Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

waingereza walikuwa hawanyofowi korodani

Kasome tena historia: nakupa kipande kidogo tu hapa:

This chapter examines several cases of slaves who were charged of attempted rape of white women. The rape of a white female by a slave was indeed a capital crime in Virginia as well as the rest of the slave-holding South during the 19th century. Attempted rape by a slave, however, was not yet punishable by death in Virginia. Instead, slaves convicted of the attempted rape of a white female were castrated. The treatment of black males in southern rape statues reflected not white anxiety about black rape but rather the codified belief that blacks, specifically slaves, had to abide by a different, stricter set of legal standards to ensure greater control of the region's bonded labor force. The life of a slave was also balanced against not merely the race of the accuser, but by her behavior and demeanor as well.

Source: Rape, Race, and Castration in Slave Law in the Colonial and Early South - Oxford Scholarship
 
Mkuu Sinapandu, kwa vile nitakuwa Zanzibar kwa siku 10, nitakitafuta kitabu hicho ili kupata ilmu.

Mpaka sasa kati ya Mashujaa wa Mapinduzi Matukufu na Muungano Adhimu aliyepo hai ni Mzee wetu Hassan Nassor Moyo, jana nimeelezwa na Mzanzibar mmoja kuwa yeye ndiye pekee mwenye zile original signed Articles of Union. Ikulu Zanzibar hazipo!, Ikulu bara hazipo!, kwenye Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa hazipo!. Mhifadhi Mkuu amesema kila rais anapomaliza muda wake, huondoka na baadhi ya kumbukumbu na personal copies zake za nyaraka kwa ajili ya kutunzwa kwenye personal presidential achieves hivyo nipatapo fursa ya kwenda Butiama, nitaziulizia, ila nafanya juhudi kumpata Mzee Hassan Nassor Moyo!.

Asante Mkuu Sinapindu, kwa hili nitakutafuta, ila alichofanya ni kujaribu kubadili mind set ya Mapinduzi ya Zanzibar kuwa hakukufanywa na Wanzibari bali wabara!, tangu day one nikauliza kwa nini ajikite kwa wanaodai ndio washiriki wa mapinduzi hayo wa upande mmoja ili hali mashushajaa wa Mapinduzi yale wakingapo hai?!. Na Mwenyeezi Mungu atakapoamua hatma ya hawa wachache waliobakia, naamini wataibuka mashujaa wapya wengi zaidi kussuport hilo ili kujifariji ASP walimpenda Sultani na ndio maana waiahidi kumlinda!, aliyempindua Sultani ndio yule yule aliyempokea, kumhifadhi na kumpatia safe passage to UK!.

hili la upendeleo, tumemsema sana humu, kakubali kuwa yeye ni muwamba ngoma, lazima avutie kwake na kuwa lengo ni ajili ya Wazee wake wa Gerezani tuu, wengine nao wakaandike na kuwapendelea wa kwao!.


Hili tumemlilia sana kuwa inawezekana alivyoambiwa sivyo, humu ameambiwa jinsi haswa ilivyo, tukamuomba basi angalau arekebisha makosa!, kagoma kata kata akiwataka walioona makosa nao watoe machapisho yao kulirekebisha andiko lake!.

hili ni andiko la kutafutwa na ikibidi mwenye nalo alimwage humu!.

Hiki ndicho kitakachofuatia baada ya uzi huu, uandishi wa kitabu ni kipaji, sisi wengine tumejaaliwa critique tuu na sio kuandika.

Hili nimekubali siku nyingi ila Mapinduzi ya Zanzibar yalikuwa ni class strungle kati ya wenyenacho na wasionacho, kisha wasionacho sio tuu kukalia makazi ya wenyenacho bali pia kuwabaka binti za wenyenacho na kuwafanya wake zao kwa nguvu matokeo yake ni vizalia wenye hasira machungu na visasi!, michango ya vizalia hivyo humu naibaini wazi, kuambiwa ukweli hawataki, undeni tume ya mapatano na maridhiano muambiane mlivyo fanziana kwenye mapinguzi yale, mshikane mikono, msameheane, msonge mbele!, ndio kwanza wengine wanatafuta scapegoat ya hasira zao kuwasingizia wengine kuwa ndio waliopindua ili kujifariji!, tena Waushukuru sana huu Muungano Adhimu, vinginevyo sijui wengine wangekuwa wapi hii leo!.
Pasco.
[/QUOTE]

Pasco,
Sikukwepa kitu chochote.

