Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Maisha ni popote, kazi zote zinalipa, mwisho kabisa kufa maskini ni kujitakia.
Muwe na Siku njema
Muwe na Siku njema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muache ajichanganye kweli.Jichanganye .
Maisha ni popote , kazi zote zinalipa , mwisho kabisa kufa maskini ni kujitakia .
View: https://youtu.be/RyC8yaAWQu0?si=85Yn9cLJGG-ck8t7
Muwe na Siku njema
😂😂😂Wewe jitekenye 😂😂
Wewe jitekenye 😂😂
HakikaHakunaga Mchaga boya
Watu wanapambana sana ,tusiwaze hivyoAnabiashara nyingine ya gizani mazee.....
Hapo utakuta kuna one of the Tycoons anafadhili kilakitu....
Sasa jaribu kushindana nae kwa kuamini yanayo onekana kwa macho uone....🤣
Labda sababu ni hii...🙊Watu wanapambana sana ,tusiwaze hivyo
Behewa sio tako kila mtu analo.Kesho anaweza kununua behewa Lake,maisha ni mipangò
Maisha ni popote , kazi zote zinalipa , mwisho kabisa kufa maskini ni kujitakia .
View: https://youtu.be/RyC8yaAWQu0?si=85Yn9cLJGG-ck8t7
Muwe na Siku njema
Uko sahihi , huyu dada anaonekana ni mpambanaji tuIla suala zima la watoto wa kiume kukasirishwa na mafanikio ya mtoto wa kike kama kwenye huu uzi huwa silielewagi kabisa.
Watanzania ni viumbe ambao inatakiwa tukasomwe na kufanyiwa utafiti maabara.
Hakuna aliyekasirika hapa.Ila suala zima la watoto wa kiume kukasirishwa na mafanikio ya mtoto wa kike kama kwenye huu uzi huwa silielewagi kabisa.
Watanzania ni viumbe ambao inatakiwa tukasomwe na kufanyiwa utafiti maabara.
Kwani bila connection hawezi toboa , mi nadhani tufute mawazo hasiSio mbaya amepiga hatuo basi ni ya watu binafsi ila treni ni chini ya serikali ameula..ila connection ndio kila kitu hapo..