wengine wamemaliza degree tangu2015 huo utumishi wa umma hawajawahi usikia baba zao wameuza mifugo na mashamba ili wawasomeshe sasa hiv wapo wanasaga meno,hawakopesheki,hawana dhamana wakilima mbolea na madawa bei ghali soko la mazao hakuna🙄🙄🙄😴😴ni shida zaidi ya shida viongozi wamebaki kusema wajiajiri angalia kama mbunge na miposho ile analilia ufagizi wa ofisi za ccm je? hawa graduets watajiajiri vipi
 
Huwa nashangaa sana mtu kujivunia kuwa "mtumishi wa umma" inanifikirisha sana
Acha uchoko. Hakuna kazi yenye maana Kama kuwa mtumishi wa umma. JPM mtumishi namba moja wa umma unamzidi nini wewe na ukoo wako mzima?
 
Acha uchoko. Hakuna kazi yenye maana Kama kuwa mtumishi wa umma. JPM mtumishi namba moja wa umma unamzidi nini wewe na ukoo wako mzima?

Mbona kama umepaniki sana. unashindwa hata kujua real game ya "utumishi na siasa" ilivyo.
JPM aliacha ualimu sengerema akaenda kugombea ubunge. Siasa imekufumba sana na unafikiri wewe na magufuli (political figure) wote ni watumishi wa kariba moja na mnatumia sheria moja.

Endelea kuniita choko then "live your paycheck"
 
we jamaa wewe wengine wamemaliza degree tangu2015 huo utumishi wa umma hawajawahi usikia baba zao wameuza mifugo na mashamba ili wawasomeshe sasa hiv wapo wanasaga meno,hawakopesheki,hawana dhamana wakilima mbolea na madawa bei ghali soko la mazao hakuna🙄🙄🙄😴😴ni shida zaidi ya shida viongozi wamebaki kusema wajiajiri angalia kama mbunge na miposho ile analilia ufagizi wa ofisi za ccm je? hawa graduets watajiajiri vipi

Kwa iyo mzee ukimaliza tuu "degree" basi lazima uajiriwe? Mjini hakuna "kazi" ila "shughuli" zipo. Tafuta "shughuli" usitafute "kazi". Hakuna selikali inagawa mitaji haipo,hakuna selikali inaweza waajiri watu laki nne kwa mwaka.
Ukiendelea kutafuta kazi tafuta ila shughuli zipo.
 
Mwaka jana nilikopa Tsh.18.7M ila hata sijui ilifanya kazi gani.?
Usikate tamaa. Kuna jamaa humu jf alinitia moyo kinoma akasema kuwa, yeye anaumiza kichwa afanyaje ili aweze kurudisha deni la 473 million, na biashara zimebuma,
Yani deni analodaiwa yeye ni mara 20 ya deni lako.
Hivyo basi waza kupambana ufanyaje ili urudishe deni....

Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
 
Mshkuru mwenyeezi mungu kwa hali ulizopitia na mwombe msamaha pale ulipojikwaa kwani kwetu bin adam kukosea ni sehemu ya maumbile yetu, lakini kubwa mshukuru saaana mwenyeeezi mungu kwa kukulengesha kwa mke mwema, kwani waswahili tunasema bora ukosee kujenga kuliko kukosea kumpata mke mwema.
 
Mwaka jana nilipata mkopo toka benki flan kiasi cha sh. Mil 13 nakumbuka nilikua nina madeni kama ya mil 8 ya watu tofauti. Sikumbuki hizo hela nilizifanyia nini maana mi sio mtu wa starehe kihvyo na madeni mengne yalikua ni malimbikizo ya mda mrefu.Nikajitahd nikalipa kama mil 7 mengne nikasema ntalipa badae. Mil 6 iliyobaki nikafanya mambo kidgo ya maendeleo pale home ukizingatia nina familia. Chenji iliyobaki sijui ilikata vp. Sasa kinachotokea sahv yale madeni yaliyobaki wanaonidai wamenikalia kooni,hela ya kuwalipa siioni,najaribu kukopa kule nilipe huku lakin bdo mambo ni yaleyale. Hapa nahangaika nipate kama mil 1.5 nimalize vimeo vyote nibaki na deni la benk.
Nina stress sio za kitoto.
 