Huo mtazamo wa kitabaka ni kwa aupendae.
Mimi niliandika kwa ''biographical approach.''

Hii ndiyo staili yangu ya uandishi.

Huyo Dk. Mkenda hakuwa wa kwanza kuliona hilo la katibu wa Dockworkers
ambae hakuwa kuli.

Prof. Shivji alipita hapo kwanza na katika kitabu changu nimetoa jibu.

Hapo Sakura na Kipumbwi Dk Ghassany hakufanya mahojiano na yoyote kwa
sababu watu wenyewe hawakuwapo.

Usihangaike na hilo.
Miongo zaidi ya mine ishapita.

Dk. Ghassany alifika hapo kutafiti mengine katika historia ya mapinduzi.

Nimesoma barua zote Makoko alizokuwa akimuandikia Ally Sykes katika
miaka ya mwishoni 1950 mpaka zile za Makoko alizokuwa akimuonya Ally
Sykes kuhusu Nyerere na mengi tu.

Sikuona haja ya kuziweka katika kitabu changu.
Si hizo barua za Makoko tu nilizoziona na kuacha kuzitumia.

Nimesoma barua za Chief Thomas Itosi Marealle kwa Ally Sykes na zina
mengi kuhusu Nyerere.

Nani wa kufanya tume ya maridhiano?
Fikiri kwanza kablsa hujafungua kinywa kusema.

Pasco haya mambo huna uwezo wa kuyazungumza hujui kitu.
Soma kwanza ndiyo uandike.
 
Mkuu Gombe Sugu Muzee wa Ahasanta, ahasanta tena!.
Hili la kupumzika kutafanza sabra mpaka hii holiday season iishe ni jema.

Tena nakuja Zanzibar kwa siku 7 kushiriki kikamilifu katika maadhimisho ya Miaka 50 ya Kheri na Neema ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar!. Kuna watu humu, yasingalikuwa yale Mapinduzi Matukufu!,sijui wangekuwa wapi?!.
Nakutakia mapamzako meama!
Ahasanta sana!
Pasco


Mkuu Pasco,

Twajua yakua, nyinyi jamaa wa Bara/Magalatia lazim muje hapa Unguja ati kusherehekea yale Mauaji ya kinyama na ubakaji mlotufanzia ile 1964! Dah!

Lakini ndo mwisho wenu unakurubia...nakhis muziki tunaokuwekeeni tayari mmeshaanza kuucheza pale Dodoma!

Nafikiri umenipata/umenifahamu hapo japo kiduchu!?

Ahsanta.

CC;Mag3
 
Pasco msikilize mama Fatma Karume anasemaje hapa:

[video=youtube_share;ezyWruIUElo]http://youtu.be/ezyWruIUElo[/video]
 
Last edited by a moderator:
Pasco msikilize mama Fatma Karume anasemaje hapa:

[video=youtube_share;ezyWruIUElo]http://youtu.be/ezyWruIUElo[/video]
 
Last edited by a moderator:
Kasome tena historia: nakupa kipande kidogo tu hapa:

This chapter examines several cases of slaves who were charged of attempted rape of white women. The rape of a white female by a slave was indeed a capital crime in Virginia as well as the rest of the slave-holding South during the 19th century. Attempted rape by a slave, however, was not yet punishable by death in Virginia. Instead, slaves convicted of the attempted rape of a white female were castrated. The treatment of black males in southern rape statues reflected not white anxiety about black rape but rather the codified belief that blacks, specifically slaves, had to abide by a different, stricter set of legal standards to ensure greater control of the region's bonded labor force. The life of a slave was also balanced against not merely the race of the accuser, but by her behavior and demeanor as well.

