Fibanochi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2018
- 476
- 1,018
Sasa wewe ndy mfano halisi wa baadhi ya watu kwenye jamii ya kitanzania wenye mawazo mgando! Una low self esteem, ndy maana unakuwa una shida na watu wenye mafanikio, na naamini hii shida yako si kwa bwana Kalito tu, itakuwa ni kwa yyt mwingine.....inajidhihirisha wazi kuwa umekata tamaa ktk maisha yako kwa chuki zisizokuwa na mbele wala nyuma kwasababu tu hupendi maisha yako, hupendi maisha unayoishi, na hauna namna ya kujikwamua toka hapo ulipo, kwahy ili kuipa faraja nafsi yako basi unaamua kumchukia mtu yoyote aliekuzidi iwe kipato, elimu, uzuri etc, trust me sweetheart ur not alone on this, wapo wengi kama wewe na shida kama hii inajulikana. My very good advice to you mkuu... Jenga mazoea ya ku appreciate vitu vizuri bila ya kuangalia upande mbaya, itakusaidia sana ktk maisha yako. La, huwezi, wahi kwa 'councillor' ukapate msaada zaidi.
Mimi sina ushahidi wa kuwa alitumia pesa ya kuuza unga kuanzisha biashara yake, wewe ambae unao ushahidi usio na shaka ndani yake uweke basi ili sheria ifuate mkondo wake na wengine wapate somo.
Kwa upande wangu, hoja yangu si namna gani kapata mtaji wa kuanza kufanya biashara( sababu hainihusu, na naamini hata wewe pia haikuhusu), bali hoja yangu mimi ni namna anavyopambana kuendelea kubaki kwenye soko, mbinu anazotumia, ubunifu, n.k. kitu ambacho kipo wazi kinaonekana.
Kuna msemo wa kingereza unasema:
"Stay away from negative people, they always have problem to every solution "
Adios!
Mimi sina ushahidi wa kuwa alitumia pesa ya kuuza unga kuanzisha biashara yake, wewe ambae unao ushahidi usio na shaka ndani yake uweke basi ili sheria ifuate mkondo wake na wengine wapate somo.
Kwa upande wangu, hoja yangu si namna gani kapata mtaji wa kuanza kufanya biashara( sababu hainihusu, na naamini hata wewe pia haikuhusu), bali hoja yangu mimi ni namna anavyopambana kuendelea kubaki kwenye soko, mbinu anazotumia, ubunifu, n.k. kitu ambacho kipo wazi kinaonekana.
Kuna msemo wa kingereza unasema:
"Stay away from negative people, they always have problem to every solution "
Adios!
Acha kutetea upuuzi na kuandika magazeti mareeefuu yasiyo na point.
Huyu akiwa role model wa watu means wakauze madawa nao waweze kufikia alipo? Nani asiyejua Barman Tanzania analipwa hela mbuzi?
Mtu anayetakatisha fedha huwezi kumsimamisha popote useme muigeni!!!!!!! Fanya kitu halali fanikiwa and BE A GENUINE ROLE MODEL with your creativity !
Nyie ndio watetea ujinga mnafanya watu watafute easy money waishi vizuri, hamuangalii wala kuwa concerned na hela halali mnachoangalia ku win tu whether kwa upanga au kwa kuiba then usimame jukwaani udanganye watu. Cut the crap boy!