Miaka 30 ya Chadema, Swot Analysis, PEST Analysis, Imarisheni Strengths, Shughilikieni Weakness, Start A Fresh!.

Miaka 30 ya Chadema, Swot Analysis, PEST Analysis, Imarisheni Strengths, Shughilikieni Weakness, Start A Fresh!.

Wanabodi,
Chadema imetimiza miaka 30.
Tangu ile Chadema inazaliwa miaka 30 iliyopita, imezaliwa na kunikuta mimi tayari niko newsroom kwa zaidi ya miaka 2, hivyo Chadema imezaliwa naiona, inakuwa naiona, ilipofika peak naiona, na sasa imeanza kusinyaa naiona, na ikiendelea hivi kwa mwendo huu, naiona kule inakoelekea, hivyo hili ni bandiko la ushauri, ili isifike huko ninakokuona mimi.

Hili ni bandiko la SWOT Analysis, na PEST Analysis, ya Miaka 30 ya Chadema huku nikiwashauri wa imarisheni strengths zao, na kushughughulikia weakness zao, na kama ikibidi to start afresh, Chadema is start a fresh!.

Mtu Asiye Chadema, Anaishauri Chadema Kama Nani?

Japo chama cha siasa ni mali ya wanachama, vyama vya siasa nchini Tanzania, vyenye wabunge na madiwani, ambavyo vinapokea ruzuku ya serikali, sio private parties za wanachama tuu, ni public parties za umma, paid by taxpayers money, ndio maana hesabu zake zinakaguliwa na CAG, hivyo sisi as public, mimi nikiwemo, we have all the rights to ask, know or make comments kuhusu all it's affairs, public as well as private.

Declaration of interest.
Mimi ni kada wa chama cha Mapinduzi, ila chama cha Mapinduzi kina makada wengi na wa aina nyingi na makundi mengi, kada mimi ni type impya ya makada wa CCM, tunaitwa CCM Conteporary, tunaoamini katika kutenda haki bin haki, CCM ikishinda uchaguzi, ishinde kwa haki, katika uchaguzi huru na wa haki, huku tukiamini bila upinzani imara, hakuna CCM imara.

Kiukweli kabisa Tanzania, hatuna upinzani imara, hivyo
huu ni ushauri wa bure, kwa Chadema, wa tathmini yangu ya Chadema ilipotoka, ilipo na inapokwenda, na Chadema mko huru kuusoma au kutousoma, kuuelewa au kutoelewa, kuufuata au kutoufuata, au hata kuupuuzia, mimi nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Ushauri huu nauweka kwenye points format huku nikionyesha nilishauri nini na nini kikatokea.

Highlights
Into ya Chadema
Chadema ile iliyokusudiwa
Mapito ya Chadema
Uimara wa Chadema
Udhaifu wa Chadema
Makosa ya Chadema
Matokeo ya makosa ya Chadema
Chadema ya Sasa
Chadema ilipo
Chadema inapokwenda
A Way Forward.
Hitimisho.

Nawaomba sasa sana sana kwa sasa, jiuzuie kadri uwezavyo msichangie chochote kwanza kwenye uzi huu hadi nondo zitakapo anza kushuka.

Natanguliza shukrani
Karibuni.
Paskali
Kwi kwi kwi, kumbe ni Mayalla, ha haa
 
Mapito ya Chadema ni mengi na yapo wazi, hata sasa wapo katika mapito makubwa

Makosa ya chadema ni pamoja kuwapokea mamluki wa ccm kwa imani kubwa na kuwaruhusu kugombea nafasi za juu za uongozi pasipo kujiridhisha na nia ya ndani ya mamluki hao...hii imechangia kwa kiasi kikubwa sana kuzorota kwa chama pamoja na migogoro ya ndani iliyosababisha chama kuyumba

