Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

kisa na mkasa huu inapendeza uwape watumishi wa ummawanaojiunga QNET, AIM GLOBAL, mr. Kuku, weku, na kampuni hizo za Ponzi SCHEME. Wanawaza waje waache kazi eti wao ni mabilionea tayari. Chemsha bongo kabla ujavaagaa ujaduwaaaa
mkuu sijakuelewa, hebu fafanua zaidi
 
Daaah mkuu mimi sina kazi ya maana lakini walau napata kidogo changu, nna maisha kama yako ya zamani Pombe+Nyama+Mademu
Nmekuwa limbukeni sana wa papuchi yani huniambi kitu.
Nafikiri ni stage tuu ambayo wengi tunapitia ila kusanuka ndo inakuwa mtihani mzito yani usanuke uachane na hivi vitu inakuwa too late, kwahiyo nlichojifunza kuweza kuji control uache hizi mambo au mbadala uwe smart sana kuwa na baishara zinazokupa hela ya kufanya starehe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe umeongea nnachowaza mm akilini mwangu, ela ya mshahara + bonas haisimamii shoo za pombe + mademu + starehe nyingine.

Vijana wengi tunapotea tunavotaka kutumia pesa izo za ngama kwenye starehe badala tuwekeze kiasi kidogo cha faida unakula bata, who said matajiri hawali bata?? Mm nachukua lets say 200k naenda nayo bar na mtoto mkali nakula maisha wakati huo huo tajiri kama watoto wa barkhresa, Ahmed huwel wanatumia mamilioni ya pesa kuweka mafuta kwenye sportscars zao wanafanya rally nayo ni starehe inayotumia pesa mingi na vile kibongo bongo wanafanya kwa passion zaidi na sio kutengeneza pesa nyingi.

All in all, hongera umeshtuka mapema, kuacha mechi za nje ni ngumu na pombe ndo balaa especially ukiwa early 30's ndo upo kwenye prime. Wekeza in business utapata faida utafanya maendeleo na utashangaa unafanya starehe bila kuumia moyo.
 
Wewe umeongea nnachowaza mm akilini mwangu, ela ya mshahara + bonas haisimamii shoo za pombe + mademu + starehe nyingine.

Vijana wengi tunapotea tunavotaka kutumia pesa izo za ngama kwenye starehe badala tuwekeze kiasi kidogo cha faida unakula bata, who said matajiri hawali bata?? Mm nachukua lets say 200k naenda nayo bar na mtoto mkali nakula maisha wakati huo huo tajiri kama watoto wa barkhresa, Ahmed huwel wanatumia mamilioni ya pesa kuweka mafuta kwenye sportscars zao wanafanya rally nayo ni starehe inayotumia pesa mingi na vile kibongo bongo wanafanya kwa passion zaidi na sio kutengeneza pesa nyingi.

All in all, hongera umeshtuka mapema, kuacha mechi za nje ni ngumu na pombe ndo balaa especially ukiwa early 30's ndo upo kwenye prime. Wekeza in business utapata faida utafanya maendeleo na utashangaa unafanya starehe bila kuumia moyo.
mkuu umesema vema hata mimi sijasema nimeacha mechi za nje yawezekana hujanielewa vizuri, mawazo yangu yanafanana na yako kwa asilimia kubwa
 
mkuu umesema vema hata mimi sijasema nimeacha mechi za nje yawezekana hujanielewa vizuri, mawazo yangu yanafanana na yako kwa asilimia kubwa
Hahaha nimekuelewa fika mkuu sema nn kiuhalisia mechi za nje zinachukua not less than 65% ya pesa za anasa. Ukiwa na 200k toa 30k logde, yy mpe 30k the least ili akupe buno la maana usawa huu wa jiwe enzi za jk tulikuwa tunawapa 50k hapo umejivunga misosi 30k pombe duuuuh.

Mm ni age mate ila nishamalizana na maswala ya usafiri both kwa mama na mm maswala ya housing kwisha napambana na mradi unaonipa faida kubwa kwaiyo starehe kama kawa, hawa wanahitaji sana support yetu hawawezi olewa wote.
 
Hahaha nimekuelewa fika mkuu sema nn kiuhalisia mechi za nje zinachukua not less than 65% ya pesa za anasa. Ukiwa na 200k toa 30k logde, yy mpe 30k the least ili akupe buno la maana usawa huu wa jiwe enzi za jk tulikuwa tunawapa 50k hapo umejivunga misosi 30k pombe duuuuh.

Mm ni age mate ila nishamalizana na maswala ya usafiri both kwa mama na mm maswala ya housing kwisha napambana na mradi unaonipa faida kubwa kwaiyo starehe kama kawa, hawa wanahitaji sana support yetu hawawezi olewa wote.
hongera mkuu
 
All in all mkuu una bahati sana you get a job with 21 yrs and u paid over 850k,wengine we are approaching 32yrs with no reliable job hata laki 5 it's big deal then unakopeshwa over 45m kwa ajili tu ya ujenz na bado unafanya uhuni, some people are really blessed!

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu haya mambo ni mambo tu ipo siku yako ndugu
 
Back
Top Bottom