Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,764
- 896
Anataka kujifanya JF mali yake akitoa amri Mods wafunge uzi wanafunga Ebo!Wewe si upo kazini?
Sie tupo kuyafunua yalofinikwa navkupotishwa,
Sasa wataka tukukumbushe wapi umeyaandika hayo mauharo yako?
Udhalilishaji umefanywa na wewe, na baada ya hapo tunakutaka ututajie na wale mabinti zetu wa gerezani ili usalimike na vitanzi,
Haki na Sheria wa kuijua ukawa wewe mkoswa na nidhamu?
Hapa si pahala pa porojo, The home of Great thinker, are among of them?
Anataka kujifanya JF mali yake akitoa amri Mods wafunge uzi wanafunga Ebo!
Huna ujanja wa kututishia kwa chochote wala lolote vijana wa Madrasa hata chembe, mkoswa na haya weye
Wewe endelea kukemea sie kazi yetu ni KUPIGA tu,
Huna jipya hata la kujielimisha peje yako na ndo maana hata wenzio ambao kidogo walikuwa wanajaribu kukuunga mkono wamekutosa baada ya kuona UPUUZI umekuwa jadi yako,
Na si muda hata hao walokutuma nao watakukimbia ukose uhakika wa kuumudu mji wa Waungwana na urejee makondeni kwenu,
Tumezaliwa mjini na ni katika vizazi vya waungwana, wewe ni mtu wa kugeza/ kukopi na kupesti ndosababu huna misimamo bali kama na Shaitwaan ila hata huyo Shaitwaani mwenyewe hujuta,
Kama hoja zimekuisha, kwanini kutokukaa kimya au ndo umewekewa mtu wa kukufuatilia na wale mabosi wako ili isijekuwa unachukuwa pesa zao bure?!
Kazi unayo utazicheua tu,
Vijana wa Madrasa wanashuka na Facts za kuanzia karne hizo si wewe wa kuokotaokota na kuungaunga kama viraka vya nguo, na wenye kufuatilia wote wanalikubali hilo lakini wanakerwa na upotokwaji wako,
Maana wawanyima mwendelezo uloshibana wa kuwafungua bongo zao.
Hana hakika na akisemacho muokotelezaji mkubwa yule na mnajisi wa mabinti zetu kama ajisifiavyo kwa upumbavu huo ambao yeye auona ni fakhri,
Ndo maana kashindwa ajiriwa kwasabu mambo yake ni ya ubabaishaji,
Pasco
Nakutaka usimamie ukitamkacho/ ukiandikacho,
Usikimbie kimbie, yale maneno yako ambayo uishayazoea sasa hivi umeyasahau?
Then alivyo nunda hata ukimpatia majiti ya roho anajitoa ufaham na kujifanya analike majiti hayo,,
Me nina was was sana na huyu checkbob,hasa pale zomba aliposema kwamba anasemekana huyu Pasco anakasumba ya ku-bleach uso wake kama wale wacheza show za wakongoman nimepata na wasi wasi nae sana...!!
Wala siwez kusema huyu ni ASIMILADO katika zile ASIMILLATION POLICIES ZA FRENCH LA HASHA..!
MIMI NAHISI HUYU BWANA ATAKUWA "MCHELE MCHELE SIO BURE"
MWANAUME ALIEKAMILIKA HAWEZI KUJISIFIA KUWANAJISI WANAWAKE,WANAWAKE WANASTAHIKI KUPEWA HESHIMA KUBWA ULIMWENGUNI,KWANI KUPITIA MWANAMKE MWANAUME AMEWEZA KUINGIA NA KUIJAZA DUNIA HII,,
HUYU ATAKUWA NI MCHELE MCHELE...
NB:
wabara usisahau kuniomba radhwi tafadhali,,ni tusi kutufananisha wamakonde na mchovu wa maisha kama Pasco...
Tusi kubwa sana,najua limekuponyoka tuh,hujadhamiria....
Nakuja Zanzibar kwa siku 10 kuanzia Jumamosi tarehe 3 hadi tarehe 13 Januari baada ya Kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Mapinduzi Matukufu. Nikishaamua kwa uhakika nitafikia wapi, pia nitakutajia hoteli ili uwe huru kunipata kwa urahisi, na ikitokea ukaamua kunitumia "vijana wetu" walee!, hakikisha ni vijana walikamili kweli na kama wakija nazo, waje nazo zile nzito!, kwa sisi wengine vile vichupa vya kumwagiana kama mfanyavyo huko, ni kujisumbua bure!.Wewe. PASCO unanitishia mimi maisha yangu kwa kuitaja character yako ya ufidhuli uliomfanyia binti yetu basi mimi sikutishii maisha yako.
