Then alivyo nunda hata ukimpatia majiti ya roho anajitoa ufaham na kujifanya analike majiti hayo,,
Me nina was was sana na huyu checkbob,hasa pale
zomba aliposema kwamba anasemekana huyu
Pasco anakasumba ya ku-bleach uso wake kama wale wacheza show za wakongoman nimepata na wasi wasi nae sana...!!
Wala siwez kusema huyu ni ASIMILADO katika zile ASIMILLATION POLICIES ZA FRENCH LA HASHA..!
MIMI NAHISI HUYU BWANA ATAKUWA "MCHELE MCHELE SIO BURE"
MWANAUME ALIEKAMILIKA HAWEZI KUJISIFIA KUWANAJISI WANAWAKE,WANAWAKE WANASTAHIKI KUPEWA HESHIMA KUBWA ULIMWENGUNI,KWANI KUPITIA MWANAMKE MWANAUME AMEWEZA KUINGIA NA KUIJAZA DUNIA HII,,
HUYU ATAKUWA NI MCHELE MCHELE...
NB:
wabara usisahau kuniomba radhwi tafadhali,,ni tusi kutufananisha wamakonde na mchovu wa maisha kama
Pasco...
Tusi kubwa sana,najua limekuponyoka tuh,hujadhamiria....