Miaka 50 baada ya kifo cha Karume, ni nani haswa alimuua Karume?

Miaka 50 baada ya kifo cha Karume, ni nani haswa alimuua Karume?

Sikuwepo, labda auawe tena…. kwa uzoefu tu alifariki baada ya kuvuja damu nyingi kutokana na kupigwa risasi 8.
 
Akili zako ni kama wabunge wa viti maalum
Pole kwa kughafirika mkuu.

Unapotaka jawabu la kitu hasa hapa jf jaribu kufanya nilichokuelekeza la sivyo wewe na mleta uzi( ama wewe na wewe) mtaambulia patupu zaidi zaidi ni porojo tu.
 
Kwahiyo katika watu wa reference yako umeona Jonii bwashee?
 
Tukiwa tunaadhimisha miaka 50 baada ya kifo cha Abeid Karume, sasa tujiondoe kwenye jela ya fikra, ni nani haswa alipanga mipango na kumuua Karume? Uzi tayari. Karibuni kwa mjadala...

Cc: johnthebaptist
Mkuu tatizo la historia ya nchi hii imejaa UONGO mwingi kuliko UKWELI kwa sababu watawala wa mwazo walifanya rafu nyingi sana chini ya kapeti na kuandikwa mazuri yao tu

Kuna DHANA kama mbili hivi kuhusu kuuwawa kwa Kwarume

Mosi,
Inasemekana Karume alikua dikteta katili na alipoteza waliokwenda against na yeye na wengi wao wakiwa maswahiba wake wa karibu sana ana alianza nao kutawala pamoja
Askari aliye muua Humud inasemekani alifanya hivyo kulipa kisasi cha baba yake kuuwawa na Karume

Pili
Inasemekana Karume aliuchoka muungano na kutaka Znz ijitawale na awe na uhuru kamili kama rais badala ya kuwa chini ya Nyerere
Inasemekana Ikabidi shughulikiwe haraka asije akauvunja muungano

Kwa muktadha huo basi ni ukweli usiopingika kwamba wakati wa Karume watu walifungwa na kupotezwa sana chini yake hata mchonga na jiwe hawamfikii

Lakini pia muungano wa nchi hii unalindwa kwa gharama yoyote ile ikibidi, wengi sana wamesulubiwa kwa kutaka kuvunja muungano huu enzi hizo na hata sasa

Soma uzi huu kuna madini mengi sana kuhusu Karume na muungano
 
Mkuu tatizo la historia ya nchi hii imejaa UONGO mwingi kuliko UKWELI kwa sababu watawala wa mwazo walifanya rafu nyingi sana chini ya kapeti na kuandikwa mazuri yao tu

Kuna DHANA kama mbili hivi kuhusu kuuwawa kwa Kwarume

Mosi,
Inasemekana Karume alikua dikteta katili na alipoteza waliokwenda against na yeye na wengi wao wakiwa maswahiba wake wa karibu sana ana alianza nao kutawala pamoja
Askari aliye muua Humud inasemekani alifanya hivyo kulipa kisasi cha baba yake kuuwawa na Karume

Pili
Inasemekana Karume aliuchoka muungano na kutaka Znz ijitawale na awe na uhuru kamili kama rais badala ya kuwa chini ya Nyerere
Inasemekana Ikabidi shughulikiwe haraka asije akauvunja muungano

Kwa muktadha huo basi ni ukweli usiopingika kwamba wakati wa Karume watu walifungwa na kupotezwa sana chini yake hata mchonga na jiwe hawamfikii

Lakini pia muungano wa nchi hii unalindwa kwa gharama yoyote ile ikibidi, wengi sana wamesulubiwa kwa kutaka kuvunja muungano huu enzi hizo na hata sasa

Soma uzi huu kuna madini mengi sana kuhusu Karume na muungano
Uzi gani babu!!
 

Attachments

  • 42274971-F720-4F54-B6A1-2174D369DB03.jpeg
    42274971-F720-4F54-B6A1-2174D369DB03.jpeg
    34.1 KB · Views: 50
Back
Top Bottom