Miaka 30 ya Chadema, Swot Analysis, PEST Analysis, Imarisheni Strengths, Shughilikieni Weakness, Start A Fresh!.

Kwi kwi kwi, kumbe ni Mayalla, ha haa
 

Wangalau ww uchambuzi wako kuhusu CDM una logic, nimeridhiA
 
Ukitaka wasomi intellectuals waheshimu maandiko Yako, kuwa fair, katika threats ambazo jamaa mmoja amekwambia ni challenges, usisahau wanavyo dhoofishwa makusudi na vyombo vya Dola kuwafungulia kesi zisizo na dhamani, wanavyozuiwa kufanya mikutano huku wenzao wanapeta. Tume ya uchaguzi, viongozi wao wanavyonunuliwa etc.
 
Ila Pasco katoa ushauri mzuri.... CHADEMA inapaswa sasa ku develop au ku review 'Theory of Change'
 
Nimefurahi kurudi kwako.
 

Kama wanaweza anza upya, anza Na wewe! We si Ni mbogamboga?
 
Kawashauri Lumumba
 
Hii analysis yako Bwana Paskali ingekuwa na maana kama kungekuwa na level playing field katika siasa zetu. ccm wame_monopoly siasa kwa mgongo wa dola. Kwa hiyo huwezi kuweka huu ulinganifu ukaeleweka.

Bado kuna tume ya uchaguzi ya ccm, unaweza kusema kwa hakika kabisa wagombea wa upinzani wanashindwa kihalali kabisa kwenye chaguzi?
 
Kama CHADEMA ni dhaifu kama unavyodhani, si CCM muachie bwana sawa wa kisiasa tuone? Kwa haki kabisa, chama cha siasa ambacho ni dhaifu kabisa nchini na lipo kwasababu ya kubeba na mihimili tote ya dola na vyombo vyao ni CCM. Aachiwe Mbowe na wengine wafanye siasa kwa msingi ya sheria sawa na huru kama hutaona kilichomtoa kangaroo manyoya.
 
Wakubwa wanalijua hilo ndio maana wanabana. Ila ipo siku hukohuko ccm atatokea muungwana mwenye ya Mungu wa kweli, ataleta usawa. Hapo watajua nguvu halisi. Tatizo letu wote tunaamini uchaguzi ni mipango tu na mwishowe chaguo la Mungu.
 
Wewe CCM ambaye ulikataliwa na Mwendazake akasema Mayala NI njaa ......japo hakumalizia NI njaa ya nini sasa naiona NI njaa ya ubongo.......washauri CCM waachane na Mambo ya uchief sijui kitu gani Kwanza .....
 
Mungu akubariki.siongezi Wala kupunguza neno.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
AAAMEEEN
 
Chama kina 30 years ofisi makao makuu kama banda ka UMBWA.
Wizi wa ruzuku kama vichaa. Hapo hakuna Kitu ni threat tu Kwa nchi
Threat kuliko wale walioJIMILIKISHA majengo ya umma, viwanja vya michezo na HATA maegesho ya magari, PAMOJA na kuwa ruzuku nene. Karibu mtalipa kwa uchungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…