Uimara wa chadema ni pamoja na kupigania demokrasia,haki na uhuru bila kujali nguvu kubwa inayotumiwa na dola kuwarudisha nyuma au kuwakandamiza,viongozi wao wameumizwa, wamefilisiwa, wamefungwa, wamepitishwa kwenye mateso pamoja na familia zao lakini baadhi hawakuwahi kurudi nyuma...wanatia moyo lakini inasikitisha sana

Shida kubwa ninayoiona, wanachama wa chadema wengi ni wanachama wa mitandaoni, sio wepesi kuchukua hatua, ni wepesi kuchangia chama na kupigania chama mitandaoni, lakini wakati mwingine pesa na vita ya mitandaoni haitoshi, wamewaacha viongozi wenyewe kwenye front line, wao wapo mitandaoni kwa kiasi kikubwa, nguvu ya pamoja ingeweza kuleta tija zaidi

Kwenye udhaifu wa chadema, nizungumzie kususia shughuli zinazohusu maslahi ya taifa kwa ujumla au shughuki za kijamii mfano sherehe za uhuru, misiba ya kitaifa na mengine kama hayo, tofauti za kisera na kiitikadi zinapaswa kuwekwa pembeni tunapokua na jambo la kitaifa, ni hii ndio maana ya siasa za demokrasia

Yafaa chama kufanya tathmini ya wanachama na kuwekeza nguvu kabwa kutengeneza foundation nzuri ya wanachama wenye uthubutu au ujasiri wa kukipigania chama katika ngazi zote kwa vitendo

Chama pia kinapaswa kutafuta namna bora ya kutatua migogoro yao ya ndani pasi kuwapa faida competitors wao, migogoro ya ndani imeleta athari kubwa sana kwa chama

Chama pia kinapaswa kuwa na agenda endelevu zenye mashiko na sio kudakia agenda kutokana na matukio ya kisiasa au ya kijamii...hapo nyuma Chadema ilikua imara na ilisimamia agenda zake kikamilifu lakini kwa miaka michache ikiyopita ni kama hakuna mwelekeo mzuri jambo linalosababisha chama kukosa mvuto

Pamoja na kizuizi cha mikutano ya kisiasa ambayo imechangia chama kuzorota, bado naamini Chadema ni bora na itaendelea kuwa bora kulinganisha na vyama vingine vya siasa

Mungu ibariki chadema.

Wangalau ww uchambuzi wako kuhusu CDM una logic, nimeridhiA
Mapito ya Chadema ni mengi na yapo wazi, hata sasa wapo katika mapito makubwa

Makosa ya chadema ni pamoja kuwapokea mamluki wa ccm kwa imani kubwa na kuwaruhusu kugombea nafasi za juu za uongozi pasipo kujiridhisha na nia ya ndani ya mamluki hao...hii imechangia kwa kiasi kikubwa sana kuzorota kwa chama pamoja na migogoro ya ndani iliyosababisha chama kuyumba

Uimara wa chadema ni pamoja na kupigania demokrasia,haki na uhuru bila kujali nguvu kubwa inayotumiwa na dola kuwarudisha nyuma au kuwakandamiza,viongozi wao wameumizwa, wamefilisiwa, wamefungwa, wamepitishwa kwenye mateso pamoja na familia zao lakini baadhi hawakuwahi kurudi nyuma...wanatia moyo lakini inasikitisha sana

Shida kubwa ninayoiona, wanachama wa chadema wengi ni wanachama wa mitandaoni, sio wepesi kuchukua hatua, ni wepesi kuchangia chama na kupigania chama mitandaoni, lakini wakati mwingine pesa na vita ya mitandaoni haitoshi, wamewaacha viongozi wenyewe kwenye front line, wao wapo mitandaoni kwa kiasi kikubwa, nguvu ya pamoja ingeweza kuleta tija zaidi

