Miaka 27 sijawahi kumpa mimba mwanamke

Miaka 27 sijawahi kumpa mimba mwanamke

Wakuu hii kitu ni hali ya kawaida au nafeli mahali nguvu za kiume ninazo nina uhakika tatizo ni kwamba sijawahi kuletewa hata stori kwamba nimempa mimba nimpe hela akatoe.


Mpe HI chale hapo jirani na PAX
 
Mbona vidole laini hivo?? yaani ulivo ishika hiyo Bia Mkuu labda watu wengine wasiione!!! yaani hata kutongozwa tu na Bar Med pia? vitoto vya shule? hawakutongozi Baba pole unasafari ndefu???

jifunze kushika Bia mkononi vizuri utaona haooooooo!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usiwape mimba wasichana, hizo ni zako baki nazo mwenyewe.
 
Wakuu hii kitu ni hali ya kawaida au nafeli mahali nguvu za kiume ninazo nina uhakika tatizo ni kwamba sijawahi kuletewa hata stori kwamba nimempa mimba nimpe hela akatoe.


Vuta bangi
 
Maweee!! udenda wangu wajameni!! duuu!! tamu sana hii!! ndo maana tuli nenepa na kupendeza Bongo, yaani ukikonda Bongo heee!! sijui!! katambikie mazima au ujitoe sadaka kwa Mapepo!! Hapo ukitaka hata kale kaugali wa muhogo unapata Black point.... panaitwaje kwa yule mjita wa kijitonyama vile?
 
Hauna shida bana ukitomba ukiwa umelewa shahawa nazo zinakuaga zimelewa kwahyo zinashindwa kwenda kutunga mimba so nnacho kushauri anza kutongoza ukiwa live bila pombe afu ule demu ukiwa live bila pombe, mimba isipoingia tena hapo Nipigie nimpe mimba wife wako Free of charge
 
Kwani una hela weye?

Maana kama ungekuwa na hela usingekosa hata wa kuchomekewa hata kama kiukweli si damu yako.
 
Nenda kanyanduane na mwanafunzi wa Form 3 ama beki 3....uone mziki wake..utakuja kunishukru Baadae
 
Wakuu hii kitu ni hali ya kawaida au nafeli mahali nguvu za kiume ninazo nina uhakika tatizo ni kwamba sijawahi kuletewa hata stori kwamba nimempa mimba nimpe hela akatoe.

Puli napiga kidogo tu sio sana mademu wapo kitaa ila mpaka ninywe pombe ndo niongee nao bila pombe nakuwa sina lomoni yoyote nakuwa kimya Kama kuku anayetaga.. sometimes mademu wakijua me ni mlevi wanakula Kona wananiachia manyoya..nakula pombe, sie wote si ma born town tunajuana wazee wa ma vibe..

Ila ndo hivo wakuu sometimes waga nahisi lifestyle yangu itapelekea kuwa na mbegu zisizo na ubora wa kutungisha mimba ila sometimes najipa matumaini hata Kama nikikosa mtoto sio ishu maisha yataendelea tu Tena ndo nakuwa Sina mzigo wa kulea...

Ila tatizo nikiwaza Mali zangu nitamwachia Nani Hapo naishiwa pozi...sema Nini sio case mbona yesu yule mwalimu asiye na kifani mfalme mbona hajawahi kuwa na watoto halafu fresh tu kafanikiwa.aah bwana eeh watoto Ni majaliwa kasim...tafuteni hela nyie.

Njoo tujaribu
 
Back
Top Bottom