Miaka 30 ya Chadema, Swot Analysis, PEST Analysis, Imarisheni Strengths, Shughilikieni Weakness, Start A Fresh!.

Miaka 30 ya Chadema, Swot Analysis, PEST Analysis, Imarisheni Strengths, Shughilikieni Weakness, Start A Fresh!.

Vipi kuhusu ACT?
Ni walewale naona. Sijaona chama kinachozungumzia maslahi ya wananchi, ni watu tu wanaotaka madaraka(wakikazana kusema lengo la chama cha siasa ni kushika madaraka). leo hii Zitto amejicommit kuiunga mkono serikali ya awamu ya sita no matter what.
 
Wanabodi,
Chadema imetimiza miaka 30.
Tangu ile Chadema inazaliwa miaka 30 iliyopita, imezaliwa na kunikuta mimi tayari niko newsroom kwa zaidi ya miaka 2, hivyo Chadema imezaliwa naiona, inakuwa naiona, ilipofika peak naiona, na sasa imeanza kusinyaa naiona, na ikiendelea hivi kwa mwendo huu, naiona kule inakoelekea, hivyo hili ni bandiko la ushauri, ili isifike huko ninakokuona mimi.

Hili ni bandiko la SWOT Analysis, na PEST Analysis, ya Miaka 30 ya Chadema huku nikiwashauri wa imarisheni strengths zao, na kushughughulikia weakness zao, na kama ikibidi to start afresh, Chadema is start a fresh!.

Mtu Asiye Chadema, Anaishauri Chadema Kama Nani?

Japo chama cha siasa ni mali ya wanachama, vyama vya siasa nchini Tanzania, vyenye wabunge na madiwani, ambavyo vinapokea ruzuku ya serikali, sio private parties za wanachama tuu, ni public parties za umma, paid by taxpayers money, ndio maana hesabu zake zinakaguliwa na CAG, hivyo sisi as public, mimi nikiwemo, we have all the rights to ask, know or make comments kuhusu all it's affairs, public as well as private.

Declaration of interest.
Mimi ni kada wa chama cha Mapinduzi, ila chama cha Mapinduzi kina makada wengi na wa aina nyingi na makundi mengi, kada mimi ni type impya ya makada wa CCM, tunaitwa CCM Conteporary, tunaoamini katika kutenda haki bin haki, CCM ikishinda uchaguzi, ishinde kwa haki, katika uchaguzi huru na wa haki, huku tukiamini bila upinzani imara, hakuna CCM imara.

Kiukweli kabisa Tanzania, hatuna upinzani imara, hivyo
huu ni ushauri wa bure, kwa Chadema, wa tathmini yangu ya Chadema ilipotoka, ilipo na inapokwenda, na Chadema mko huru kuusoma au kutousoma, kuuelewa au kutoelewa, kuufuata au kutoufuata, au hata kuupuuzia, mimi nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Ushauri huu nauweka kwenye points format huku nikionyesha nilishauri nini na nini kikatokea.

Highlights
Into ya Chadema
Chadema ile iliyokusudiwa
Mapito ya Chadema
Uimara wa Chadema
Udhaifu wa Chadema
Makosa ya Chadema
Matokeo ya makosa ya Chadema
Chadema ya Sasa
Chadema ilipo
Chadema inapokwenda
A Way Forward.
Hitimisho.

Nawaomba sasa sana sana kwa sasa, jiuzuie kadri uwezavyo msichangie chochote kwanza kwenye uzi huu hadi nondo zitakapo anza kushuka.

Natanguliza shukrani
Karibuni.
Paskali
Wewe ni kada wa ccm, huwezi kuleta huu uzi bila kuwa bias.
 
Wanabodi,
Chadema imetimiza miaka 30.
Tangu ile Chadema inazaliwa miaka 30 iliyopita, imezaliwa na kunikuta mimi tayari niko newsroom kwa zaidi ya miaka 2, hivyo Chadema imezaliwa naiona, inakuwa naiona, ilipofika peak naiona, na sasa imeanza kusinyaa naiona, na ikiendelea hivi kwa mwendo huu, naiona kule inakoelekea, hivyo hili ni bandiko la ushauri, ili isifike huko ninakokuona mimi.

Hili ni bandiko la SWOT Analysis, na PEST Analysis, ya Miaka 30 ya Chadema huku nikiwashauri wa imarisheni strengths zao, na kushughughulikia weakness zao, na kama ikibidi to start afresh, Chadema is start a fresh!.

Mtu Asiye Chadema, Anaishauri Chadema Kama Nani?