Kweli mademu sio watu wazuri.... Wacha nijiunge chaputa tuu huku hela zangu nazichungulia kwenye kibubu changu.

Pole sana m, ee ila vijana wengi wanakoseaga pale wanapopata kazi yenyekulipa vizuri wanaanza mambo ya papuchi... Wakati wa neema ndio muda wakuweka akili sawa na kuishi kimaskini kadri iwezekanavyo hapo ndio utapiga maendeleo.
Bro usije huku chaputa kila siku nasema kesho na acha kesho naacha?
 
Mwaka jana nilipata mkopo toka benki flan kiasi cha sh. Mil 13 nakumbuka nilikua nina madeni kama ya mil 8 ya watu tofauti. Sikumbuki hizo hela nilizifanyia nini maana mi sio mtu wa starehe kihvyo na madeni mengne yalikua ni malimbikizo ya mda mrefu.Nikajitahd nikalipa kama mil 7 mengne nikasema ntalipa badae. Mil 6 iliyobaki nikafanya mambo kidgo ya maendeleo pale home ukizingatia nina familia. Chenji iliyobaki sijui ilikata vp. Sasa kinachotokea sahv yale madeni yaliyobaki wanaonidai wamenikalia kooni,hela ya kuwalipa siioni,najaribu kukopa kule nilipe huku lakin bdo mambo ni yaleyale. Hapa nahangaika nipate kama mil 1.5 nimalize vimeo vyote nibaki na deni la benk.
Nina stress sio za kitoto.
Pole sana..
 
Mwaka jana nilipata mkopo toka benki flan kiasi cha sh. Mil 13 nakumbuka nilikua nina madeni kama ya mil 8 ya watu tofauti. Sikumbuki hizo hela nilizifanyia nini maana mi sio mtu wa starehe kihvyo na madeni mengne yalikua ni malimbikizo ya mda mrefu.Nikajitahd nikalipa kama mil 7 mengne nikasema ntalipa badae. Mil 6 iliyobaki nikafanya mambo kidgo ya maendeleo pale home ukizingatia nina familia. Chenji iliyobaki sijui ilikata vp. Sasa kinachotokea sahv yale madeni yaliyobaki wanaonidai wamenikalia kooni,hela ya kuwalipa siioni,najaribu kukopa kule nilipe huku lakin bdo mambo ni yaleyale. Hapa nahangaika nipate kama mil 1.5 nimalize vimeo vyote nibaki na deni la benk.
Nina stress sio za kitoto.
Pole sana
 
mwanagu wa kwanza nimempata nikiwa na miaka 23 tu kwa sasa ana 8yrs
Kwa kuwa hii ulipost mwaka 2020 ina maana sasa hivi una miaka 33.

Mbona bado ni mdogo kabisa (yaani kijana) kuanza kuwa na majuto? Majuto ni mjukuu. Wewe bado hujawa na wajukuu kwa hiyo hebu acha kutupotezea muda na stori za majuto. Maisha yako bado sana. Una miaka takribani 30 ya kuendelea kutafuna warembo.

Hayo uliyopitia sio ya kujutia bali ni umeutumia ujana wako vizuri. Usibabaishwe na vitu kama nyumba kuona wenzako wamejenga. Nyumba unajenga wakati wowote. Lakini nguvu za kuwatafuna warembo kisawasawa kwa namna ambayo unaweka heshima zina mwisho. Ukishafikisha miaka 50 utakuwa huwezi kuwatafuna kisawasawa kwa kuwa maisha yako ni ya ofisini (yaani unakaa tu kwenye kiti siku nzima).

Kwa hiyo jipongeze kwa kutumia ujana vizuri, sio kuja hapa na huu upuuzi eti unajuta kisa tu wenzako wamejenga wewe umepanga. Kujenga utajenga tu wala usikonde. Na usiishi kwa kushindana na mtu.
 
Mkuu kula bata, hapa duniani tunapita kwani unataka kuacha nini?