Kwenye udhaifu wa chadema, nizungumzie kususia shughuli zinazohusu maslahi ya taifa kwa ujumla au shughuki za kijamii mfano sherehe za uhuru, misiba ya kitaifa na mengine kama hayo, tofauti za kisera na kiitikadi zinapaswa kuwekwa pembeni tunapokua na jambo la kitaifa, ni hii ndio maana ya siasa za demokrasia

Yafaa chama kufanya tathmini ya wanachama na kuwekeza nguvu kabwa kutengeneza foundation nzuri ya wanachama wenye uthubutu au ujasiri wa kukipigania chama katika ngazi zote kwa vitendo

Chama pia kinapaswa kutafuta namna bora ya kutatua migogoro yao ya ndani pasi kuwapa faida competitors wao, migogoro ya ndani imeleta athari kubwa sana kwa chama

Chama pia kinapaswa kuwa na agenda endelevu zenye mashiko na sio kudakia agenda kutokana na matukio ya kisiasa au ya kijamii...hapo nyuma Chadema ilikua imara na ilisimamia agenda zake kikamilifu lakini kwa miaka michache ikiyopita ni kama hakuna mwelekeo mzuri jambo linalosababisha chama kukosa mvuto

Pamoja na kizuizi cha mikutano ya kisiasa ambayo imechangia chama kuzorota, bado naamini Chadema ni bora na itaendelea kuwa bora kulinganisha na vyama vingine vya siasa

Mungu ibariki chadema.
 
Ukitaka wasomi intellectuals waheshimu maandiko Yako, kuwa fair, katika threats ambazo jamaa mmoja amekwambia ni challenges, usisahau wanavyo dhoofishwa makusudi na vyombo vya Dola kuwafungulia kesi zisizo na dhamani, wanavyozuiwa kufanya mikutano huku wenzao wanapeta. Tume ya uchaguzi, viongozi wao wanavyonunuliwa etc.
 
Ni kweli kukosa ofisi sio jambo zuri, ila kwa mahitaji ya kizazi hiki cua technology, ofisi suo muhimu tena kwani kila kitu kipo online. Hii sio ile ya miaka ya kwenda kupanga mistari asubuhi na mapema ili kupata huduma kwenye mabenki, TANESCO, TRA, idara ya maji, uhamiaji nk. Emails, WhatsApp, Skype, zoom nk zimeondoa mambo hayo.

Ukitaka kujua ofisi sio issue sana kwa sasa, tazama ofisi za CCM mbali ya uchakavu wake, zimegeuka kuwa vijiwe vya majobless, washirikina, wapiga Majungu nk. Na bado ikifika wakati wa uchaguzi, ccm inategemea vyombo vya dola na tume isiyo huru ya CCM ili watangazwe washindi kinyume na box la kura.
Ila Pasco katoa ushauri mzuri.... CHADEMA inapaswa sasa ku develop au ku review 'Theory of Change'
 
Pasko, Pasko, Pasko!!

You are unnecessarily too long-winded.

We already know who you are. You don’t need to always introduce yourself.

You can just go straight to the point.

Unaandika[ga] mambo mengi ambayo huwa hayahitajiki katika mada zako.

Learn how to keep it simple, brief, concise, and to the point.

Brevity is the soul of wit 😉

I hope you take my unsolicited advice under advisement….
Nimefurahi kurudi kwako.
 
Wanabodi,
Chadema imetimiza miaka 30.
Tangu ile Chadema inazaliwa miaka 30 iliyopita, imezaliwa na kunikuta mimi tayari niko newsroom kwa zaidi ya miaka 2, hivyo Chadema imezaliwa naiona, inakuwa naiona, ilipofika peak naiona, na sasa imeanza kusinyaa naiona, na ikiendelea hivi kwa mwendo huu, naiona kule inakoelekea, hivyo hili ni bandiko la ushauri, ili isifike huko ninakokuona mimi.