Source: Rape, Race, and Castration in Slave Law in the Colonial and Early South - Oxford Scholarship


Mkuu Zomba,

Shukran kwa bayana zako zilo adilifu na twakusoma kwa undani ulo mwingi mno na twakufahamu kwa utuvu na raha/starehe zetu!

Huyo Pasco hathubutu asilan na wala hana uwezo wa kutoa majawaba yakinifu/ya kitaaluma!

Yaani kwa kifupi afanzacho humu sasa ni kujisifu masuala ya ngono/uzinifu na kueneza maradhi alonayo kwa Dada zetu maskini wasio na hatia!? Dah! Inna Lillahi!

Yaani yule mlaanifu Nyerere katuachia/katuletea mauzauza/makanjanja sihaba! Dah!

Hayo yoote ulomwandikia hapo,mbona tayari tushamnyambulia japo kiduchu kwenye posts/bayana kadhaa hapa hapa!...lakini ajitia uhayawani yakuwa ati hayaoni masuali yetu au ati keshajibu!? Duh!...khalaf jamaa kama huyo ati ndo anapita mitaani kujisifu yakuwa yeye ndo "msomi" wa haja kisa kasomea pale Ilboru!? Amma kweli Afrika ni majanga! Teeh! Teeh! Teeh!

Sasa hivi nakhis ataka kwenda mbio kwa excuse ya ati afungue thread nyangine!? Hata akifungua uharo wa thread/s alfu...ndo upuuzi wa kawaida tu humu-JF!

Yeye huyo Pasco,ndo aloanza kuchanganya mada tena huku akitoa shutuma nzito ziso uthibitisho,kebehi na tashtit na matusi kadhaa!

Ndipo nasi inatulazim ku-broaden scope ya huu mnakasha ili tumfunde! Lakini staajaba kubwa mno,ati ghafula anatokea yule naye Pensioner mchovu wa maisha Mag3 na ati kuanza ku-sympathise na huyo haramia mwenzie wa fikra Pasco!? Duh! Teeh! Teeh! Teeh!

Hata hivyo tunao hapa na wala hatuwaachi asilan...twazijua chuki zao kiundani mno tangia enzi/zama za Wazee Wetu!

Mara zoote hawa vinyonga hupenda kujificha nyuma ya pazia la uzalendo! Dah!

Ahsanta.
 
Kwa kuwasaidia tu Zanzibar haina mwenyewe,watu karibu wote waliopo Zanzibar walifika pale kwa sababu ya biashara ya utumwa na ndiyo mahali palikuwa na urahisi wa kuwasafirisha watumwa vinginevyo wangeweza kutumia hapo Dar ambako kwao ingekuwa rahisi sana.Kuna watu walitoka Burundi,Rwanda,Kanda ya ziwa na maeneo mengine waliletwa hapo.Biashara ilipokoma,watu wengi walibaki hapo Zanzibar,sasa kunapotokea watu wanadai Zanzibar yao,nawaona kama ni wasaliti wa amani na ndiyo hawa waliozaliwa na waraabu wakatelekezwa hapo Zanzibar na hawaijui history ya chimbuko lao.Wanapaswa kuitafuta history yao si kwenye vitabu maana waandishi wengi waliandika kwa utashi wao.
 
Shukran sana kwa ukumbusho Sheikh Mohammed Said.

Nilikuja Tanga na Kitabu chako cha Uamuzi wa Busara wa Tabora, Banu Kihere, Banu Mohammed Jambia, Banu Mustafa Shauri na Banu Rashid Makoko wanalalama kuwa Kitabu kizima umejaza picha za Sheikh Suleiman Taqadir tu kama Kitabu kilihusu maisha yake tu.

Uje upate picha zao nao kuweka kumbukumbu sawa. Binafsi wamenipa picha ya Nyerere akiwa na Mzee Rajabu Diwani, M M Kihere, Peter Mhando, Mama Batuli Dezo, Dkt Krishna na Mamboleo Rashid Makoko.

