Miaka 100 ya kuangushwa Khilafah: Hizb Ut Tahrir yazindua kampeni ya kiulimwengu kwa anuani: "Enyi Waislamu isimamisheni

Miaka 100 ya kuangushwa Khilafah: Hizb Ut Tahrir yazindua kampeni ya kiulimwengu kwa anuani: "Enyi Waislamu isimamisheni

Khilafah ndio nini, this is arrogance, kuamini kwamba kila mtu anatakiwa ajue kitu ambacho hakifahamiki nje ya jumuiya yako ni arrogance ya hali ya juu
Kahilfat ni dini ya kulazmisha watu waabudu mashetani kwa unyanyasaji na mauaji. Wewe ukitaa kuabudui kile wanataka, unatozwa kodi kubwa, watoto wako na mke wako wanachuukuliwa kama watumwa wa ngono ama bidhaa kwa kuuzwa kwa wanaume wenye kutadaka kulala nao kwa namna yoyote watakavyo. Watoto wako wa kiume wakikataa wanauliwa hadharani.ra Mkishindwa kulipa kodi ya kutokuabudu wanachokitaka mnacchinjwa hadharani.

Ni genge la watu walioshindwa maisha, na waakaamua kulazimisha watu wote wawe na hali kama zao ili wakose wote. Nadhani umenielwa.
 
Mimi ni mkristo nakupa hiyo utake usitake ukristo ndio unaotawala dunia kuna vitu vingi sana vipo wazi kikubwa zaidi ni kuzaliwa christo(christmas) dunia nzima inasherekea mbaka mabudha nk na tarehe hii tunayotumia na calenda ni christian system
Sio kweli kwamba christmas inasherekewa dunia nzima, na kwenye kalenda siku na mienzi zina majina ya miungu.
 
Kwenye uwo utawala wa khilafah, tutaruhusiwa kweli kuendelea kula kitimotoozi nakufuga au ndio tutakatwa mikono na kupigwa mawe.
 
Kahilfat ni dini ya kulazmisha watu waabudu mashetani kwa unyanyasaji na mauaji. Wewe ukitaa kuabudui kile wanataka, unatozwa kodi kubwa, watoto wako na mke wako wanachuukuliwa kama watumwa wa ngono ama bidhaa kwa kuuzwa kwa wanaume wenye kutadaka kulala nao kwa namna yoyote watakavyo. Watoto wako wa kiume wakikataa wanauliwa hadharani.ra Mkishindwa kulipa kodi ya kutokuabudu wanachokitaka mnacchinjwa hadharani.

Ni genge la watu walioshindwa maisha, na waakaamua kulazimisha watu wote wawe na hali kama zao ili wakose wote. Nadhani umenielwa.
Kama wale ISIS waliotaka kuanzisha islamic Caliphate ambapo walikuwa wanachinja waKurdi huko Iraq?
 
Ukishasema tu dini yangu ndiyo sahihi, zenu mmekosea, ushataka kumtawala mwingine kinawazo hapo.

Dini zote ni siasa.

Dini ni siasa za kale zilizovikwa joho la utakatifu wa Mungu asiyethibitishika.

Ni jitihada za kujilimbikizia nguvu, mali, ardhi, watumwa, utawala, ushawishi na utakatifu uliojengwa kwenye uongo.
Ndio maana hata mapapa wa Vatican walimiliki watumwa.., sasa huyo ni Mungu wa wapi?
 
Mimi ni mkristo nakupa hiyo utake usitake ukristo ndio unaotawala dunia kuna vitu vingi sana vipo wazi kikubwa zaidi ni kuzaliwa christo(christmas) dunia nzima inasherekea mbaka mabudha nk na tarehe hii tunayotumia na calenda ni christian system
Acha kujidanganya! Dunia mzima ya wapi?! NI mabudha wa wapi hao wanaosherehekea sikukuu zetu? Yaani unataka kusema hadi Middle East na Far East wanaacha mambo yao kusherehekea sikukuu zetu? Na ninaposema Middle East ni pamoja na Israel ambayo Jumapili kwao ni siku ya kazi kama ilivyo Jtatu kwa mataifa mengine!
 
Huko Syria ISIL wamepokea kipigo cha Mbwa mwizi kwa kuleta hao ukhatifa na kuuwa waislam wenzao .ni upuuzi mkubwa na ugaidi ukharifa waulize mashekhe wa uamusho wale magaidi wa Zanzibar wako wapi au wale jamaa zenu wa kibiti .
Wewe ni msengerema
 
Acha kujidanganya! Dunia mzima ya wapi?! NI mabudha wa wapi hao wanaosherehekea sikukuu zetu? Yaani unataka kusema hadi Middle East na Far East wanaacha mambo yao kusherehekea sikukuu zetu? Na ninaposema Middle East ni pamoja na Israel ambayo Jumapili kwao ni siku ya kazi kama ilivyo Jtatu kwa mataifa mengine!
Amekaririshwa huyo, hajui dunia inaenda wapi
 
Huko Syria ISIL wamepokea kipigo cha Mbwa mwizi kwa kuleta hao ukhatifa na kuuwa waislam wenzao .ni upuuzi mkubwa na ugaidi ukharifa waulize mashekhe wa uamusho wale magaidi wa Zanzibar wako wapi au wale jamaa zenu wa kibiti .
Hao wakikosaga kazi majini yakaamka ndio wanaleta huu utaahira.

Ni kama Mohamed Said kuna siku likiamuamkia jini dume anadondosha uzushi wake humu jamvini
 
Back
Top Bottom