Miaka 20 baada ya tukio la kigaidi (home-grown terrorism) la September 11 huko Marekani. Tanzania imejifunza nini?

Miaka 20 baada ya tukio la kigaidi (home-grown terrorism) la September 11 huko Marekani. Tanzania imejifunza nini?

Uzuri vyombo vya usalama husoma tetesi kama hii na kuanza kuingia mitaani, ktk jamii na vijijini kujaribu kufahamu hii hofu yako uliyo iwakilisha hapa JF.
Sina hofu wa tetesi yoyote mkuu. Nina ndugu zangu wanafanya kazi za Police na JWTZ kama nikiwa na taarifa/tetesi ninaweza kuwapa wao au mwenyekiti wa serikali ya mtaa wangu.
 
Hiyo sio tafsiri ya home grown.
Kabla ya kutokea kwa tukio lile la kugongesha ndege katika ghorofa pacha, wahalifu wale tayari walikuwa na watu wao ndani ya Marekani waliowasaidia kuwapa taarifa (watoto wa mjini wanasema kuchora rada) kabla ya kupanga mpango mzima wa kuteka ndege na kuleta msiba mzito ndani ya ardhi ya rafiki zetu wa Marekani.
 
Taasisi za dini zinawanyoosha vipi watoto?
Suala sio kuweka overprotection kwa watoto thidi ya ushawishi wa nje, lakini je unashughulika nao vp? Mtoto ananyooshwa katika taasisi kuu tatu;

(1) Familia yao
(2) Taasisi za dini
(3) Shuleni

Mtoto akiponyoka kutoka katika nguzo hizo tatu, huyo atakuwa gaidi/jambazi sasa.
 
Lengai alikuwa mkuu wa Wilaya. Hilo la upelelezi sina ushahidi nalo.
Chukua huu apa[emoji116]
IMG_20210518_115159.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Suala sio kuweka overprotection kwa watoto thidi ya ushawishi wa nje, lakini je unashughulika nao vp? Mtoto ananyooshwa katika taasisi kuu tatu;

(1) Familia yao
(2) Taasisi za dini
(3) Shuleni

Mtoto akiponyoka kutoka katika nguzo hizo tatu, huyo atakuwa gaidi/jambazi sasa.
Jamii anamoishi haina mchango?
 
Back
Top Bottom