Sinapindu,

Haya mwenzangu weye ni Mdigo wa api mwenye kauli kali kama hizi kwa nduguzo!?

Haya salaam Wana wa Mnyanjani na Chongoleani!...yaani nalipokuona umengia kwa vishindo na buraha hapa jamvini,basi sijapenda na menikumbusha Maalim Pera Ridhwan wa Gombe nikalia mno Wallahi!

Pia menikumbusha Sheikh Mwinyi Shame Wa Mbuyu pale Kwale...nikazidi lia nduguyo!

Tafadhali nakusia...kama una ya kunena na Sheikh Mohamed Said au pia umapawa salamze,basi haijuzu ufanzavyo!?

Tafadhali fanza kila hila,umtafute mzungumze na kurekebishana kwa faragha zenu,staha na taadhima!?

Nakhis unshanifahamu japo kiduchu!...maana Wanamtang'ata wanena yakuwa;"mioyo ya wenye kujua huwa na macho"!

Ni mie Gombesugu Bin Kidegenauliwani wa Mwarongo ya Tongoni! Teeh! Teeh! Teeh!

Ahsanta.
 
Mkuu Zomba,

Shukran kwa bayana zako zilo adilifu na twakusoma kwa undani ulo mwingi mno na twakufahamu kwa utuvu na raha/starehe zetu!

Huyo Pasco hathubutu asilan na wala hana uwezo wa kutoa majawaba yakinifu/ya kitaaluma!

Yaani kwa kifupi afanzacho humu sasa ni kujisifu masuala ya ngono/uzinifu na kueneza maradhi alonayo kwa Dada zetu maskini wasio na hatia!? Dah! Inna Lillahi!

Yaani yule mlaanifu Nyerere katuachia/katuletea mauzauza/makanjanja sihaba! Dah!

Hayo yoote ulomwandikia hapo,mbona tayari tushamnyambulia japo kiduchu kwenye posts/bayana kadhaa hapa hapa!...lakini ajitia uhayawani yakuwa ati hayaoni masuali yetu au ati keshajibu!? Duh!...khalaf jamaa kama huyo ati ndo anapita mitaani kujisifu yakuwa yeye ndo "msomi" wa haja kisa kasomea pale Ilboru!? Amma kweli Afrika ni majanga! Teeh! Teeh! Teeh!

Sasa hivi nakhis ataka kwenda mbio kwa excuse ya ati afungue thread nyangine!? Hata akifungua uharo wa thread/s alfu...ndo upuuzi wa kawaida tu humu-JF!

Yeye huyo Pasco,ndo aloanza kuchanganya mada tena huku akitoa shutuma nzito ziso uthibitisho,kebehi na tashtit na matusi kadhaa!

Ndipo nasi inatulazim ku-broaden scope ya huu mnakasha ili tumfunde! Lakini staajaba kubwa mno,ati ghafula anatokea yule naye Pensioner mchovu wa maisha Mag3 na ati kuanza ku-sympathise na huyo haramia mwenzie wa fikra Pasco!? Duh! Teeh! Teeh! Teeh!

Hata hivyo tunao hapa na wala hatuwaachi asilan...twazijua chuki zao kiundani mno tangia enzi/zama za Wazee Wetu!

Mara zoote hawa vinyonga hupenda kujificha nyuma ya pazia la uzalendo! Dah!

Ahsanta.

mkuu gombesugu naona bayana.zako.. na.nakusoma kwa utuvu...

napenda mtiririko wa uandishi wako.

Ahsanta..
Remote
 
Last edited by a moderator:
Kwa kuwasaidia tu Zanzibar haina mwenyewe,watu karibu wote waliopo Zanzibar walifika pale kwa sababu ya biashara ya utumwa na ndiyo mahali palikuwa na urahisi wa kuwasafirisha watumwa vinginevyo wangeweza kutumia hapo Dar ambako kwao ingekuwa rahisi sana.Kuna watu walitoka Burundi,Rwanda,Kanda ya ziwa na maeneo mengine waliletwa hapo.Biashara ilipokoma,watu wengi walibaki hapo Zanzibar,sasa kunapotokea watu wanadai Zanzibar yao,nawaona kama ni wasaliti wa amani na ndiyo hawa waliozaliwa na waraabu wakatelekezwa hapo Zanzibar na hawaijui history ya chimbuko lao.Wanapaswa kuitafuta history yao si kwenye vitabu maana waandishi wengi waliandika kwa utashi wao.