Hujakosea, kula bata kula bara, kula mpaka kuku waone wivu!!!
Mkuu nilisoma hiki kisa naona jamaa amepita mulemule, Sasa wewe unakuja kunichekesha, acha bana.

Nina 39 Nina watoto nimekaa kwenye utumishi 15yrs na sikuwahi kushereheka.

Nilikula Bata Sana. Chuoni Kwa sie tuliotafuta ajira kwanza kusoma kukawa baadae..nilikuwa na nakula kuku mpaka manyoya. Nikiwa Chuo kikuu ni mwendo wa pombe, Malaya, natomber Malaya wa udsm (nane) wa CBE (saa kumi) wa ifm( saa 12 jioni) ma bar maid usiku) nakumbuka nilishakula air hostess mmoja simjui tumekutana kwenye ndege yaani nilikuwa mlevi nawafunua hukohuki hewani. Nilikuwa nalewa nasahau naishi block lipi hostel. Nakaa Kwa mbali kucheki block la male wanavaa suluari nilitambua block letu Kwa kuangalia jinsia ya mavazi.

Nilikuwa niklipita kwenye kamba zilizoanikwa nguo sipishi Mimi navyoosha tu. Kazi kubwa ilikuwa kujua chumba changu.

Nilikuja kustuka Nina 30++ Sina nyumba, Nina mikopo salary slip Ina page Mbili.

Mikopo ilikwisha nikakopa nikajenga. Naishi kwangu na ninahasira na maisha ya kutegemea mshahara. Nimeanza biashara zinasimama. Tushukuru wanawake wkt mwingine wanaokoa.

Ndgu yetu yeye kula mil 48 ni parefu Sana Mzee. Yaani hapo ulikuwa unanyonywa mb.oo unakula mikundiu. Starehe aliyokula si ya kitoto.
 
Kuna mda huwa tunafanya makosa mengi sana katika maisha tena mengine ya kujitakia kabisa ambayo ukiyakumbuka baadae unayajutia sana. Binafsi kama ningetumia mda vizuri ningekuwa mbali sana sana kimafanikio kuliko nilivo sasa.

Kipindi namaliza O' level baada ya matokeo kutoka nikapangwa Moshi Technical kwa elimu ya Advance, nikabadili kwenda Dar Es Salaam Institute of Technology (DIT) kusoma FTC kwa miaka 3, nilipomaliza tu nikaunganisha degree MIST, nikiwa semister ya kwanza na umri wangu wa 21yrs naelekea 22 MUNGU akawa upande wangu nikaajiriwa nikiwa kijana mdogo kabisa nikiwa na 21 kama technician katika moja ya taasisi inayolipa vizuri sana hapa nchini ikabidi niahirishe chuo kwa mda niingie kwenye ajira hii ilikuwa 2009 mwishoni, kwa kipindi hicho kwa hiyo level yangu nilikuwa nalipwa 840k kama mshahara kwa mwezi, bado kulikuwa na housing Allowance 240k,Transport allowance 200k, posho ya mawasiliano 60k, Lunch 150k na Extra duty ambayo hii tulikuwa tunaingiziwa wafanyakazi wote sawa kila mwisho wa mwezi 350k na bado kukawa na safari nyingi sana ilikuwa ni kawaida kumaliza mwezi sijaona mlango wa ofisi, nakuwa safarini tu huko mikoani site kikazi napambana na per diem kila uchao.

Ofisi ilikuwa inatoa mikopo kwa wafanyakazi wake wapya ya bila riba za kujengea nyumba, kwa level yangu kipindi hicho nilikopeshwa 48m na zikawa zinakatwa kwenye posho na sio kwenye mshahara. Kiukweli kitu ambacho ninakijutia mpaka leo nikikumbuka naumia sana basi ni miaka yangu 4 ya mwanzo kwenye ajira (2009-2012) nilipoteza pesa nyingi sana kwenye mambo ya kijinga kabisa na badala yake nikawa mtu wa hovyo sana kuliko kipindi chochote katika historia ya maisha yangu, nadhani umri na kutopata washauri wazuri pia kulichangia hili, Ile ilikuwa ni zaidi ya "foolish age" nikajikuta nakosa kabisa personal recognition