Japo chama cha siasa ni mali ya wanachama, vyama vya siasa nchini Tanzania, vyenye wabunge na madiwani, ambavyo vinapokea ruzuku ya serikali, sio private parties za wanachama tuu, ni public parties za umma, paid by taxpayers money, ndio maana hesabu zake zinakaguliwa na CAG, hivyo sisi as public, mimi nikiwemo, we have all the rights to ask, know or make comments kuhusu all it's affairs, public as well as private.

Declaration of interest.
Mimi ni kada wa chama cha Mapinduzi, ila chama cha Mapinduzi kina makada wengi na wa aina nyingi na makundi mengi, kada mimi ni type mpya ya makada wa CCM, tunaitwa CCM Contemporary, tunaoamini katika kutenda haki bin haki, CCM ikishinda uchaguzi, ishinde kwa haki, katika uchaguzi huru na wa haki, huku tukiamini bila upinzani imara, hakuna CCM imara.

Kiukweli kabisa Tanzania, hatuna upinzani imara, hivyo
huu ni ushauri wa bure, kwa Chadema, wa tathmini yangu ya Chadema ilipotoka, ilipo na inapokwenda, na Chadema mko huru kuusoma au kutousoma, kuuelewa au kutoelewa, kuufuata au kutoufuata, au hata kuupuuzia, mimi nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Ushauri huu nauweka kwenye points format huku nikionyesha nilishauri nini na nini kikatokea.

Highlights
Intro SWOT ni nini na PEST ni nini?.
SWOT na PEST za kazi gani, au za nini?.
Historia ya Chadema
Chadema ile iliyokusudiwa
Mapito ya Chadema
Uimara wa Chadema
Udhaifu wa Chadema
Makosa ya Chadema
Matokeo ya makosa ya Chadema
Chadema ya Sasa
Chadema ilipo
Chadema inapokwenda
A Way Forward.
Hitimisho.
Intro SWOT ni nini na PEST ni nini?.
SWOT ni neno la Kiingereza ambalo ni kifupi cha Strengths, Weaknesses, Opportunities, and Threats, ambapo hapa unachambua uimara, changamoto, fursa na hatari au tishio kwa Chadema.
PEST Analysis ni kifupi cha Political, Economic, Social and Technological.

SWOT na PEST ya Chadema ni za Nini?
SWOT
analysis ni kupima utendaji wa Chadema kama chama cha siasa katika kutimiza malengo yake. PEST analysis inapima trends na kuonyesha mialekeo ya Chadema kwenye the game of politics. A SWOT analysis ni subjective assessment wakati PEST analysis ni objective.

Historia ya Chadema
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, kiliomba rasmi usajili Tarehe 28/05/1992 na kupewa usajili wa muda, Tarehe 2 July 1992, kikafanya Mkutano wake Mkuu wa kwanza wa kuiasisi Chadema, Ukumbi wa Msimbazi
View attachment 2093402
uliohudhuriwa na waasisi 89, ambao mimi nilihudhuria nikiwa ripota wa RTD.
Hawa ndio Wanachama Waasisi wa Chadema
View attachment 2093404View attachment 2093405
Kati ya wanachama hawa waasisi wa Chadema, sijui ni wangapi bado wako Chadema mpaka sasa zaidi ya Freeman Mbowe.
Tarehe 21, mwezi January, mwaka 1993 ndipo Chadema kikasajiliwa rasmi kwa usajili wa kudumu na Msajili wa kwanza wa Vyama vya Siasa, Balozi Jaji Mst. George Liundi kikiwa ni chama nambari 3 baada ya CCM Numbari 1, na CUF Nambari 2
View attachment 2093409
Hivyo usikute japo mimi sio Chadema, kama jina lako halipo kwenye majina hayo, ujue mimi naijua Chadema kuliko wengi wa Chadema wenyewe kwasababu nilikuwepo hapo siku hiyo!.
Kufahamiana na Viongozi Wakuu wa Chadema.
Edwin Mtei ni baba mzazi wa Class mate wangu kwa miaka 7, enzi za Primary, 1975-1981 ikiwemo kufika kwake kote kote Dar na Arusha-, hivyo kuna uwezekano kuna watu humu wanadhani wana,fahamu sana muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei, kumbe wamemfahamia Chadema, mimi nimemfahamu toka akiwa Gavana, sambamba na Bob Makani.
Freeman Mbowe tumefahamiana kitambo, toka akiwa DJ, Mimi na Uncle J Nyaisanga ndio tumekuwa ma MC wa kwanza wa Club Billicanas ile inafunguliwa 1993, 1995, nimeendeshea kipindi cha Kiti Moto kutokea Bills, na nilipoa ile 1995, vikao vyangu vya harusi vimefanyikia Bills, nilipewa ukumbi bure na Freeman mwenyewe in person.