Ila nilikuonya you are a public figure you were supposed to maintain your journalistic ethics badala yake umefanya upaparazi na udaku wa tabloids na kumdhalilisha mtoto wetu sasa jutia uliyoyafanya wala usimuombe yule binti kutaka kumdanganya tumeshazi copy hizi nyuzi by screen shots ushahidi kamili tunao so no.where to hide endelea na.lugha yako unayoijua.
The Bog Show
Niwie tadhwi muungwana wewe, huyu asokabila ngoja akabilike kwa zijana wa Madrasa ili atiwe adabu hata za dharura kwa lazima,
Na pana haja ya kuliweka wazi jambo la yule binti yetu Salna Said pale TBC ili ajue si rukhsa kucheza na uthamani wa mtu kipuuzipuuzi kama adhaniavyo yeye.
Du, yamekuwa haya?!. Unaleta picha ya mtu kumdhalilisha kwa sababu nilisema namjua?!.
Kiukweli Zomba utalaaniwa na kulaanika kwa usumbufu wowote utakaomsababishia huyu dada wa watu!. Karma itakushughulikia!.
Wanabodi kwa wale ambao hakuufuatilia huu uzi tangu mwanzo, hebu someni jinsi nilivyomtaja dada wa watu
Huyu binti ni mwanahabari mwenzangu, sina mahusiano yoyote yasiyofaa na mwanahabari huyu!. Tangu nimemfahamu ni mwanamke mwenye staha, anayejiheshimu, mwenye weledi wa hali ya juu sana kitaaluma kwenye tasnia ya habari.
Nawaomba tuzipuuze hoja zote zinazomhusu dada huyu!. Nilicho sema ni hiki
Salma, wewe ni member humu jf, nakuomba ujitokeze kukanusha dhana ya wapotoshaji hawa, kutaka kukuvunjia heshima na kukuchonganisha nami/sisi wabara. Nakuja huko Ijumaa hii tarehe 3, nitakaa huko siku 10, hadi tarehe 13 Januari baada ya sherehe ya Mapinduzi.
Wengine wote naomba mnisamehe sana, huu uzi unakwenda kusiko, tumetoka kwenye heri tunaelekea kwenye shari kwa kuwaingiza watu wasiokuwemo sasa watu wanaleta picha za watu wasiohusika humu kuwadhalilisha.
Nakuja Zanzibar kwa siku 10 kuanzia Jumamosi tarehe 3 hadi tarehe 13 Januari baada ya Kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Mapinduzi Matukufu. Nikishaamua kwa uhakika nitafikia wapi, pia nitakutajia hoteli ili uwe huru kunipata kwa urahisi, na ikitokea ukaamua kunitumia "vijana wetu" walee!, hakikisha ni vijana walikamili kweli na kama wakija nazo, waje nazo zile nzito!, kwa sisi wengine vile vichupa vya kumwagiana kama mfanyavyo huko, ni kujisumbua bure!.
Pasco.
zomba a.k.a Mzee wa Hints...!!Wewe unasema nini saa hizi? jina la Salma Said alileta nani hamu kwnye hii nyuzi kwa mara ya kwanza na kwa mantiki ipi. Si umemvulia heshima yake humu, au umesahau? licha ya kuleta jina la Salma Said humu na kutujuza kuwa ni wako kimapenzi ukaja na kututukana kuwa dada zet wa gerezani wakikupapatikia ulipokuwa RTD.
Sasa huyo ndio Salam Said uliyemvunjia heshima humu na kujisifu sifa za kijinga kupitia jina lake. Tumeweka picha wasiomjuwa wamjuwe mtu uliyemvunjia heshima. Licha ya kukusihi na kukuomba uachane na hayo, ukaendelea kejeli na tashtiti.
Nna uhakika Wazanzibari wanakusoma humu na unakwenda huko kama ulivyosema, nna uhakika ukifika huko utakuwa na mengi ya kuwajibu.
Nakuja Zanzibar kwa siku 10 kuanzia Jumamosi tarehe 3 hadi tarehe 13 Januari baada ya Kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Mapinduzi Matukufu. Nikishaamua kwa uhakika nitafikia wapi, pia nitakutajia hoteli ili uwe huru kunipata kwa urahisi, na ikitokea ukaamua kunitumia "vijana wetu" walee!, hakikisha ni vijana walikamili kweli na kama wakija nazo, waje nazo zile nzito!, kwa sisi wengine vile vichupa vya kumwagiana kama mfanyavyo huko, ni kujisumbua bure!.
Pasco.
Nakuja Zanzibar kwa siku 10 kuanzia Jumamosi tarehe 3 hadi tarehe 13 Januari baada ya Kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Mapinduzi Matukufu. Nikishaamua kwa uhakika nitafikia wapi, pia nitakutajia hoteli ili uwe huru kunipata kwa urahisi, na ikitokea ukaamua kunitumia "vijana wetu" walee!, hakikisha ni vijana walikamili kweli na kama wakija nazo, waje nazo zile nzito!, kwa sisi wengine vile vichupa vya kumwagiana kama mfanyavyo huko, ni kujisumbua bure!.
