gnassingbe
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 4,826
- 3,577
Wivu!Sembe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu!Sembe!
TiririiikaaHana lolote huyo.Nyuma kuna biashara ya unga. Muuaji mkubwa huyu.
Money launderingNdo ukweli huo.Sema yeye ana akili atleast katumia mtaji kutoka kwenye Sembe akaanzisha biashara halali.
Bruce Lee,Van DammeNapenda majina ya vyakula vyake!! Butiama mix, chizi iringa, lindi flavour!!
Very creative
Ndo ukweli huo.Sema yeye ana akili atleast katumia mtaji kutoka kwenye Sembe akaanzisha biashara halali.
Sio kila anae fanikiwa anauza unga hapana some people are genuine in their bussiness....Hana lolote huyo.Nyuma kuna biashara ya unga. Muuaji mkubwa huyu.
No Wonder,wengine watamuita FreemasonHana lolote huyo.Nyuma kuna biashara ya unga. Muuaji mkubwa huyu.
Ndo ukweli huo.Sema yeye ana akili atleast katumia mtaji kutoka kwenye Sembe akaanzisha biashara halali.
Huwa wanasema wanachotaka msikie. Ndo maana eti anasema alikuwa muuza bar. Huyu anajulikana kabisa anauza sembe.Sio kila anae fanikiwa anauza unga hapana some people are genuine in their bussiness....
Nina ushahidi ndiyo. Wewe kama hujui. Endelea kushikilia bomba.Unaushahidi au ndo maneno ya vijiweni?
Ebu tafuta pesa mama acha majungu
Mission town huyu,aliutumia uzembe wa serikali zilizopita akatusua. Kama unavyojua wabongo wakiona mzungu.Itakua pia ni mtakatishaji mzurii tu
Sasa kama kweli alikuwa anafanya kitu kabla ndio huo ukweli wenyewe. Chuki,nongwa,husda na wivu vinatoka wapi,kama ndio ukweli wenyewe?. Auze sembe waseme anauza maandazi? Wapi na wapi?Wenye chuki,nongwa,husda na wivu wanasema kafanikiwa kwa sababu ya sembe.
Watanzania tuache uvivu tuwe wabunifu.
Legal drug moneyNdo ukweli huo.Sema yeye ana akili atleast katumia mtaji kutoka kwenye Sembe akaanzisha biashara halali.
Tatizo la drug ni ile addiction. Yes anawalazimisha. Maana anajua kabisa ile kitu ni addictive.Legal drug money
Kwani anawalazimisha kubwia
Hana lolote huyo.Nyuma kuna biashara ya unga. Muuaji mkubwa huyu.
Unajua maana ya neno kulazimisha?Tatizo la drug ni ile addiction. Yes anawalazimisha. Maana anajua kabisa ile kitu ni addictive.