Nawaomba sasa sana sana kwa sasa, jiuzuie kadri uwezavyo msichangie chochote kwanza kwenye uzi huu hadi nondo zitakapo anza kushuka.

Natanguliza shukrani
Karibuni.
Paskali

Mazingira ya Tanzania ni magumu sana kwa vyama vya upinzani. Uchaguzi wa 2020 umeonyesha nchi yetu ilivyo chini kidemokrasia!

Chadema wamejitahidi sana kulinganisha na wengine hasa kwenye kusajiri wanachama sitashangaa kama wamefika 10M.
 
Wanabodi,
Chadema imetimiza miaka 30.
Tangu ile Chadema inazaliwa miaka 30 iliyopita, imezaliwa na kunikuta mimi tayari niko newsroom kwa zaidi ya miaka 2, hivyo Chadema imezaliwa naiona, inakuwa naiona, ilipofika peak naiona, na sasa imeanza kusinyaa naiona, na ikiendelea hivi kwa mwendo huu, naiona kule inakoelekea, hivyo hili ni bandiko la ushauri, ili isifike huko ninakokuona mimi.

Hili ni bandiko la SWOT Analysis, na PEST Analysis, ya Miaka 30 ya Chadema huku nikiwashauri wa imarisheni strengths zao, na kushughughulikia weakness zao, na kama ikibidi to start afresh, Chadema is start a fresh!.

Mtu Asiye Chadema, Anaishauri Chadema Kama Nani?

Japo chama cha siasa ni mali ya wanachama, vyama vya siasa nchini Tanzania, vyenye wabunge na madiwani, ambavyo vinapokea ruzuku ya serikali, sio private parties za wanachama tuu, ni public parties za umma, paid by taxpayers money, ndio maana hesabu zake zinakaguliwa na CAG, hivyo sisi as public, mimi nikiwemo, we have all the rights to ask, know or make comments kuhusu all it's affairs, public as well as private.

Declaration of interest.
Mimi ni kada wa chama cha Mapinduzi, ila chama cha Mapinduzi kina makada wengi na wa aina nyingi na makundi mengi, kada mimi ni type mpya ya makada wa CCM, tunaitwa CCM Contemporary, tunaoamini katika kutenda haki bin haki, CCM ikishinda uchaguzi, ishinde kwa haki, katika uchaguzi huru na wa haki, huku tukiamini bila upinzani imara, hakuna CCM imara.

Kiukweli kabisa Tanzania, hatuna upinzani imara, hivyo
huu ni ushauri wa bure, kwa Chadema, wa tathmini yangu ya Chadema ilipotoka, ilipo na inapokwenda, na Chadema mko huru kuusoma au kutousoma, kuuelewa au kutoelewa, kuufuata au kutoufuata, au hata kuupuuzia, mimi nitakuwa nimetimiza wajibu wangu.

Ushauri huu nauweka kwenye points format huku nikionyesha nilishauri nini na nini kikatokea.

Highlights
Intro SWOT ni nini na PEST ni nini?.
SWOT na PEST za kazi gani, au za nini?.
Historia ya Chadema
Chadema ile iliyokusudiwa
Mapito ya Chadema
Uimara wa Chadema
Udhaifu wa Chadema
Makosa ya Chadema
Matokeo ya makosa ya Chadema
Chadema ya Sasa
Chadema ilipo
Chadema inapokwenda
A Way Forward.
Hitimisho.
Intro SWOT ni nini na PEST ni nini?.
SWOT ni neno la Kiingereza ambalo ni kifupi cha Strengths, Weaknesses, Opportunities, and Threats, ambapo hapa unachambua uimara, changamoto, fursa na hatari au tishio kwa Chadema.
PEST Analysis ni kifupi cha Political, Economic, Social and Technological.

SWOT na PEST ya Chadema ni za Nini?
SWOT
analysis ni kupima utendaji wa Chadema kama chama cha siasa katika kutimiza malengo yake. PEST analysis inapima trends na kuonyesha mialekeo ya Chadema kwenye the game of politics. A SWOT analysis ni subjective assessment wakati PEST analysis ni objective.

