Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
- Thread starter
-
- #21
HakikaFailures wana makasiriko sana.
Hakuna aliyekasirika hapa.
Kama kuna ushahidi lete hapa tuuone wa mtu kukasirika.
Ila ukweli usemwe huyo ni binti hata umri wa utu uzima hajafika.
Alikua kondakta wa mabasi ya mikoani,aya nieleze kwa makusanyo yapi ya pesa amiliki gari namna hiyo na kuwa na pesa hivyo!??
Sijawahi na kamwe siwezi fuatilia maisha ya mtu.Kwanini ufuatilie maisha ya watu. Unavifahamu vyanzo vyake vyote vya mapato ?
Wewe ni wa kiume au wa kike. Kama wakiume kifuatilia mafanikio ya mwanamke ni hatari sana kwako. JichanganyeMaisha ni popote , kazi zote zinalipa , mwisho kabisa kufa maskini ni kujitakia .
View: https://youtu.be/RyC8yaAWQu0?si=85Yn9cLJGG-ck8t7
Muwe na Siku njema
Bora umenena vyemaHuyo dada. Mitandao ndio imempa hela.
Kumbuka ana followers zaidi ya milioni moja.. sio kazi rahisi kupata hao followers.
Ni kama kina mwijaku, na influencer wengine.
Anapata sana dili za ubalozi wa kampuni na za matangazo kwenye page zake instagram na tik tok.
Hizo ndizo zinazompa hela .. ila sio mshahara wa ukonda.
Hapo alipo ni balozi wa simu za ITEL, Balozi wa Hisense, Balozi wa Latra na vikampuni vingine kibao.
Ukichanganya na matangazo ya wafanyabiashara wadogo anayopost mara kwa mara.. IST lazima inunuliwe tu.
Zama hizi hela ipo mtandaoni
Kama ingekuwa hvyo wasingesambaa kama ng'ombe kutafuta helaHakunaga Mchaga boya
Kwamba ni mpambanaji tu๐๐๐Uko sahihi , huyu dada anaonekana ni mpambanaji tu
Wapambanaji wanajua wanapambanaje nyie wengine semeni tu mtu mpambanaji bila kuelewa siri za mapambano ๐น๐น๐นUko sahihi , huyu dada anaonekana ni mpambanaji tu
Itoshe kusema anapambanaWapambanaji wanajua wanapambanaje nyie wengine semeni tu mtu mpambanaji bila kuelewa siri za mapambano ๐น๐น๐น
๐น๐น๐น๐น๐นItoshe kusema anapambana
Watu walioshindwa huwa hawapendi kuona mwingine akifanikiwa. Ndio maana kila siku utawasikia wakitoa kauli za kuonesha mafanikio ya mtu fulani yanechangiwa na vitu nyuma ya pazia. Hamna hata mwenye ushahidi ila ndio hivyo roho za korosho. Katoto ka watu kamesema kanapata matangazo,hela nyingine kaongezewa na wazazi lakini bado mtu atakwambia ana boashara nyingine ambayo akili zao ndio zineganda huko.Huyo dada. Mitandao ndio imempa hela.
Kumbuka ana followers zaidi ya milioni moja instagram na ana followers zaidi ya milioni tik tok.. sio kazi rahisi kupata hao followers.
Ni kama kina mwijaku, na influencer wengine.
Anapata sana dili za ubalozi wa kampuni na za matangazo kwenye page zake instagram na tik tok.
Hizo ndizo zinazompa hela .. ila sio mshahara wa ukonda.
Hapo alipo ni balozi wa simu za ITEL, Balozi wa Hisense, Balozi wa Latra na vikampuni vingine kibao.
Ukichanganya na matangazo ya wafanyabiashara wadogo anayopost mara kwa mara.. IST lazima inunuliwe tu.
Zama hizi hela ipo mtandaoni
Amen
Hayuko SGR,Maisha ni popote , kazi zote zinalipa , mwisho kabisa kufa maskini ni kujitakia .
View: https://youtu.be/RyC8yaAWQu0?si=85Yn9cLJGG-ck8t7
Muwe na Siku njema