Nilipopangiwa kituo changu cha kazi nilipewa 3+m za kujikimu, karibia robo tatu za hizi pesa nilitumia kujivinjari na wasichana wa CBE waliokuwa wananitolea nje kipindi cha zamani na kupandisha ndege totoz kwenda kujivinjari mikoani ilikuwa ni jambo la kawaida kwangu na hata nilipopewa pesa ya mkopo wa ofisi sikuweza kufanya la maana kubwa la kuweza kujivunia japokuwa kiasi cha pesa katika huo mkopo nilitumia kuwajengea na kukarabati nyumba ya zamani ya wazazi na mwaka uliofuata nikakopa CRDB tena 15m kupitia mshahara wangu, kipindi nakopa hii pesa nilikuwa nakaribia kwenda likizo yangu ya mwaka na asilimia 80 ya hizi pesa niliitumia kwenye starehe na wanawake kwenye hoteli tofauti tofauti, Sasa nikawa nakatwa kwenye mshahara na posho zinakatwa kulipia madeni ya mkopo nikawa napata kiasi kidogo tu japo kwa matumizi ya kawaida kilikuwa kinatosha kwa kujibana ikizingatiwa wazazi nao tayari nilikuwa tegemeo lao, Nikaanza kuishi kwa kutegemea zaidi per diem za safari za kikazi.

Mwaka 2011 nilimpa mdada mmoja mimba alikuwa anamalizia diploma yake TPSC ikabidi nikae nae kama mke wangu hata hatukufanya harusi mwenyewe hakutaka kabisa japo wazazi wa pande zote walitaka tufunge harusi kanisani na sherehe ifanyike na kiukweli hata uchumi wangu ulikuwa hauruhusu hili nadhani wife alisoma upepo mapema , Nilimshirikisha Mkurugenzi wangu tulichoafikiana na mwenzangu kuhusu ndoa yetu na jinsi ya kupata cheti cha ndoa ili aweze kupata bima ya afya kupitia kazi yangu kama mke wangu halali, Wakubwa wanajuana bhana, usiku wa siku hiyohiyo ananipigia simu akinitaarifu tujiandae kesho yake anakuja kutuchukua tukasaini cheti cha ndoa nadhani ilikuwa ni RITA pale kama kumbukumbu zangu ziko sawa.


Lilikuwa ni jengo la ofisi za mkuu wa wilaya na mle ndani ndo kulikuwa na hizo ofisi za RITA sikujua hata kimelipiwa bei gani hicho cheti tulisaini tu na mashahidi zetu wawili wa pale ofisini akiwemo mkurugenzi na NDOA ikawa tayari imefungwa kwa mtindo huo (hii NDOA sikutumia hata shilling 100, na tulikuwa watu 4 tu, Mimi, wife, mkurugenzi, Dereva wake na Afisa wa RITA aliyetukabidhi cheti na ilifanyika kwa mda usiozidi dk 15) then tukachukua vyeti tukamrudisha wife nyumbani mimi nikaingia kazini kuendelea na majukumu na hapa ndipo maisha mapya yalipoanza.

Mwaka 2012 nikahamishiwa Arusha na kupewa ruhusa ya kuendelea na masomo yangu ya shahada ATC kwa kujilipia mwenyewe, hapa pia ndipo nilipoanza kufeel ule ugumu wa maisha na kuona utofauti kati ya akili ya kikubwa na kitoto.Posho zina madeni, mshahara una madeni, safari zimepungua kwa sababu niko shule nina mke,mtoto wote wananiangalia mimi , maisha yalikuwa magumu sana kwangu kwa kipindi hicho huku nikiona wenzangu tulioajiriwa nao waliokuwa na umri mkubwa kidogo wao wakiwa mbali sana kimaendeleo na wakawa wananishangaa mimi kuona Inawezekanaje kuishi maisha yale ninayoishi na kwa namna ile tunayolipwa huku nikiwa sina majukumu mengi.

