Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #41
Leo ndio mara ya kwanza naona kitambulisho cha TISS.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo ndio mara ya kwanza naona kitambulisho cha TISS.
Sabaya alijifanya afisa usalama? Ina maana hicho kitambulisho ni cha uongo?Iyo mbona yazamani mno, iliwekwa na polisi walipomkamata akijifanya afisa usalama
Sent using Jamii Forums mobile app
AlikighushiSabaya alijifanya afisa usalama? Ina maana hicho kitambulisho ni cha uongo?
ALIKUA anakitumia kutapeli watu mjini akijifanya TISS kwa icho kitambulishoLeo ndio mara ya kwanza naona kitambulisho cha TISS.
Duuuh
DooohALIKUA anakitumia kutapeli watu mjini akijifanya TISS kwa icho kitambulisho
Sent using Jamii Forums mobile app
Zinawanyoosha kwa kuwafundisha tabia njema
Inaonekana fika kuwa wewe ni mpagani
Weka evidence hapa tuoneHakuna mpagani aliyehusika katika ugaidi wa September 11
Inawezekana wewe ni sehemu ya 9/11 attacksHakuna mpagani aliyehusika katika ugaidi wa September 11
Inawezekana wewe ni sehemu ya 9/11 attacks
Weka evidence hapa tuone
Labda wewe ndio hao hao CIA wenyeweMtafute Osama na CIA wakupe huo ushahidi
Chadema wamebaki na nguvu Twitter Chadema w.a.mek.u.wa kama Kiba wanaomchukia DiamondWeka evidence hapa tuone
Mambo yenu ya codes au sio?Mbbnb [emoji21][emoji238][emoji57][emoji21][emoji57][emoji57][emoji57][emoji849][emoji849][emoji849] z n
Ninaishi USA. Nasikia CCM ilichukua majimbo yote katika uchaguzi wa mwaka jana 2020. Ni kweli?Chadema wamebaki na nguvu Twitter Chadema w.a.mek.u.wa kama Kiba wanaomchukia Diamond
2025 tutawashawishi wananchi wampe Samia ushindi wa 90% Ushindi huu ni wa asante kwa kazi kubwa aliyoifanya.Chadema wamebaki na nguvu Twitter Chadema w.a.mek.u.wa kama Kiba wanaomchukia Diamond
Sasa mkuu, wale magaidi wa MKIRU wangepata msaada kutoka nje kwa watu wabaya kama ISIS, Al Shabaab au nchi hasimu wa Tanzania, bado hilo neno "domestic terrorism" lingeendelea kutumika?Kwa definition, kama terrorist na victim ni wa uraia mmoja ndani ya hiyo nchi, ndio inakuwa domestic terrorism. Kwa MKIRU victims walikuwa Watanzania na kwa taarifa magaidi walikuwa Watanzania, ni domestic terrorisms.
Lingekuwa sawa.... maana wangekuwa magaidi wa Kitanzania wanaofanya ugaidi hapa Tanzania. Sept 11 ilifanywa na wageni watupu, mipango ilifanywa Indonesia, Germany, Pakistan na Afghanistan; kiongozi wao Mohamed Atta alikuwa anatoka Misri, kati ya magaidi 20 waliofanya tukio 15 walikuwa ni kutoka Saudi Arabia. There is no way itakuwa ni Domestic TerrorismSasa mkuu, wale magaidi wa MKIRU wangepata msaada kutoka nje kwa watu wabaya kama ISIS, Al Shabaab au nchi hasimu wa Tanzania, bado hilo neno "domestic terrorism" lingeendelea kutumika?