Hili ni bandiko la SWOT Analysis, na PEST Analysis, ya Miaka 30 ya Chadema huku nikiwashauri wa imarisheni strengths zao, na kushughughulikia weakness zao, na kama ikibidi to start afresh, Chadema is start a fresh!.

Mtu Asiye Chadema, Anaishauri Chadema Kama Nani?

Japo chama cha siasa ni mali ya wanachama, vyama vya siasa nchini Tanzania, vyenye wabunge na madiwani, ambavyo vinapokea ruzuku ya serikali, sio private parties za wanachama tuu, ni public parties za umma, paid by taxpayers money, ndio maana hesabu zake zinakaguliwa na CAG, hivyo sisi as public, mimi nikiwemo, we have all the rights to ask, know or make comments kuhusu all it's affairs, public as well as private.

Declaration of interest.
Mimi ni kada wa chama cha Mapinduzi, ila chama cha Mapinduzi kina makada wengi na wa aina nyingi na makundi mengi, kada mimi ni type impya ya makada wa CCM, tunaitwa CCM Conteporary, tunaoamini katika kutenda haki bin haki, CCM ikishinda uchaguzi, ishinde kwa haki, katika uchaguzi huru na wa haki, huku tukiamini bila upinzani imara, hakuna CCM imara.

Kiukweli kabisa Tanzania, hatuna upinzani imara, hivyo
huu ni ushauri wa bure, kwa Chadema, wa tathmini yangu ya Chadema ilipotoka, ilipo na inapokwenda, na Chadema mko huru kuusoma au kutousoma, kuuelewa au kutoelewa, kuufuata au kutoufuata, au hata kuupuuzia, mimi nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Ushauri huu nauweka kwenye points format huku nikionyesha nilishauri nini na nini kikatokea.

Highlights
Into ya Chadema
Chadema ile iliyokusudiwa
Mapito ya Chadema
Uimara wa Chadema
Udhaifu wa Chadema
Makosa ya Chadema
Matokeo ya makosa ya Chadema
Chadema ya Sasa
Chadema ilipo
Chadema inapokwenda
A Way Forward.
Hitimisho.

Nawaomba sasa sana sana kwa sasa, jiuzuie kadri uwezavyo msichangie chochote kwanza kwenye uzi huu hadi nondo zitakapo anza kushuka.

Natanguliza shukrani
Karibuni.
Paskali

Kama wanaweza anza upya, anza Na wewe! We si Ni mbogamboga?
 
Wanabodi,
Chadema imetimiza miaka 30.
Tangu ile Chadema inazaliwa miaka 30 iliyopita, imezaliwa na kunikuta mimi tayari niko newsroom kwa zaidi ya miaka 2, hivyo Chadema imezaliwa naiona, inakuwa naiona, ilipofika peak naiona, na sasa imeanza kusinyaa naiona, na ikiendelea hivi kwa mwendo huu, naiona kule inakoelekea, hivyo hili ni bandiko la ushauri, ili isifike huko ninakokuona mimi.

Hili ni bandiko la SWOT Analysis, na PEST Analysis, ya Miaka 30 ya Chadema huku nikiwashauri wa imarisheni strengths zao, na kushughughulikia weakness zao, na kama ikibidi to start afresh, Chadema is start a fresh!.

Mtu Asiye Chadema, Anaishauri Chadema Kama Nani?

Japo chama cha siasa ni mali ya wanachama, vyama vya siasa nchini Tanzania, vyenye wabunge na madiwani, ambavyo vinapokea ruzuku ya serikali, sio private parties za wanachama tuu, ni public parties za umma, paid by taxpayers money, ndio maana hesabu zake zinakaguliwa na CAG, hivyo sisi as public, mimi nikiwemo, we have all the rights to ask, know or make comments kuhusu all it's affairs, public as well as private.

