MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Mbona wanakuwa wagumu kuja kumsupporthuyu mama yuko mioyoni mwa watanzania wengi asikudanganye mtu ndugu
Uje J4 uone nyomi lake uwanja wa MorogoroKaribia miaka 3 sasa lakini suala la kujaza watu kwa mama Samia bado linaonekana shida.
Ukiachana na watu wa hamasa wa UVCCM ambao huwa wanatangulia kituo kinachofuata kwa ajili ya kumpokea rais, viongozi wa CCM na serikali, pamoja na msafara inaonekana mama Samia anapitia wakati mgumu sana kujaza hata uwanja mdogo kabisa.
Haiwezekani rais apate shida kujaza uwanja ,anazidiwa hata na mkuu wa mkoa inakuwa sio vizuri kabisa.
Na siku akijaza utasikia kabeba kwenye malori binaadam kazi aisee!Karibia miaka 3 sasa lakini suala la kujaza watu kwa mama Samia bado linaonekana shida.
Ukiachana na watu wa hamasa wa UVCCM ambao huwa wanatangulia kituo kinachofuata kwa ajili ya kumpokea rais, viongozi wa CCM na serikali, pamoja na msafara inaonekana mama Samia anapitia wakati mgumu sana kujaza hata uwanja mdogo kabisa.
Haiwezekani rais apate shida kujaza uwanja, anazidiwa hata na mkuu wa mkoa inakuwa sio vizuri kabisa.
Ww upo wapi?Mbona Sisi tunaona kila ziara, inakuwa Nyomi.Mbona wanakuwa wagumu kuja kumsupport
Nyomi ndo anaongeza madaraka ya Urais?Karibia miaka 3 sasa lakini suala la kujaza watu kwa mama Samia bado linaonekana shida.
Ukiachana na watu wa hamasa wa UVCCM ambao huwa wanatangulia kituo kinachofuata kwa ajili ya kumpokea rais, viongozi wa CCM na serikali, pamoja na msafara inaonekana mama Samia anapitia wakati mgumu sana kujaza hata uwanja mdogo kabisa.
Haiwezekani rais apate shida kujaza uwanja ,anazidiwa hata na mkuu wa mkoa inakuwa sio vizuri kabisa.
Usitafutie watu ban mkuu. Tangu alipowapa waarabu DP WORLD BANDARI aliaga rasmi.huyu mama yuko mioyoni mwa watanzania wengi asikudanganye mtu ndugu
Asante sana kwa kufuatilia ziara ya Mhe. Rais. Endelea ili upate taarifa zaidi za mafanikio ya uongozi wa Mhe. Rais Samia. Wengine wanangalia na kufuatilia redio kama wewe usijali. # Kazi zinambeba Mhe. Rais Samia.πππKaribia miaka 3 sasa lakini suala la kujaza watu kwa mama Samia bado linaonekana shida.
Ukiachana na watu wa hamasa wa UVCCM ambao huwa wanatangulia kituo kinachofuata kwa ajili ya kumpokea rais, viongozi wa CCM na serikali, pamoja na msafara inaonekana mama Samia anapitia wakati mgumu sana kujaza hata uwanja mdogo kabisa.
Haiwezekani rais apate shida kujaza uwanja, anazidiwa hata na mkuu wa mkoa inakuwa sio vizuri kabisa.
Zitapiga Kazi Sana Sana Maana Msimu Wa Kula CCM Kulala CHADEMA Unakuja 2024~2025Msimu wa fuso unakuja usjali ...
Nyomi za mchongo hizoWw upo wapi?Mbona Sisi tunaona kila ziara, inakuwa Nyomi.
Sema moyoni mwako, Mimi kwangu hayupo kabisahuyu mama yuko mioyoni mwa watanzania wengi asikudanganye mtu ndugu