Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #21
OkayBTW, sijasahau ile 'definition' uliyoniomba, lakini siko kwenye mood wa kujibu hilo sasa hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkayBTW, sijasahau ile 'definition' uliyoniomba, lakini siko kwenye mood wa kujibu hilo sasa hivi.
Tanzania imejifunza nini miaka 20 baada ya 9/11?Nini kimekufanya kufikia mawazo hayo ktk uzi huu.
Sina hofu wa tetesi yoyote mkuu. Nina ndugu zangu wanafanya kazi za Police na JWTZ kama nikiwa na taarifa/tetesi ninaweza kuwapa wao au mwenyekiti wa serikali ya mtaa wangu.Uzuri vyombo vya usalama husoma tetesi kama hii na kuanza kuingia mitaani, ktk jamii na vijijini kujaribu kufahamu hii hofu yako uliyo iwakilisha hapa JF.
Ni kauli yenye mapungufu mengi iliyotufanya tujivunie kuwa watanzania."TANZANIA NI NCHI YA TATU KWA UPELELEZI DUNIANI"
Lengai alikuwa mkuu wa Wilaya. Hilo la upelelezi sina ushahidi nalo.Na wapelelezi wenyewe ndo Hawa Kina Lengai ole sabaya
Watu zaidi ya 3,000 walikufa kwa mara moja mkuu. Nilisikitika sana.
Kabla ya kutokea kwa tukio lile la kugongesha ndege katika ghorofa pacha, wahalifu wale tayari walikuwa na watu wao ndani ya Marekani waliowasaidia kuwapa taarifa (watoto wa mjini wanasema kuchora rada) kabla ya kupanga mpango mzima wa kuteka ndege na kuleta msiba mzito ndani ya ardhi ya rafiki zetu wa Marekani.
Suala sio kuweka overprotection kwa watoto thidi ya ushawishi wa nje, lakini je unashughulika nao vp? Mtoto ananyooshwa katika taasisi kuu tatu;
(1) Familia yao
(2) Taasisi za dini
(3) Shuleni
Mtoto akiponyoka kutoka katika nguzo hizo tatu, huyo atakuwa gaidi/jambazi sasa.
Chukua huu apa[emoji116]Lengai alikuwa mkuu wa Wilaya. Hilo la upelelezi sina ushahidi nalo.
Duuuh, hii ndio kwanza ninaiona hapa mkuu.
Zinawanyoosha kwa kuwafundisha tabia njemaTaasisi za dini zinawanyoosha vipi watoto?
Jamii anamoishi haina mchango?Suala sio kuweka overprotection kwa watoto thidi ya ushawishi wa nje, lakini je unashughulika nao vp? Mtoto ananyooshwa katika taasisi kuu tatu;
(1) Familia yao
(2) Taasisi za dini
(3) Shuleni
Mtoto akiponyoka kutoka katika nguzo hizo tatu, huyo atakuwa gaidi/jambazi sasa.
Jamii anamoishi anakutana nayo katika taasisi za dini pamoja na shuleniJamii anamoishi haina mchango?
EeenHeee!Jamii anamoishi anakutana nayo katika taasisi za dini pamoja na shuleni
Sawa mkuu. Naomba nikutakie mchana mwema.EeenHeee!
Basi sawa!
Inaonekana fika kuwa wewe ni mpaganiTaasisi za dini zinawanyoosha vipi watoto?
Chadema wametumia photoshop kutengenza ili kumchafu Sabaya.
Iyo mbona yazamani mno, iliwekwa na polisi walipomkamata akijifanya afisa usalamaChadema wametumia photoshop kutengenza ili kumchafu Sabaya.
Ya zaman Sana mkuu, ata kabla hajawa dcDuuuh, hii ndio kwanza ninaiona hapa mkuu.