Mkuu! Wewe huna uwezo wala haki ya kutoa "msaada" wa aina yoyote ile khasa kwenye jamvi hili!

Hayo yoote uloandika ni ulemavu tu wa fikra ulonao!...chungulia bayana za awali humu japo kiduchu!?

Sasa basi...jisaidie wewe binafsi kwa kuachana na hii thread! Kama itakulazim,basi endelea tu kuwa msomaji mtiifu kama wenzio wangine wengi tu!

Ahsanta sana!
 


Hili tumemlilia sana kuwa inawezekana alivyoambiwa sivyo, humu ameambiwa jinsi haswa ilivyo, tukamuomba basi angalau arekebisha makosa!, kagoma kata kata akiwataka walioona makosa nao watoe machapisho yao kulirekebisha andiko lake!.

hili ni andiko la kutafutwa na ikibidi mwenye nalo alimwage humu!.

Hiki ndicho kitakachofuatia baada ya uzi huu, uandishi wa kitabu ni kipaji, sisi wengine tumejaaliwa critique tuu na sio kuandika.

Hili nimekubali siku nyingi ila Mapinduzi ya Zanzibar yalikuwa ni class strungle kati ya wenyenacho na wasionacho, kisha wasionacho sio tuu kukalia makazi ya wenyenacho bali pia kuwabaka binti za wenyenacho na kuwafanya wake zao kwa nguvu matokeo yake ni vizalia wenye hasira machungu na visasi!, michango ya vizalia hivyo humu naibaini wazi, kuambiwa ukweli hawataki, undeni tume ya mapatano na maridhiano muambiane mlivyo fanziana kwenye mapinguzi yale, mshikane mikono, msameheane, msonge mbele!, ndio kwanza wengine wanatafuta scapegoat ya hasira zao kuwasingizia wengine kuwa ndio waliopindua ili kujifariji!, tena Waushukuru sana huu Muungano Adhimu, vinginevyo sijui wengine wangekuwa wapi hii leo!.
Pasco.

Pasco,
Sikukwepa kitu chochote.

Huo mtazamo wa kitabaka ni kwa aupendae.
Mimi niliandika kwa ''biographical approach.''

Hii ndiyo staili yangu ya uandishi.

Huyo Dk. Mkenda hakuwa wa kwanza kuliona hilo la katibu wa Dockworkers
ambae hakuwa kuli.

Prof. Shivji alipita hapo kwanza na katika kitabu changu nimetoa jibu.

Hapo Sakura na Kipumbwi Dk Ghassany hakufanya mahojiano na yoyote kwa
sababu watu wenyewe hawakuwapo.

Usihangaike na hilo.
Miongo zaidi ya mine ishapita.

Dk. Ghassany alifika hapo kutafiti mengine katika historia ya mapinduzi.

Nimesoma barua zote Makoko alizokuwa akimuandikia Ally Sykes katika
miaka ya mwishoni 1950 mpaka zile za Makoko alizokuwa akimuonya Ally
Sykes kuhusu Nyerere na mengi tu.

Sikuona haja ya kuziweka katika kitabu changu.
Si hizo barua za Makoko tu nilizoziona na kuacha kuzitumia.

Nimesoma barua za Chief Thomas Itosi Marealle kwa Ally Sykes na zina
mengi kuhusu Nyerere.

Nani wa kufanya tume ya maridhiano?
Fikiri kwanza kablsa hujafungua kinywa kusema.

Pasco haya mambo huna uwezo wa kuyazungumza hujui kitu.
Soma kwanza ndiyo uandike.[/QUOTE]

Pasco

Mkuu hebu fanya sulhu kwanza na hawa waungwana ili tupate kujifunza hapa, usogora wako ndio wafanya tusipate mengi.

