Miaka 27 sijawahi kumpa mimba mwanamke

Wakuu hii kitu ni hali ya kawaida au nafeli mahali nguvu za kiume ninazo nina uhakika tatizo ni kwamba sijawahi kuletewa hata stori kwamba nimempa mimba nimpe hela akatoe.


Mpe HI chale hapo jirani na PAX
 
Mbona vidole laini hivo?? yaani ulivo ishika hiyo Bia Mkuu labda watu wengine wasiione!!! yaani hata kutongozwa tu na Bar Med pia? vitoto vya shule? hawakutongozi Baba pole unasafari ndefu???

jifunze kushika Bia mkononi vizuri utaona haooooooo!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usiwape mimba wasichana, hizo ni zako baki nazo mwenyewe.
 
Wakuu hii kitu ni hali ya kawaida au nafeli mahali nguvu za kiume ninazo nina uhakika tatizo ni kwamba sijawahi kuletewa hata stori kwamba nimempa mimba nimpe hela akatoe.


Vuta bangi
 
Maweee!! udenda wangu wajameni!! duuu!! tamu sana hii!! ndo maana tuli nenepa na kupendeza Bongo, yaani ukikonda Bongo heee!! sijui!! katambikie mazima au ujitoe sadaka kwa Mapepo!! Hapo ukitaka hata kale kaugali wa muhogo unapata Black point.... panaitwaje kwa yule mjita wa kijitonyama vile?
 
Hauna shida bana ukitomba ukiwa umelewa shahawa nazo zinakuaga zimelewa kwahyo zinashindwa kwenda kutunga mimba so nnacho kushauri anza kutongoza ukiwa live bila pombe afu ule demu ukiwa live bila pombe, mimba isipoingia tena hapo Nipigie nimpe mimba wife wako Free of charge
 
Kwani una hela weye?

Maana kama ungekuwa na hela usingekosa hata wa kuchomekewa hata kama kiukweli si damu yako.
 
Nenda kanyanduane na mwanafunzi wa Form 3 ama beki 3....uone mziki wake..utakuja kunishukru Baadae
 
Njoo tujaribu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…