Miaka 12 ya Samaki Samaki, mjue "Kalito Samaki"

Sasa wewe ndy mfano halisi wa baadhi ya watu kwenye jamii ya kitanzania wenye mawazo mgando! Una low self esteem, ndy maana unakuwa una shida na watu wenye mafanikio, na naamini hii shida yako si kwa bwana Kalito tu, itakuwa ni kwa yyt mwingine.....inajidhihirisha wazi kuwa umekata tamaa ktk maisha yako kwa chuki zisizokuwa na mbele wala nyuma kwasababu tu hupendi maisha yako, hupendi maisha unayoishi, na hauna namna ya kujikwamua toka hapo ulipo, kwahy ili kuipa faraja nafsi yako basi unaamua kumchukia mtu yoyote aliekuzidi iwe kipato, elimu, uzuri etc, trust me sweetheart ur not alone on this, wapo wengi kama wewe na shida kama hii inajulikana. My very good advice to you mkuu... Jenga mazoea ya ku appreciate vitu vizuri bila ya kuangalia upande mbaya, itakusaidia sana ktk maisha yako. La, huwezi, wahi kwa 'councillor' ukapate msaada zaidi.

Mimi sina ushahidi wa kuwa alitumia pesa ya kuuza unga kuanzisha biashara yake, wewe ambae unao ushahidi usio na shaka ndani yake uweke basi ili sheria ifuate mkondo wake na wengine wapate somo.

Kwa upande wangu, hoja yangu si namna gani kapata mtaji wa kuanza kufanya biashara( sababu hainihusu, na naamini hata wewe pia haikuhusu), bali hoja yangu mimi ni namna anavyopambana kuendelea kubaki kwenye soko, mbinu anazotumia, ubunifu, n.k. kitu ambacho kipo wazi kinaonekana.

Kuna msemo wa kingereza unasema:

"Stay away from negative people, they always have problem to every solution "

Adios!
 
Huyo jamaa nilianza kumfahamu baada ya kuona video ya linex sunday mjeda na kwenye video alikwepo carlos "Kama vipi tukutane samaki samaki ndio kiwanja nachoenda".

 
Ilianza ya Mlimani City ndio the same year ikafata ya Makonde pale..
 
Nakubaliana na wewe 100%,hawa watu huwa wanatudanganya sana na nilianza na kushona viatu,nilianza na mtaji wa elfu 10 mara nilianza na uhausigelo na bla bla bla kibao ,kumbe nyuma ya pazia kuna vitu walifanya wakapata greenlight(wakatusua),haiwezekani barman aje kuwa bilionea ,alikuwa analipwa Tsh ngapi kwa mwezi? Mtaji wa kuanzisha samaki samaki mlimani city ulitokana na mshahara wake?
 
Masikini kalito..nilijuaga swaga tu kumbe ugonjwa umepelekea awe ivyo.

Ila Mimi michoro yake tu na urembo wa masikio yake ndivyo vyaniachaga hoi.
 
Huyo jamaa nilianza kumfahamu baada ya kuona video ya linex sunday mjeda na kwenye video alikwepo carlos "Kama vipi tukutane samaki samaki ndio kiwanja nachoenda".

Yeah ni kweli mkuu, pia amepata kuonekana kwenye nyimbo za wasanii wengine kama fid q n.k
 
Biashara nyingi sana duniani kote huletwa na wageni
Bila wahindi tusingezijua Shanga na bila Italians pasta tungeiona kwenye tv tu
Kutembea pia kunakuongezea maarifa na kujua biashara nyingi na kuzileta kwenu
Tuwakaribishe wa nje kuwekeza kwa manufaa ya nchi na uchumi kupaa
 
Watz bhana,yani ukifanikiwa tu hawakosi tu la kusema,

kama kweli biashara ya unga kuifanya ni rahisi,jaribu kuifanya tuone kama utapita pale airport kirahisi,jaribu pia kumheshimu aliye fanikiwa kupitia drugs business cz siyo kaz rahis eti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…