Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1




Subiri aende wikipedia kwanza,,,!!
 

Wewe Pasco mimi sikupi elimu yoyote kwani kwako haina faida yoyote kaa na chuki zako zisokuhusu. Kama ni mtafiti na muandishi utatafuta na kusaka information kwa nguvu zako au kama utawaibia hao waajiri wako ni shauri yao kukupa hela. Nenda huko UN kaitafute hiyo Barua ya kufuta kiti ukiikosa ukaizae.

Wewe sidhani kama hata hiyo damu ya Usukumani unayo kwani Wasukuma ninaowajuwa mimi ni.watu wema sana wenye adabu sana sababu wamenilea na wengine nimewazika kwa heshima zote.

Wewe Zanzibar na Uislam unaokuchukiza utakuumiza matumboni mwako.

Mzee Moyo jana kawamalizia maneno kasema akimjibu Shamsi Vuai Nahodha kuwa hawaku pindua ili wawaite watu wawasaidie kutawala meaning nyinyi mnaojibandika uzanzibari usio wenu.

Wewe umetukana na kukashifu wanawake wa Zanzibar na ufidhuli mkubwa sisi tutachokifanya ni kukutoa uwanjani kwa wanawake wa Zanzibar wakuhukumu wenyewe in public kama ulivyofanya wewe. Wakikufingulia libel or sexual harrasment case mashahidi tupo.

Na since yule uliemtaja yuko hai na mwenye akili timamu tutampa ushahidi wote uiliomo humu.

Koma ukome Zanzibar is Zanzibar will never be Colony la Tanganyika anymore.

Ule usemi WHEN ONE PIPES IN ZANZIBAR THEY DANCE IN THE LAKES bado uko hai mtabaki kucheza kiduku huko maziwani kwenu.
 

Watatu si wawili. Labda atawajua hao maana kati yao wamo wadogo sana ki umri ukiwalinganisha na Karume na ndiyo maana nikamwachia Pasco kama atawajuwa.
 
Last edited by a moderator:

Unanikubusha post yangu hii kwa Pasco:
 
Last edited by a moderator:
Abuu_shani
 
Last edited by a moderator:

Huna ujanja wa kututishia kwa chochote wala lolote vijana wa Madrasa hata chembe, mkoswa na haya weye

Wewe endelea kukemea sie kazi yetu ni KUPIGA tu,

Huna jipya hata la kujielimisha peje yako na ndo maana hata wenzio ambao kidogo walikuwa wanajaribu kukuunga mkono wamekutosa baada ya kuona UPUUZI umekuwa jadi yako,

Na si muda hata hao walokutuma nao watakukimbia ukose uhakika wa kuumudu mji wa Waungwana na urejee makondeni kwenu,

Tumezaliwa mjini na ni katika vizazi vya waungwana, wewe ni mtu wa kugeza/ kukopi na kupesti ndosababu huna misimamo bali kama na Shaitwaan ila hata huyo Shaitwaani mwenyewe hujuta,

Kama hoja zimekuisha, kwanini kutokukaa kimya au ndo umewekewa mtu wa kukufuatilia na wale mabosi wako ili isijekuwa unachukuwa pesa zao bure?!

Kazi unayo utazicheua tu,

Vijana wa Madrasa wanashuka na Facts za kuanzia karne hizo si wewe wa kuokotaokota na kuungaunga kama viraka vya nguo, na wenye kufuatilia wote wanalikubali hilo lakini wanakerwa na upotokwaji wako,
Maana wawanyima mwendelezo uloshibana wa kuwafungua bongo zao.
 

Pasco

Nakupa ushauri tena angalia unavyoandika jina la Khawarzm, kumbuka hata sisi ni wahuni tukiamua kuleta uhuni huu uzi utafungwa lakini sisi hatutakwenda huko unapotaka, wewe tuite upendavyo hakuna tatizo.
 
Last edited by a moderator:
Pasco, sasa msome binti yetu uliyemvunjia adabu anasema nini kuhusu muungano ambao wewe unauita "mtukufu":

‘Hakuna ajenda ya siri'
Mwanzoni kuukosoa muungano ikichukuliwa kama ni kosa la jinai. Lakini baada ya kuletwa tena mfumo wa vyama vingi, ukosoaji umekuwa wa kiwango cha juu. Hata hivyo, mara nyingi wazanzibaris ambao wanahoji muungano hutuhumiwa kuwa na ajenda ya siri; kuazimia kuurejesha utawala wa kisultan au kuunda serekali ya kidini. Wazanzibari wengi wanachukulia shutuma hizi kua zinaonyesha upeo mdogo kuitambua historia ya Zanzibar na pia ni shutuma za kipuuzi. Badala yake wanatia maanani zaidi suali la demokrasi na uchumi kuwa ni kitu muhumu zaidi kwao kinachoweza kurekebisha uhusiano wao na upande wa Tanzania bara. - Salma Said


Soma zaidi ukajifunze adabu kwa huyo uliemkosea adabu humu: Muono wa muungano kutoka Zanzibar: Je, muda wa marekebisho umefika? | Zanzibar Yetu
 

Pasco, wewe kiboko unaweza kututajia idadi ya wanaweke uliofanya nao zinaa hapo gerezani kwa Mohamed Said walikuwa wangapi, pamoja na kule Zanzibar wakati upo RTD kama unavyosema, walikuwa wanakufuata wenyewe wakikuona tu?
 
Last edited by a moderator:
Watatu si wawili. Labda atawajua hao maana kati yao wamo wadogo sana ki umri ukiwalinganisha na Karume na ndiyo maana nikamwachia Pasco kama atawajuwa.