Pasco.
Karibia sana Zanzibar wala usiogope ni nchi ya waungwana ukisikia Zanzibar kabakwa mtu au kauliwa mtu ni lazima itakua kuna wale watu wenye tabia za kama kwako.za kutishia watu.
Tokea enzi za wazee wetu Zanzibar ni Njema atakae aje!
Wewe ungalikuwa niko Zanzibar ningalikualika kwangu ukaona karama za Wazanzibari na Utamaduni wa Kiswahili wa Kimwambao.
Mimi sikulelewa kama wewe mimi sijawahi wala sitowahi kuharibu mabinti za watu. Mimi MUUNGWANA sitoi roho ya mtu hata kama.afui yangu kwani nikifanya hivyo nitakosa Pepo na Rehema za Allah.
Wewe fika tu kwetu huko wala usitaharuki ukaaangalia nyuma ya bega.
We are peacefull people ndio makataka mtugeuze colony lenu eti.
Wazenji kweli mnaniacha. Yani mnaona monarch ndio kitu cha kujivunia wakati hata waarabu washaichika kama huko Bahrain. Labda sijui historia ya zanzibar na hiyo familia ya kisultani ni ipi na ilifanya kipi chamaana sana kwenu
Wewe unasema nini saa hizi? jina la Salma Said alileta nani hamu kwnye hii nyuzi kwa mara ya kwanza na kwa mantiki ipi. Si umemvulia heshima yake humu, au umesahau? licha ya kuleta jina la Salma Said humu na kutujuza kuwa ni wako kimapenzi ukaja na kututukana kuwa dada zet wa gerezani wakikupapatikia ulipokuwa RTD.
Sasa huyo ndio Salam Said uliyemvunjia heshima humu na kujisifu sifa za kijinga kupitia jina lake. Tumeweka picha wasiomjuwa wamjuwe mtu uliyemvunjia heshima. Licha ya kukusihi na kukuomba uachane na hayo, ukaendelea kejeli na tashtiti.
Nna uhakika Wazanzibari wanakusoma humu na unakwenda huko kama ulivyosema, nna uhakika ukifika huko utakuwa na mengi ya kuwajibu.
Mimi ni Mswahili wa bara, hivyo nayaandika majina kwa jinsi ninavyoyatamka!. Kahawarizimu na Ahamedi Diidati!.Tazama nilipokuwekea nyekundu, nna uhakika hiyo si typo, ni kusudi kabisa unam harass mtu kwa "name calling", hujaanzia hapo niliona nyuma huko ulipobadili ahmed deedat na kuipachika jina upendalo wewe. Huo kama si ushetani ni nini?
Ni uelewa wako mdogo tu kujua nini tofauti ya absoulte Monarch na constitutional monarch. Kama hujui faida za constitutional monarch basi hata Tanganyika ilikaa chini ya constitutional monarcy kwa mwaka mmoja tangu 1961 hadi 1962.
Britain, Canada, Australia, New Zearland kote huko kuna constitutional monarchy.
Kama huoni faida ya hiyo sysytem basi iambie Tanzania ijiondoe kwenye CHOGM ambayo kwa mbali kidogo unaweza kuifananisha na constitutional monarch huku Head of CHOGM akiwa Britain Monarch.
Pasco
Mimi ni Mswahili wa bara, hivyo nayaandika majina kwa jinsi ninavyoyatamka!. Kahawarizimu na Ahamedi Diidati!.
Kama hii nayo ni name calling, ama unaweza niripoti pia, unaweza kukisia ban ya siku ngapi itanitosha, naweza kujipa mwenyewe, leo ni week end, ma mode wote wako mapumziko mpaka kesho Jumatatu saa 3 asubuhi.
Hata mimi nimeomba thread hii ifungwe ili niifungue ile nyingine!.
Mfulilizo wa thread hizi ziko 5, zinatakiwa kutoka kabla ya kilele cha Sherehe ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar!.
Mada zenyewe ni hizi
- Part I-Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar: Maswali Bila Majibu Part I
- Part II-Jee nini Chanzo Halisi cha Mapinduzi ya Zanzibar na Nani Haswa Waipanga/Waliotekeleza
- Part III -Nani ni Shujaa Halisi wa Mapinduzi ya Zanzibar!.
- Part IV -Kwanini Abedi Amani Karume, Aliyakimbia Mapinduzi ya Zanzibar na hakushiriki?
- Part V- Baadhi Matunda ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ni Muungano Adhimu!-"Mapinduzi Daima!"
Nasubiri tumalize hili tusonge mbele!.
Pasco.
Pasco, uzi hauwezi kufungwa ufungwe kwa sababu zipi? Wewe ndio umetaja majina ya watu humu halafu unalalamika, JF inaendeshwa kwa taratibu zake hawafuati mawazo ya mtu, uzi bado mbichi.
Aku..