Miaka 100 baada ya kifo chako, utazaliwa kwa mara nyingine ukiwa na mwili mpya

Miaka 100 baada ya kifo chako, utazaliwa kwa mara nyingine ukiwa na mwili mpya

Kama ni miaka 2000 ndio umri wa dunia tangu Kristo aje kwahiyo mleta mada kashaletwa duniani mara 20 halafu hakumbuki chochote. Basi huyu atakuwa mjinga mkuu kutokea
 
Tell me about wonder souls .. yan mara utokewe na marehem anakufata au anakupa ujumbe , hapa huwa inakuwaje wakat anapaswa kuwa kwenye period ya kufutika kumbukumbu
 
Tell me about wonder souls .. yan mara utokewe na marehem anakufata au anakupa ujumbe , hapa huwa inakuwaje wakat anapaswa kuwa kwenye period ya kufutika kumbukumbu
Hakuna marehemu anayerudi duniani. Hali ya kutokewa na wafu ni Hallucination ambayo hupelekewa na wasiwasi ama uhusiano wa karibu na nfu huyo, ama malaria iliyokithiri wakati mtu huyo anafariki
 
Baba yangu aliyefariki 2001 , baada ya kufa kwake tukiwa tunawasiliana kwa ndoto mara kwa mara.

Baada ya miaka 15 ya kifo chake aliniaga kwamba roho yake imewekwa kwenye mnyama fulani hapa sitamtaja.

Na akaaniambia wazi hicho ulichokiandika hapo juu.

Hivyo ni kweli kabisa

Hiki kitu nimewahi kusikia kwa watu tofauti kuwa baada ya kifo roho yako inapewa mwili mwengine,sasa hapo itategemea na mwili kama ni wa mnyama au binadamu na huwa inakuwa hivyo kutokana na maisha uliyokuwa unaishi hapa duniani na niliuliza ni Kwann inakuwa hivyo nikaambiwa kakuwa pepo na moto vyote vipo hapahapa Duniani na duniani ni sehemu ya kujifunza tu kwahyo hutakiwi kuhoji kwanini fulani yupo hivi wala yule yupo hivi vile alivyo ndio mtihani wenyewe.
 
Mimi kuna ile hali inanikuta kikitokea kitu au nikifanya kitu akili yangu inaniambia hilo tukio nilishawah kulifanya kabla yaani kila kitu kinachotokea nahisi niliwahi kufanya kabla

Hii inahusiana vipi je ni hisia tu au ndiyo nafsi imejirudia
Hii kweli kabsa, yaan unfny jmbo lakin akili inkuj kwamba ushawah kufnya hlo jmbo huko nyuma lkn Kwa mazngra halisi linkuwa jmbo geni
 
Mimi kuna ile hali inanikuta kikitokea kitu au nikifanya kitu akili yangu inaniambia hilo tukio nilishawah kulifanya kabla yaani kila kitu kinachotokea nahisi niliwahi kufanya kabla

Hii inahusiana vipi je ni hisia tu au ndiyo nafsi imejirudia
Yaan kma mimi
 
Na ndivyo ilivyo. Baada ya kifo chako tu, utapotea kwenye uwepo wa huu ulimwengu kwa muda wa miaka 100 baada ya hapo utazaliwa tena kwa mara nyingine

Kipindi cha hiyo miaka 100 ndiyo huitwa LRP ( Life Refractory Period), kipindi hiki kipo kwa lengo la kufuta kumbukumbu zote zilizopo kwenye akili ya roho husika ili kuzuia kumbukumbu kuhama kutoka mwili mmoja kwenda mwili mwingine, japokuwa kwa baadhi ya watu wengine asilimia chache za kumbukumbu uhama kutoka mwili mmoja kwenda mwingine, hapo ndipo hutokea kile tunaita de jávù, au baadhi ya watu kuexperience mambo ambayo hawajawahi kuyapitia

Kumbuka, mwili ni lazima ufe ili kukamilisha kile tunaita Ecological System. Idadi ya roho zilizopo ulimwenguni ni zile zile, hazijawahi kuongezeka ama kupungua, maana rahisi ni kuwa kamwe hautotoweka ulimwenguni mazima, ila tambua kuwa baada tu ya kufa, hauto experience fahamu yoyote, unakuwa sawa na mtu aliyelala usingizi mzito mpaka pale utakapomaliza miaka yako yote 100 ya LRP

Niwatakie maandalizi mema ya vifo na mapokezi mema ya kuzaliwa kwa mara nyingine baada ya miaka 100 baadae
Source of this information ni ipi? Hoja yako haina mashiko.

Hakuna nafsi iliopotea..na kila mtu anapozaliwa inatengenezwa nafsi nyingine mpyaaa.


Kama ulimwengu upo vilevile...kwanini watu huzaliwa??

Why reproduction?

Sasa wewe endelea kujidanganya hivyoivyo.
 
Utafiti umefanyika? Hiyo ni imani ambayo haishirikishi ubongo katika kufikiri. "I need reason and not faith ".
 
Baba yangu aliyefariki 2001 , baada ya kufa kwake tukiwa tunawasiliana kwa ndoto mara kwa mara.

Baada ya miaka 15 ya kifo chake aliniaga kwamba roho yake imewekwa kwenye mnyama fulani hapa sitamtaja.

Na akaaniambia wazi hicho ulichokiandika hapo juu.

Hivyo ni kweli kabisa
Aisee
 
Back
Top Bottom