Kuhusu hilo la "Biographical Approach" dhidi ya "Mtazamo wa Kitabaka" hata huyo Mkenda na Shivji walito pongezi stahiki kwa kuwa kazi iliyofanyika si haba.

Binafsi sikubaliani na yote ya Mohammed Said, lakini nakubali kuwa ameleta mengi ambayo hayakuwahi kusema popote, mengi yaliyo muhimu.

Huwa nashindwa kuwaelewa watu kama Mag3 na kundi lake wanapojaribu kuonyesha kwamba juhudi zote zilizofanyika ni upotoshaji.
 
Mkuu Zomba,
Yaani yule mlaanifu Nyerere katuachia/katuletea mauzauza/makanjanja sihaba! Dah!

Mara zoote hawa vinyonga hupenda kujificha nyuma ya pazia la uzalendo! Dah!

Ahsanta.
Na alaaniwe anayemsingizia al marhum!. Mkuu Gombesugu sikujui ila utakuwa umelaaniwa!, yaani una laana!. Kama hiyo laana haijaanza kukufanya vibaya, nawaomba wale wote wanaokujua waanze kukumulika maisha yako kwa karibu!, mkiona dalili zozote za laana, tubu kwa kumzingizia al marhum!.

Hili la dada zetu wa kizanzibari mbona mimi na sisi wabara tunawaheshimu sana!. Nikuhadithie kinachoendelea East Coast na West Coast?, nikueleze wanachowafanya hao Wataliano?!.
Ahsanta
Pasco
Pasco
 
Nipo hapa jamvini toka jana usiku nikisubili majibu ya swali alilouliza Pasco hakuna hata mmoja anajibu zaidi tunaletewa hadithi ambazo zimo humu toka 2010!


Wewe vipi lakini!?

Unadai umo humu tangia jana usiku tu...na ati hujapata/hamjapata majawaba kwa huo uharo aloleta Pasco hapa jamvini!? Duh!

Sisi twafanza sabra tupatejibiwa tangia 1964!...kwa yale mauaji ya kinyama walofanziwa Wazee Wetu na ubakaji ulokubuhu mlowafanzia Dada zetu waso na hatia maskini! Dah!

Tafadhali acha utoto!!

Ahsanta.
 
Sinapindu,


Tafadhali nakusia...kama una ya kunena na Sheikh Mohamed Said au pia umapawa salamze,basi haijuzu ufanzavyo!?

Tafadhali fanza kila hila,umtafute mzungumze na kurekebishana kwa faragha zenu,staha na taadhima!?

Nakhis unshanifahamu japo kiduchu!...maana Wanamtang'ata wanena yakuwa;"mioyo ya wenye kujua huwa na macho"!

Ni mie Gombesugu Bin Kidegenauliwani wa Mwarongo ya Tongoni! Teeh! Teeh! Teeh!

Ahsanta.
Waarabu wa Pemba, hujuana kwa vilemba!.
Ahasanta
Pasco.
 
Na alaaniwe anayemsingizia al marhum!. Mkuu Gombesugu sikujui ila utakuwa umelaaniwa!, yaani una laana!. Kama hiyo laana haijaanza kukufanya vibaya, nawaomba wale wote wanaokujua waanze kukumulika maisha yako kwa karibu!, mkiona dalili zozote za laana, tubu kwa kumzingizia al marhum!.

Hili la dada zetu wa kizanzibari mbona mimi na sisi wabara tunawaheshimu sana!. Nikuhadithie kinachoendelea East Coast na West Coast?, nikueleze wanachowafanya hao Wataliano?!.
Ahsanta
Pasco
Pasco
Kama laana anatoa Nyerere mkuu na mimi niweke nipate laana.
 
Na alaaniwe anayemsingizia al marhum!. Mkuu Gombesugu sikujui ila utakuwa umelaaniwa!, yaani una laana!. Kama hiyo laana haijaanza kukufanya vibaya, nawaomba wale wote wanaokujua waanze kukumulika maisha yako kwa karibu!, mkiona dalili zozote za laana, tubu kwa kumzingizia al marhum!.

