Chalii Wa Kipare
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 462
- 907
Mwamba, siwatanigongeaπππsio kitu cha lazima
ππππ,unamaanisha nini!Tugawane shida hizoo
ππalaaaaaah kumbe
Maji tu? Acha masiharaππKunywa maji tuu, hakikisha ni masafi na salama
mkuu unatupa taarifa au unataka ushauri?Nina miaka 40 pia nimejaaliwa watoto 2,shida nikwamba siku hizi TUNDA special limenikinai kabisa kiasi naweza kaa hata miezi sitamani kabisa, Sasa sijui ndio umri umekwenda au kuna shida. Zamani nilikuwa namsumbua bibie anipe tunda lakini huwezi amini Sasa hivi yeye ndio hunisumbua kwani mimi Sina time kabisa.
Tunda special πππTunda ni apple
Vyote vyote πππmkuu unatupa taarifa au unataka ushauri?
Eeeehhalaaaaaah kumbe
Haifiki 6 lakini 1-2 kawaida, halafu sio kwamba hamu ipo ni nikama natimiza wajibu tu.Miezi 6 oohhh
Mke wako ana moyo