Waarabu wa Pemba, hujuana kwa vilemba!.
Ahasanta
Pasco.
kama vile Wasukuma na Wamang'ati wajuanavyo kwa mishale na mikuki yao ya mauaji!? Teeh! Teeh! Teeh!
Ahsanta!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waarabu wa Pemba, hujuana kwa vilemba!.
Ahasanta
Pasco.
Mapinduzi Matukufu wayaita mauaji?!. Zile ndoa za lazima kwa binti wa Kiarabu ili kuleta usawa waziita ubakaji?!. Nijuavyo mimi, mwanamke akishabakwa, tendo la ubakaji likiisha isha, hubakiwa na machungu na hata kumuona mbakaji hathubutu!. Hao dada zenu wa Kiarabu waliofungushwa ndioa za usawa, wangekuwa wamebakwa si wangekasirika na kuziasi hizo ndoa batil!, mbona wametulia tuli ndani ya ndoa na zomedumu mpaka kesho?!. Au ndio kusema kumbe wanafurahia kubakwa?!.
Pasco.
Mkuu JF siyo sehemu ya porojo unaokota maneno kwenye vijiwe vya gongo unaleta JF.Kwa kuwasaidia tu Zanzibar haina mwenyewe,watu karibu wote waliopo Zanzibar walifika pale kwa sababu ya biashara ya utumwa na ndiyo mahali palikuwa na urahisi wa kuwasafirisha watumwa vinginevyo wangeweza kutumia hapo Dar ambako kwao ingekuwa rahisi sana.Kuna watu walitoka Burundi,Rwanda,Kanda ya ziwa na maeneo mengine waliletwa hapo.Biashara ilipokoma,watu wengi walibaki hapo Zanzibar,sasa kunapotokea watu wanadai Zanzibar yao,nawaona kama ni wasaliti wa amani na ndiyo hawa waliozaliwa na waraabu wakatelekezwa hapo Zanzibar na hawaijui history ya chimbuko lao.Wanapaswa kuitafuta history yao si kwenye vitabu maana waandishi wengi waliandika kwa utashi wao.
Na alaaniwe anayemsingizia al marhum!. Mkuu Gombesugu sikujui ila utakuwa umelaaniwa!, yaani una laana!. Kama hiyo laana haijaanza kukufanya vibaya, nawaomba wale wote wanaokujua waanze kukumulika maisha yako kwa karibu!, mkiona dalili zozote za laana, tubu kwa kumzingizia al marhum!.
Hili la dada zetu wa kizanzibari mbona mimi na sisi wabara tunawaheshimu sana!. Nikuhadithie kinachoendelea East Coast na West Coast?, nikueleze wanachowafanya hao Wataliano?!.
Ahsanta
Pasco
Pasco
kusema ni rahisi !!! Mbona wale waliobakwa na mapadri si wote ambao hutoa siri ,??? Labda wale ambao wanaofumaniwa na watoto
Ni padri gani Afrika alifungwa kwa hayo mambo au unafikiri hawafanyi hayo mambo ???
Teh teh teh Pasco unazidi kujidhalilisha ujue haya maandishi unachokiandika akifutiki, halafu kumbuka wewe ni mzazi ana mabinti wa kike, endelea kutupa faida za Mapinduzi ya Zanzibar.Mapinduzi Matukufu wayaita mauaji?!. Zile ndoa za lazima kwa binti wa Kiarabu ili kuleta usawa waziita ubakaji?!. Nijuavyo mimi, mwanamke akishabakwa, tendo la ubakaji likiisha isha, hubakiwa na machungu na hata kumuona mbakaji hathubutu!. Hao dada zenu wa Kiarabu waliofungushwa ndioa za usawa, wangekuwa wamebakwa si wangekasirika na kuziasi hizo ndoa batil!, mbona wametulia tuli ndani ya ndoa na zomedumu mpaka kesho?!. Au ndio kusema kumbe wanafurahia kubakwa?!.
Pasco.
Gavana hayo ni mawazo yako,kama ni mvivu wa kutafuta historia huna sababu ya kunilaamu.
Mapinduzi Matukufu wayaita mauaji?!. Zile ndoa za lazima kwa binti wa Kiarabu ili kuleta usawa waziita ubakaji?!. Nijuavyo mimi, mwanamke akishabakwa, tendo la ubakaji likiisha isha, hubakiwa na machungu na hata kumuona mbakaji hathubutu!. Hao dada zenu wa Kiarabu waliofungushwa ndioa za usawa, wangekuwa wamebakwa si wangekasirika na kuziasi hizo ndoa batil!, mbona wametulia tuli ndani ya ndoa na zomedumu mpaka kesho?!. Au ndio kusema kumbe wanafurahia kubakwa?!.
Pasco.
Mapinduzi Matukufu wayaita mauaji?!. Zile ndoa za lazima kwa binti wa Kiarabu ili kuleta usawa waziita ubakaji?!. Nijuavyo mimi, mwanamke akishabakwa, tendo la ubakaji likiisha isha, hubakiwa na machungu na hata kumuona mbakaji hathubutu!. Hao dada zenu wa Kiarabu waliofungushwa ndioa za usawa, wangekuwa wamebakwa si wangekasirika na kuziasi hizo ndoa batil!, mbona wametulia tuli ndani ya ndoa na zomedumu mpaka kesho?!. Au ndio kusema kumbe wanafurahia kubakwa?!.