Declaration of interest.
Mimi ni kada wa chama cha Mapinduzi, ila chama cha Mapinduzi kina makada wengi na wa aina nyingi na makundi mengi, kada mimi ni type impya ya makada wa CCM, tunaitwa CCM Conteporary, tunaoamini katika kutenda haki bin haki, CCM ikishinda uchaguzi, ishinde kwa haki, katika uchaguzi huru na wa haki, huku tukiamini bila upinzani imara, hakuna CCM imara.

Kiukweli kabisa Tanzania, hatuna upinzani imara, hivyo
huu ni ushauri wa bure, kwa Chadema, wa tathmini yangu ya Chadema ilipotoka, ilipo na inapokwenda, na Chadema mko huru kuusoma au kutousoma, kuuelewa au kutoelewa, kuufuata au kutoufuata, au hata kuupuuzia, mimi nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Ushauri huu nauweka kwenye points format huku nikionyesha nilishauri nini na nini kikatokea.

Highlights
Into ya Chadema
Chadema ile iliyokusudiwa
Mapito ya Chadema
Uimara wa Chadema
Udhaifu wa Chadema
Makosa ya Chadema
Matokeo ya makosa ya Chadema
Chadema ya Sasa
Chadema ilipo
Chadema inapokwenda
A Way Forward.
Hitimisho.

Nawaomba sasa sana sana kwa sasa, jiuzuie kadri uwezavyo msichangie chochote kwanza kwenye uzi huu hadi nondo zitakapo anza kushuka.

Natanguliza shukrani
Karibuni.
Paskali
Kawashauri Lumumba
 
Hii analysis yako Bwana Paskali ingekuwa na maana kama kungekuwa na level playing field katika siasa zetu. ccm wame_monopoly siasa kwa mgongo wa dola. Kwa hiyo huwezi kuweka huu ulinganifu ukaeleweka.

Bado kuna tume ya uchaguzi ya ccm, unaweza kusema kwa hakika kabisa wagombea wa upinzani wanashindwa kihalali kabisa kwenye chaguzi?
 
Wanabodi,
Chadema imetimiza miaka 30.
Tangu ile Chadema inazaliwa miaka 30 iliyopita, imezaliwa na kunikuta mimi tayari niko newsroom kwa zaidi ya miaka 2, hivyo Chadema imezaliwa naiona, inakuwa naiona, ilipofika peak naiona, na sasa imeanza kusinyaa naiona, na ikiendelea hivi kwa mwendo huu, naiona kule inakoelekea, hivyo hili ni bandiko la ushauri, ili isifike huko ninakokuona mimi.

Hili ni bandiko la SWOT Analysis, na PEST Analysis, ya Miaka 30 ya Chadema huku nikiwashauri wa imarisheni strengths zao, na kushughughulikia weakness zao, na kama ikibidi to start afresh, Chadema is start a fresh!.

Mtu Asiye Chadema, Anaishauri Chadema Kama Nani?

Japo chama cha siasa ni mali ya wanachama, vyama vya siasa nchini Tanzania, vyenye wabunge na madiwani, ambavyo vinapokea ruzuku ya serikali, sio private parties za wanachama tuu, ni public parties za umma, paid by taxpayers money, ndio maana hesabu zake zinakaguliwa na CAG, hivyo sisi as public, mimi nikiwemo, we have all the rights to ask, know or make comments kuhusu all it's affairs, public as well as private.

Declaration of interest.
Mimi ni kada wa chama cha Mapinduzi, ila chama cha Mapinduzi kina makada wengi na wa aina nyingi na makundi mengi, kada mimi ni type impya ya makada wa CCM, tunaitwa CCM Conteporary, tunaoamini katika kutenda haki bin haki, CCM ikishinda uchaguzi, ishinde kwa haki, katika uchaguzi huru na wa haki, huku tukiamini bila upinzani imara, hakuna CCM imara.