Naona hawajui ndo kapeleka uzi wako jamvini kwa uzi mpya anaomba msaada kama Mzee Karume alikuwa na wake 7 na watoto kadhaaa....nenda umjibu kule
 
Last edited by a moderator:
Huyu ndiye binti yetu aliyevunjiwa adabu pamoja nasi wote na Pasco humu kwenye uzi huu:



Salma Said
Du, yamekuwa haya?!. Unaleta picha ya mtu kumdhalilisha kwa sababu nilisema namjua?!.
Kiukweli Zomba utalaaniwa na kulaanika kwa usumbufu wowote utakaomsababishia huyu dada wa watu!. Karma itakushughulikia!.

Wanabodi kwa wale ambao hakuufuatilia huu uzi tangu mwanzo, hebu someni jinsi nilivyomtaja dada wa watu
Huyu binti ni mwanahabari mwenzangu, sina mahusiano yoyote yasiyofaa na mwanahabari huyu!. Tangu nimemfahamu ni mwanamke mwenye staha, anayejiheshimu, mwenye weledi wa hali ya juu sana kitaaluma kwenye tasnia ya habari.

Nawaomba tuzipuuze hoja zote zinazomhusu dada huyu!. Nilicho sema ni hiki
Salma, wewe ni member humu jf, nakuomba ujitokeze kukanusha dhana ya wapotoshaji hawa, kutaka kukuvunjia heshima na kukuchonganisha nami/sisi wabara. Nakuja huko Ijumaa hii tarehe 3, nitakaa huko siku 10, hadi tarehe 13 Januari baada ya sherehe ya Mapinduzi.

Wengine wote naomba mnisamehe sana, huu uzi unakwenda kusiko, tumetoka kwenye heri tunaelekea kwenye shari kwa kuwaingiza watu wasiokuwemo sasa watu wanaleta picha za watu wasiohusika humu kuwadhalilisha.


 
Naona hawajui ndo kapeleka uzi wako jamvini kwa uzi mpya anaomba msaada kama Mzee Karume alikuwa na wake 7 na watoto kadhaaa....nenda umjibu kule

Kwa hiyo huu kaumaliza ama umemuelewa vipi na wewe unapata faida gani kwa hao wakeze au ndo nawe ukaowe kwa wangwana?

Nilikuambia tangu mwanzo leo tutakuwa nawe gamba tuone yaloko ndani yako,

Zijana hawa wana mikoba mingi haina mifano, hapo hata thaluthi ya mikoba yao haijakurubiwa.
 
Tulikuonya mapema usilete uhuni humu kuna wahuni zaidi yako ukaendelea na kauli zako za kifedhuri kuwa mimi matusi ndio kauli yangu siwezi kubadilika watoto wa gerezani sasa ndio tunakufundisha uhuni kwa taarifa yako huyo dada ni ndugu yetu, na hawezi kuja humu JF kukanusha upuuzi wako wewe si unasema wanawake walikuwa wanakufuata wenyewe ulivyokuwa RTD sasa unalia lia nini.
 

Wanabodi mnaoendelea kuchangia uzi huu, subject matter ya uzi huu ni hii!. Wale tuu wenye kujua lolote kuhusu hili, ndio tunaomba mawazo yenu, inaelekea sii wengi ni wajuzi wa hii hoja ya msingi hapa, hivyo naomba sasa tukubaliene tuufunge mjadala huu, tuelekee kwenye sehemu ya pili!.

Asanteni sana kwa kuchangia!.

Pasco

Mode, Salaam, nadhani hoja za msingi kwenye uzi huu zimekwisha, hivyo naomba sasa uzi huu ufungwe rasmi kufuatia watu kuanza kuchafua majina ya watu halisi na kuleta picha za watu halisi huku zikiandamana na maneno ya uzushi kwa lengo la kuhamasisha chuki!.
Pasco.
 

Wewe. PASCO unanitishia mimi maisha yangu kwa kuitaja character yako ya ufidhuli uliomfanyia binti yetu basi mimi sikutishii maisha yako.

Ila nilikuonya you are a public figure you were supposed to maintain your journalistic ethics badala yake umefanya upaparazi na udaku wa tabloids na kumdhalilisha mtoto wetu sasa jutia uliyoyafanya wala usimuombe yule binti kutaka kumdanganya tumeshazi copy hizi nyuzi by screen shots ushahidi kamili tunao so no.where to hide endelea na.lugha yako unayoijua.
 

Pasco, tupe hiyo orodha ya wanawake wa Kizanzibar uliofanya nao zinaa hapo Zanzibar mpaka ukapigwa marufuku usikanyage Zanzibar.
 
Last edited by a moderator:


Wewe si upo kazini?
Sie tupo kuyafunua yalofinikwa navkupotishwa,

Sasa wataka tukukumbushe wapi umeyaandika hayo mauharo yako?

Udhalilishaji umefanywa na wewe, na baada ya hapo tunakutaka ututajie na wale mabinti zetu wa gerezani ili usalimike na vitanzi,

Haki na Sheria wa kuijua ukawa wewe mkoswa na nidhamu?

Hapa si pahala pa porojo, The home of Great thinker, are among of them?
 
Pasco, uzi hauwezi kufungwa ufungwe kwa sababu zipi? Wewe ndio umetaja majina ya watu humu halafu unalalamika, JF inaendeshwa kwa taratibu zake hawafuati mawazo ya mtu, uzi bado mbichi.

Aku..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…