Pasco.
Hiyo historia imeandikwa wapi?Gavana hayo ni mawazo yako,kama ni mvivu wa kutafuta historia huna sababu ya kunilaamu.
Ha! ha! ha!Haya salaam Wana wa Mnyanjani na Chongoleani!...yaani nalipokuona umengia kwa vishindo na buraha hapa jamvini,basi sijapenda na menikumbusha Maalim Pera Ridhwan wa Gombe nikalia mno Wallahi!
Kidege nauliwani? ..sili cha mtu sinani!Gombesugu said:Ni mie Gombesugu Bin Kidegenauliwani
Hivi huwa najiuliza,mbona kazi zilizofanywa na waingereza na wajerumani mpaka sasa bado zinaonekana kama vile mashule ,mahospitali,mahakama,barabara,reli,vyuo vikuu,meli n.k.
Hivi hawa waarabu kazi yao ilikuwa ni nini hasa?Hivi ni kweli kuwa kazi yao kubwa ilikuwa ni kuuza watumwa tu,kubaka dada zetu na kuwaachia machotara wa kiarabu tu?
Hivi huwa najiuliza,mbona kazi zilizofanywa na waingereza na wajerumani mpaka sasa bado zinaonekana kama vile mashule ,mahospitali,mahakama,barabara,reli,vyuo vikuu,meli n.k.
Hivi hawa waarabu kazi yao ilikuwa ni nini hasa?Hivi ni kweli kuwa kazi yao kubwa ilikuwa ni kuuza watumwa tu,kubaka dada zetu na kuwaachia machotara wa kiarabu tu?
Ha! ha! ha!
Umenikumbusha mbaali mpaka nimeshindwa kujizuiya.
Maalim Pera Ridhwan mke aliyemwacha mjane yupo pale barabara ya kumi na moja aitwa Amina Anzuani.
Nyumba iliyopo uso kwa uso naye pembeni yake ni kwa Sharifu Yahya, baba yake Muhammad Yahya aliyekuwa kipa wa Cosmopolitan ya Dar enzi hizo.
Moja ya nyumba ya kona pale ni kwa Sharifu Muhammad nduguye Sharifu Maulana..yote hiyo ni Mnyanjani na Chongoleani "line". sitii mguu Tanga bila ya kupitia nyumba hizo.Kidege nauliwani? ..sili cha mtu sinani!
Neno maarufu hili katika hiace ya baharia Hemed "Wickens" pale Tanga baadaye aliiuza hiace yake na kununua Taxi na kuhamia Dar, kutwa akishinda kwa mzee wetu Abuu hapo sikukuu na Twiga karibu na msikiti wa Shaadhily!
(wewe ni Hemed Wickens?! huna haja ya kujibu ukiwa hupendi)
Enzi hizo pale kwa Mzee Abuu "diwani" nikiwakumbuka kina Hamoud Abuu (aliishi Tanga kipindi fulani), Haji Abuu, Siwamini hata baharia kessy..yaani JF saa nyingine inakufanya mpaka ushindwe kujizuiya
Kabla ya kujiuliza Waarabu wanafanza/wamefanza nini...basi kama una maarifa japo kiduchu au ya kuazima tu,yatakiwa ujiulize nyinyi WaAfrika mna laana gani humu duniani!?
Je nyinyi Wa-Afrika mpaka hivi leo mmefanza nini cha maana zaidi ya kuuana kwa mahalaiki!? Dah!
Kwanini nyinyi Wa-Afrika mpaka leo bado tu mnaamini yule Muzungu mvaa nepi ati ndo Mwenyezi Mungu!? Duh!
Si bora hata mngemuabudu tu mtu yeyote Mpuuzi Mweusi mwenzenu kama vile Pasco!?... kuliko kujidhalilisha kwa Wazungu jamani!? Teeh! Teeh! Teeh!
Ahsanta sana!
CC;Faby
Ha! ha! ha!
Umenikumbusha mbaali mpaka nimeshindwa kujizuiya.
Maalim Pera Ridhwan mke aliyemwacha mjane yupo pale barabara ya kumi na moja aitwa Amina Anzuani.
Nyumba iliyopo uso kwa uso naye pembeni yake ni kwa Sharifu Yahya, baba yake Muhammad Yahya aliyekuwa kipa wa Cosmopolitan ya Dar enzi hizo.
Moja ya nyumba ya kona pale ni kwa Sharifu Muhammad nduguye Sharifu Maulana..yote hiyo ni Mnyanjani na Chongoleani "line". sitii mguu Tanga bila ya kupitia nyumba hizo.Kidege nauliwani? ..sili cha mtu sinani!
Neno maarufu hili katika hiace ya baharia Hemed "Wickens" pale Tanga baadaye aliiuza hiace yake na kununua Taxi na kuhamia Dar, kutwa akishinda kwa mzee wetu Abuu hapo sikukuu na Twiga karibu na msikiti wa Shaadhily!
(wewe ni Hemed Wickens?! huna haja ya kujibu ukiwa hupendi)
Enzi hizo pale kwa Mzee Abuu "diwani" nikiwakumbuka kina Hamoud Abuu (aliishi Tanga kipindi fulani), Haji Abuu, Siwamini hata baharia kessy..yaani JF saa nyingine inakufanya mpaka ushindwe kujizuiya
.Matthew 7:20
King James Version (KJV)
Wherefore by their fruits ye shall know them