Kiukweli kabisa Tanzania, hatuna upinzani imara, hivyo
huu ni ushauri wa bure, kwa Chadema, wa tathmini yangu ya Chadema ilipotoka, ilipo na inapokwenda, na Chadema mko huru kuusoma au kutousoma, kuuelewa au kutoelewa, kuufuata au kutoufuata, au hata kuupuuzia, mimi nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Ushauri huu nauweka kwenye points format huku nikionyesha nilishauri nini na nini kikatokea.

Highlights
Into ya Chadema
Chadema ile iliyokusudiwa
Mapito ya Chadema
Uimara wa Chadema
Udhaifu wa Chadema
Makosa ya Chadema
Matokeo ya makosa ya Chadema
Chadema ya Sasa
Chadema ilipo
Chadema inapokwenda
A Way Forward.
Hitimisho.

Nawaomba sasa sana sana kwa sasa, jiuzuie kadri uwezavyo msichangie chochote kwanza kwenye uzi huu hadi nondo zitakapo anza kushuka.

Natanguliza shukrani
Karibuni.
Paskali
Kama CHADEMA ni dhaifu kama unavyodhani, si CCM muachie bwana sawa wa kisiasa tuone? Kwa haki kabisa, chama cha siasa ambacho ni dhaifu kabisa nchini na lipo kwasababu ya kubeba na mihimili tote ya dola na vyombo vyao ni CCM. Aachiwe Mbowe na wengine wafanye siasa kwa msingi ya sheria sawa na huru kama hutaona kilichomtoa kangaroo manyoya.
 
Pale Chadema watakapopewa nafasi ya kufanya shughuli za kisiasa kwa uhuru kama wengine, chaguzi zetu zikawa huru na haki, ndipo nitakuwa kwenye nafasi nzuri ya kuona udhaifu na uimara wao.

Lakini kwa sasa wamefungwa kamba mikono yao iko nyuma, hawaruhusiwi kufanya hata mikutano ya ndani, naanzaje kuonesha udhaifu wa Chadema wakati tayari wameshalazimishwa waonekane dhaifu?

Naona wengi mnaojitokeza kuzungumzia udhaifu wa Chadema huwa mnasahau hali yao kisiasa wanayoipitia kwa sasa, kama mngeikumbuka hayo kwanza naamini mngejiuliza mara mbili kama hayo mnayoona ni madhaifu yao kweli wanayo.
Wakubwa wanalijua hilo ndio maana wanabana. Ila ipo siku hukohuko ccm atatokea muungwana mwenye ya Mungu wa kweli, ataleta usawa. Hapo watajua nguvu halisi. Tatizo letu wote tunaamini uchaguzi ni mipango tu na mwishowe chaguo la Mungu.
 
Wanabodi,
Chadema imetimiza miaka 30.
Tangu ile Chadema inazaliwa miaka 30 iliyopita, imezaliwa na kunikuta mimi tayari niko newsroom kwa zaidi ya miaka 2, hivyo Chadema imezaliwa naiona, inakuwa naiona, ilipofika peak naiona, na sasa imeanza kusinyaa naiona, na ikiendelea hivi kwa mwendo huu, naiona kule inakoelekea, hivyo hili ni bandiko la ushauri, ili isifike huko ninakokuona mimi.

Hili ni bandiko la SWOT Analysis, na PEST Analysis, ya Miaka 30 ya Chadema huku nikiwashauri wa imarisheni strengths zao, na kushughughulikia weakness zao, na kama ikibidi to start afresh, Chadema is start a fresh!.

Mtu Asiye Chadema, Anaishauri Chadema Kama Nani?

Japo chama cha siasa ni mali ya wanachama, vyama vya siasa nchini Tanzania, vyenye wabunge na madiwani, ambavyo vinapokea ruzuku ya serikali, sio private parties za wanachama tuu, ni public parties za umma, paid by taxpayers money, ndio maana hesabu zake zinakaguliwa na CAG, hivyo sisi as public, mimi nikiwemo, we have all the rights to ask, know or make comments kuhusu all it's affairs, public as well as private.