Historia ya Chadema
Chama cha Demokrasia na Maendeleo, kiliomba rasmi usajili Tarehe 28/05/1992 na kupewa usajili wa muda, Tarehe 2 July 1992, kikafanya Mkutano wake Mkuu wa kwanza wa kuiasisi Chadema, Ukumbi wa Msimbazi
View attachment 2093402
uliohudhuriwa na waasisi 89, ambao mimi nilihudhuria nikiwa ripota wa RTD.
Hawa ndio Wanachama Waasisi wa Chadema
View attachment 2093404View attachment 2093405
Kati ya wanachama hawa waasisi wa Chadema, sijui ni wangapi bado wako Chadema mpaka sasa zaidi ya Freeman Mbowe.
Tarehe 21, mwezi January, mwaka 1993 ndipo Chadema kikasajiliwa rasmi kwa usajili wa kudumu na Msajili wa kwanza wa Vyama vya Siasa, Balozi Jaji Mst. George Liundi kikiwa ni chama nambari 3 baada ya CCM Numbari 1, na CUF Nambari 2
View attachment 2093409
Hivyo usikute japo mimi sio Chadema, kama jina lako halipo kwenye majina hayo, ujue mimi naijua Chadema kuliko wengi wa Chadema wenyewe kwasababu nilikuwepo hapo siku hiyo!.
Kufahamiana na Viongozi Wakuu wa Chadema.
Edwin Mtei ni baba mzazi wa Class mate wangu kwa miaka 7, enzi za Primary, 1975-1981 ikiwemo kufika kwake kote kote Dar na Arusha-, hivyo kuna uwezekano kuna watu humu wanadhani wana,fahamu sana muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei, kumbe wamemfahamia Chadema, mimi nimemfahamu toka akiwa Gavana, sambamba na Bob Makani.
Freeman Mbowe tumefahamiana kitambo, toka akiwa DJ, Mimi na Uncle J Nyaisanga ndio tumekuwa ma MC wa kwanza wa Club Billicanas ile inafunguliwa 1993, 1995, nimeendeshea kipindi cha Kiti Moto kutokea Bills, na nilipoa ile 1995, vikao vyangu vya harusi vimefanyikia Bills, nilipewa ukumbi bure na Freeman mwenyewe in person.

Nawaomba sasa sana sana kwa sasa, jiuzuie kadri uwezavyo msichangie chochote kwanza kwenye uzi huu hadi nondo zitakapo anza kushuka.

Natanguliza shukrani
Karibuni.
Paskali
Huu uzi utakamilika lini?
 
Ni walewale naona. Sijaona chama kinachozungumzia maslahi ya wananchi, ni watu tu wanaotaka madaraka(wakikazana kusema lengo la chama cha siasa ni kushika madaraka). leo hii Zitto amejicommit kuiunga mkono serikali ya awamu ya sita no matter what.
Na wale waliyowaleta covid 19?
 
Chadema wanaweza kuwaonyesha :
1). Mwenyekiti ambaye ndiye ameshika hatamu tangu kuzaliwa kwa chama hiki. Kama ni mtoto kuzaliwa, hivi sasa amemaliza masomo yake yote na jiko analitafuta kama hajapata.
2). Kuwa mwaminifu lazima uwe ''Chaga gangsters member''

3). Uwe mbobezi wa kusema uongo ili kulinda maslahi ya ''Chaga gangsters.''
 
Niko na Popcorn huku nikiwazia furushi la matusi hapa jukwaani.
Anyway utangulizi murua sana, na imani yangu kifuatacho ni pilau nyama mbuzi.
 
Tafadhalini sana tulishawaambia wale wasio wachadema msipende kumshauri,kwani Nia zenu ovu nasio njema,lakini kwa uwezo wa mungu sie tutaweza kuyamaliza na sio mtu atokee ccm kuishauri chadema nendeni mkashauri chama chenu.mlidhani chadema itakufa ng'o Wala msiwaze hayo tupo juu kwa kijigitali.
 
Chadema wanaweza kuwaonyesha :
1). Mwenyekiti ambaye ndiye ameshika hatamu tangu kuzaliwa kwa chama hiki. Kama ni mtoto kuzaliwa, hivi sasa amemaliza masomo yake yote na jiko analitafuta kama hajapata.
2). Kuwa mwaminifu lazima uwe ''Chaga gangsters member''

3). Uwe mbobezi wa kusema uongo ili kulinda maslahi ya ''Chaga gangsters.''
Kaanze kutafuta hoja za kuokoteza upya, kwani watoto nao wanashindwa kujizuia kukucheka
1645345772175.png
 
Back
Top Bottom