ngoja wataalamu wajeVyote vyote πππ
Maji ni uhai, sasa kama huwez kula matunda kama maembe, mapapai, tikiti maji n.k unataka nini tena.?Maji tu? Acha masiharaππ
Jamaa kuhusu kikimbia nina program ya mazoezi kila siku jion, kwahiyo kwenye swala la kujiweka fit ondoa shaka.Weka kwenye blender ilo tunda lichakate unywe juice...
Pia anza kupikimbia mara tatu kwa siku, utaanza kusikia hamu ya kuinywa
Una Matatizo Makubwa....!Haifiki 6 lakini 1-2 kawaida, halafu sio kwamba hamu ipo ni nikama natimiza wajibu tu.
Jamaa ndio umeamua kuniua kabisa hapo kwenye mstari wa mwisho "mbaya kutamani kuliwa" πππKila kitu na wakati wake. Ukiona hivyo ujue jua ndio linazama hivyo. Itafikia wakati hata ukitamani hutoweza kulila.
Kikubwa una watoto tayari kuondoa shaka yeyote juu ya utimilifu wa uanaume wako.
Shukuru Mungu kwa hali hiyo, unaepukana na mengi.
Mbaya ukitamani kuliwa wewe tu, lakini kama hutamani kula mbona raha tu.
Ni swala la utu uzima,lakini pia inachangiwa na kuchokana,na kuzoeana,hapa nadhani ndio linakuja lile swala la wale wenye kuoa wake wengi,haiwezi kuwa sawa kwa wake wote....Haifiki 6 lakini 1-2 kawaida, halafu sio kwamba hamu ipo ni nikama natimiza wajibu tu.
Ndio unipe njia kwasababu nahisi hivyo, hata umpe nini kama humshughulikii vilivyo nikazi Bure.Una Matatizo Makubwa....!
Itaharibu Ndoa yako... Wanawake wasikie tu kwa jirani.
Ndio unipe njia Sasa.yaani una tatizo very serious. muda si mrefu mkeo ataanza kutafuta mbadala
Haya maisha yalivyo hilo linawezekana kweli?Mawazo mengi, punguza stress
Wewe shida nini πππPyeeeπ
Labda hapo kwenye lishe, mazoezi Nina program ya kila siku jion baada ya kazi.Angalia mfumo wa maisha hasa chakula
Kunywa maji
Pata tangawizi
Maziwa
Tembea mara kwa mara
Nina imagine tu πWewe shida nini πππ
au amekua furushi? maana ukitazama furushi unakua unasikia hamu ya kulipeleka jalalani.Haifiki 6 lakini 1-2 kawaida, halafu sio kwamba hamu ipo ni nikama natimiza wajibu tu.
πππ Acha mawazo ya ajabu ajabu wewe khaaNina imagine tu π
Akipata Mchepuko ataniua kwa stress au NgomaππTengeneza life kwa wanao tu mkuu, hayo mengine fanya ni ziada ...
Acha masihara jamaaau amekua furushi? maana ukitazama furushi unakua unasikia hamu ya kulipeleka jalalani.