Declaration of interest.
Mimi ni kada wa chama cha Mapinduzi, ila chama cha Mapinduzi kina makada wengi na wa aina nyingi na makundi mengi, kada mimi ni type impya ya makada wa CCM, tunaitwa CCM Conteporary, tunaoamini katika kutenda haki bin haki, CCM ikishinda uchaguzi, ishinde kwa haki, katika uchaguzi huru na wa haki, huku tukiamini bila upinzani imara, hakuna CCM imara.

Kiukweli kabisa Tanzania, hatuna upinzani imara, hivyo
huu ni ushauri wa bure, kwa Chadema, wa tathmini yangu ya Chadema ilipotoka, ilipo na inapokwenda, na Chadema mko huru kuusoma au kutousoma, kuuelewa au kutoelewa, kuufuata au kutoufuata, au hata kuupuuzia, mimi nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Ushauri huu nauweka kwenye points format huku nikionyesha nilishauri nini na nini kikatokea.

Highlights
Into ya Chadema
Chadema ile iliyokusudiwa
Mapito ya Chadema
Uimara wa Chadema
Udhaifu wa Chadema
Makosa ya Chadema
Matokeo ya makosa ya Chadema
Chadema ya Sasa
Chadema ilipo
Chadema inapokwenda
A Way Forward.
Hitimisho.

Nawaomba sasa sana sana kwa sasa, jiuzuie kadri uwezavyo msichangie chochote kwanza kwenye uzi huu hadi nondo zitakapo anza kushuka.

Natanguliza shukrani
Karibuni.
Paskali
Wewe CCM ambaye ulikataliwa na Mwendazake akasema Mayala NI njaa ......japo hakumalizia NI njaa ya nini sasa naiona NI njaa ya ubongo.......washauri CCM waachane na Mambo ya uchief sijui kitu gani Kwanza .....
 
Pale Chadema watakapopewa nafasi ya kufanya shughuli za kisiasa kwa uhuru kama wengine, chaguzi zetu zikawa huru na haki, ndipo nitakuwa kwenye nafasi nzuri ya kuona udhaifu na uimara wao.

Lakini kwa sasa wamefungwa kamba mikono yao iko nyuma, hawaruhusiwi kufanya hata mikutano ya ndani, naanzaje kuonesha udhaifu wa Chadema wakati tayari wameshalazimishwa waonekane dhaifu?

Naona wengi mnaojitokeza kuzungumzia udhaifu wa Chadema huwa mnasahau hali yao kisiasa wanayoipitia kwa sasa, kama mngeikumbuka hayo kwanza naamini mngejiuliza mara mbili kama hayo mnayoona ni madhaifu yao kweli wanayo.
Mungu akubariki.siongezi Wala kupunguza neno.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Pasko, Pasko, Pasko!!

You are unnecessarily too long-winded.

We already know who you are. You don’t need to always introduce yourself.

You can just go straight to the point.

Unaandika[ga] mambo mengi ambayo huwa hayahitajiki katika mada zako.

Learn how to keep it simple, brief, concise, and to the point.

Brevity is the soul of wit 😉

I hope you take my unsolicited advice under advisement….
AAAMEEEN
 
Kiukweli kabisa Tanzania, hatuna upinzani imara, hivyo
Kama ni kweli mnawatumaga hawa kufanya nini?
1642933182395.png


1642933648310.png



See the source image
 
Chama kina 30 years ofisi makao makuu kama banda ka UMBWA.
Wizi wa ruzuku kama vichaa. Hapo hakuna Kitu ni threat tu Kwa nchi
Threat kuliko wale walioJIMILIKISHA majengo ya umma, viwanja vya michezo na HATA maegesho ya magari, PAMOJA na kuwa ruzuku nene. Karibu mtalipa kwa uchungu.
 
Back
Top Bottom