Baada ya kumaliza chuo 2015 , ikabidi nijipange upya na mkopo ukawa umemalizikia na hata biashara sikuwa nayo pamoja na kukopa pesa zote hizo na kuugulia maumivu ya mkopo kwa miaka 5 na dogo nae anatakiwa aanze kindergarten na tayari ana mdogo wake mwingine😀😀 MAISHA HAYA. nikaanza kusuka mipango upya utafikiri ndio nimeanza ajira rasmi, Kibaya zaidi kipindi hicho wenzangu nilioajiriwa nao baadhi wako mbali sana, wana familia, wana nyumba nzuri, wana gari na biashara zao wakati mimi nimepanga chumba kimoja tu wakati huo mpaka namaliza masomo yangu ATC😎

Yale maisha na nikiwaangalia wenzangu itabaki kuwa kumbukumbu mbaya kichwani mwangu, uzuri nilitambua baadhi ya makosa yangu mapema nikajipanga upya nikiwa na akili ya kikubwa zaidi kuliko wakati ule, Japo sio sana ila somehow nime - win kidogo, lakini sio kama hatua walizo nazo wenzangu, ningekuwa na akili ya kikubwa kipindi kile ningekuwa mbali, mwaka jana nimetimiza miaka 10 ya utumishi wa umma nikiwa mwajiriwa na naelekea miaka 32 kiumri miezi michache ijayo bado ile kumbukumbu inagoma kabisa kufutika katika fikra zangu.unaweza kudhani natania lakini huu ndio ukweli kiasi ambacho nikikumbuka inaniuma sana hata kuandika hapa nakuwa kama napunguza mzigo wa maumivu wa ujinga wangu niliobeba moyoni

Pamoja na yote, mungu alinionesha mwanamke bora sana kwenye maisha yangu ambae hata sikuwahi kufikiria kumuoa ilitokea kama emergency tu hakuwa kati ya wasichana niliodumu nao kimahusiano kwa mda mrefu wala sikuwahi kumpenda, moyo wangu ulipenda kwingine kabisa na hata kwenye mipango yangu hakuwepo kabisa. Lakini kadri nilivoishi nae nimefahamu KWELI MKE BORA ANATOKA KWA MUNGU, mawazo yake yamebadili KABISA maisha yetu , kuna mda naona kabisa huyu kanizidi uwezo wa kufikiri hapa namzidi pesa tu, ni zaidi ya spiritual woman na mrembo haswa ni kivile tu wanaume huwa haturidhiki lazma tukaonje radha zingine nje.

Japo cheo changu cha Sasa ni kikubwa na mshahara ni tofauti na wa wakati huo, lakini bado ile kumbukumbu inagoma kabisa kufutika kwenye kichwa changu.

Nasherehekea miaka yangu 10 ya utumishi nikiwa na mtazamo mpya kabisa wa kuacha kazi ndani ya miaka 5 ijayo nijikite zaidi kuendesha miradi na biashara zangu nilizofungua ili kufikia malengo yangu niliyojiwekea. Kwa sasa ni baba wa familia, nina watoto kadhaa na mwanagu wa kwanza nimempata nikiwa na miaka 23 tu kwa sasa ana 8yrs anaelekea 9 miezi michache ijayo


Yote hayo yamebaki kama "Yaliyopita si ndwele" yenye historia chungu na maisha mengine mapya lazma yaendelee
Huu ujumbe utasaidia wengi sana mkuu,hii situation ndo nayoface sasa maana niliendekeza ndugu vizinga vingi now sina kazi nakula msoto kitaa.Wazungu wanamsemo wao mmoja "Your best teacher is your last mistake ".

NB:MOJA YA THREAD BORA SANA KUTOKEA HAPA JF.
 
Angalau ulifaidi papuchi.. Mie niliingiza 22M kununua gari ikala mzinga ndani ya mwezi mmoja, nikaishia kuuza screppa Kariakoo.... Huna haja ya kujilaumu.. Mambo yote ni ubatili.
U made my day mkuuu hahahaaa
 
Back
Top Bottom