Hili la dada zetu wa kizanzibari mbona mimi na sisi wabara tunawaheshimu sana!. Nikuhadithie kinachoendelea East Coast na West Coast?, nikueleze wanachowafanya hao Wataliano?!.
Ahsanta
Pasco
Pasco


Wewe Kenge Pasco,

Hivi wewe pundaurongo una thubutu ipi ujikhis hata thamani ya kuijua maana ya "laana"!? Teeh! Teeh! Teeh!

Mie nazungumza na Mkeo wewe Pasco! Au niweke nambari yake ya simu hapa jamvini!? Kudadeki zako wewe!

Wewe ndo khabith wa kisukuma,mnyama na mshamba wa maisha!

Kwanini uliamua kutoka kabisa nje ya mada na kuanza kuzungumza mambo ya ngono na ati jinsi unavyowalala Wanawake wa Kiislamu na Kizanzibary na kuwaenezea hayo maradhi ulonayo! Nyambafu weye!

Mie yule mamvi akuwekae mjini wala hathubutu kufungua mdomo wake nizungumzapo!! Kudadeki!

Na nitakutana na Salma Maulid,nimfahamishe jinsi unavyomvunjia hishama yake na family yake humu mitandaoni kwa majisifu yako ya kisukuma/kishamba!!

Wewe si unadai yakuwa upo Unguja for ten days! Nambie ulipo wewe Chogo,khalaf uone sisi kwenye Barza yetu tunavyomzungumza huyo Nyerere wako...na utajua nani na nani wapo hapa pia!!

Wacha niendelee kupata shoki yangu ya lozi kwa tende za Madina hapa,yaani kwa raha zangu! Teeh! Teeeh! Teeh!

Ahsanta.
 
Wewe vipi lakini!?

Unadai umo humu tangia jana usiku tu...na ati hujapata/hamjapata majawaba kwa huo uharo aloleta Pasco hapa jamvini!? Duh!

Sisi twafanza sabra tupatejibiwa tangia 1964!...kwa yale mauaji ya kinyama walofanziwa Wazee Wetu na ubakaji ulokubuhu mlowafanzia Dada zetu waso na hatia maskini! Dah!

Tafadhali acha utoto!!

Ahsanta.
Mapinduzi Matukufu wayaita mauaji?!. Zile ndoa za lazima kwa binti wa Kiarabu ili kuleta usawa waziita ubakaji?!. Nijuavyo mimi, mwanamke akishabakwa, tendo la ubakaji likiisha isha, hubakiwa na machungu na hata kumuona mbakaji hathubutu!. Hao dada zenu wa Kiarabu waliofungushwa ndioa za usawa, wangekuwa wamebakwa si wangekasirika na kuziasi hizo ndoa batil!, mbona wametulia tuli ndani ya ndoa na zomedumu mpaka kesho?!. Au ndio kusema kumbe wanafurahia kubakwa?!.
Pasco.
 
kwa kuwasaidia tu zanzibar haina mwenyewe,watu karibu wote waliopo zanzibar walifika pale kwa sababu ya biashara ya utumwa na ndiyo mahali palikuwa na urahisi wa kuwasafirisha watumwa vinginevyo wangeweza kutumia hapo dar ambako kwao ingekuwa rahisi sana.kuna watu walitoka burundi,rwanda,kanda ya ziwa na maeneo mengine waliletwa hapo.biashara ilipokoma,watu wengi walibaki hapo zanzibar,sasa kunapotokea watu wanadai zanzibar yao,nawaona kama ni wasaliti wa amani na ndiyo hawa waliozaliwa na waraabu wakatelekezwa hapo zanzibar na hawaijui history ya chimbuko lao.wanapaswa kuitafuta history yao si kwenye vitabu maana waandishi wengi waliandika kwa utashi wao.

ndio mafundisho ya kanisa lako haya ????
 
Back
Top Bottom