Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

JamEnii mwaijua hali ya Zanzibar kwa sasaa? Zanzibar inahitaji ZAIDI ya sherehe...!!
 
Tunatofauti kubwa miongoni mwa jamii zetu, wengine wakiwa provoked kwa dada zao kuguswa, wengine wakifurahia mashemeji! Wengine wakiwa proveked kwa dada zao kutoa takrima kwa kuwakirimu watu walio sio, huku wengine wakifurahia divesification. Wakati sisi tukitaka sasa dada zetu wende, wenzetu wakitamani sana kuwazui ikibidi kuoana wao kwa wao!. Nilisoma pahala hata mtoto wa mkeo aliyezaa na mwanamume mwengine kwa wengine ni ruksa, mtu kumuoa mtoto wa mjomba au shangazi kwetu ni incest kwa wenzetu ruksa!. Hili la dada zenu yule wa kule Kiarabu kule Zanzibar, hata kufunuliwa hijab tuu kuona nyele sikubahatika!. Hao wa Gerezani ni wakati nikija pale kwa Jabali la Muziki, Marijani Rajab, na kwenye msiba nilikuwepo na ndipo nikafahamiana na kina Sheikh Komerean, kina Sheikh Nuridin, Sheik Jabir na wengine wa mitaa hiyo!, hao dada zenu sio katika hayo udhaniayo ni machukizo!.
Sasa tuufunge huu mjadala wa yasiofaa hapa twendeni kwenye hoja za msingi, vinginevyo tiifunge mnakasha nianze sehemu ya pili.
Pasco

Pasco,

Bado unajibu kwa ufedhuli na utovu wa adabu. Wewe kiumbe sawa na Sheittan wewe. Wewe ndie katika Qur'an Tukufu tumembiwa mioyo yao ina maradhi na Mungu anawazidishia maradhi. Haki ni katika waliopotea.
 
Part II ilihusu-Tribute to Field Marshal John Okello Shujaa Halisi wa Mapinduzi ya Zanzibar asiye Enziwa!.
Part III Kwanini Abedi Amani Karume, Baada ya kuyapanga, aliyakimbia Mapinduzi ya Zanzibar ma hakushiriki?.
Part IV ni Chanzo Hali cha Mapinduzi ya Zanzibar. Facts and Fallacis!.
Part V- Matunda ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ni Muungano Adhimu!.

Nasubiri tumalize hili tusonge mbele!.
Pasco

Mkuu,
Nakushukuru sana kwa ilmu unayoendelea kuitoa bure hapa jukwaani!

Hakika wewe ni kisima cha ilmu!
 
Mkuu Ben, sisi wengine hizi ndizo lugha zetu za Kibantu, mfano neno "mae". "mayo", "nina" "nyoko" yote maana yake ni mama, kwa vile likitanguliziwa na neno la kile kiungo maarufu ambacho watu wanakipenda sana, kukihitaji sana, na kukitumia sana, kiungo cha heshima kuliko viungo vyote, linageuka tusi!, imefikia mahali hata ukitaja tuu "nyoko" sasa inakuwa sio mama tena, watu ndani ya vichwa vyao wanatanguliza lile neno na kulalamika wametukanwa!.

Pasco umebaki mapinduzi ,waarabu ,maneno ya kibantu, ndoa ndio nanga yako. Ndoa gani unaingiliwa nyumbani na majeshi huku umeelekezwa bunduki unaambiwa tunamuoa mtoto wako ukitaka usitake ?? Hivi wewe una dini Pasco ???

Ukweli unabaki pale pale , Mapinduzi yalifanywa na Nyerere . Aliyepinduliwa ni Muafrika Shamte si mfalme . Shamte na viongozi wengine kwa nini waliwekwa jela za Tanganyika hata kabla ya huo muungano???. Hii yote ni plan ya kanisa na ilianzwa zamani

Mimi hizo ndizo lugha zangu siku zote tangu nimejiunga jf hivyo sitegemei kubadilisha kitu!. Kitu nisichokubali na ndicho nilichomuomba hata Maalim Mohamed Said asidie, ni kuwazuia hawa wanaoleta udini na kuchanganya na siasa!.

Mimi ni wale wanaoamini dawa ya tatizo ni kukabiliano nalo kwa kupambana nalo hadi kulimaliza na sio kuliahirisha au kulikimbia kwa kumwambia mode aufunge huu uzi!, hii ni part 1 tuu, jee hizo nyingine?!.

Tutakuja kufikia uoga wa kuibua hoja kwa kuogopa watu wataudhika?!. Leo Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yameitwa mauaji ya 1964 na watu wamenyamaza!.

Leo zile ndoa za upatanisho na kujenga usawa baada ya Mapinduzi yale Matukufu, kati ya Waarabu na Wamatumbi zimedhihakiwa ili hali watu wamedumu kwenye ndoa hozo hadi kesho na matunda yake ndio haya ya rainbow nation, leo mtu aje aseme ni ndoa batil huku wenye ndoa zao wapo na matunda ya ndoa hizo yapo na wengine ni members humu jf, ila wamejinyamazia kwa kuogopa watu!.

Mimi Pasco wa jf, siogopi mtu yoyote ila naheshimu watu wote, wa rika zote, wa rangi zote, wa makabila yote, wa hali zote!. Msingi mkuu uwe ni kwenye kuheshimiana na sio kuogopana!.
Pasco.

Pasco umebaki mapinduzi ,waarabu ,maneno ya kibantu, ndoa ndio nanga yako. Ndoa gani unaingiliwa nyumbani na majeshi huku umeelekezwa bunduki unaambiwa tunamuoa mtoto wako ukitaka usitake ?? Hivi wewe una dini Pasco ???

Ukweli unabaki pale pale , Mapinduzi yalifanywa na Nyerere . Aliyepinduliwa ni Muafrika Shamte si mfalme . Shamte na viongozi wengine kwa nini waliwekwa jela za Tanganyika hata kabla ya huo muungano???. Hii yote ni plan ya kanisa na ilianzwa zamani

Umemeandika eti mambo ya kuchanganya dini na siasa , Hebu msome huyu Padri wako anakuambia kitu gani wewe Pasco


Na Lilian Nyenza


Kanisa halitaacha kutoa mwongozo kwa watu wake hata kwa mambo ya kisiasa ukiwamo uchaguzi kwa kuwa, siasa bila dini ni sawa na uendawazimu.

Aidha, imedaiwa kuwa tabia ya kuwalaghai vijana kuwa ni taifa la kesho, ndiyo inayowadumaza kiakili na kuwafanya watumiwe na wanasiasa kufanya fujo, badala ya kujitokeza kuongoza kwa kufuata taratibu za nchi.


Mkurugenzi wa chama cha kifamilia cha Undugu Association Tanzania, Padri Baptiste Mapunda, alitoa kauli hiyo katika sherehe za kuuaga mwaka 2004 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2005, zilizofanyika katika ukumbi wa Parokia ya Mt. Yosefu, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam.


Mkurugenzi huyo wa UNDUGU ASSOCIATION TANZANIA alisema kuwa, Tanzania imeanza kuonesha dalili mbaya za machafuko kutokana na baadhi ya watu wakiwamo wanasiasa kuweka mbele ubinafsi.


"Tukikaa kimya huku mambo yanaharibika katika jamii; eti tuwaachie wanasiasa wafanye watakavyo, tutakuwa hatutendi wajibu wetu na hivyo, Kanisa halitaacha kusema ukweli kwa maslahi ya umma hata kama unamkera mtu. Hii ni kwa kuwa tunajua wazi kuwa siasa bila dini, ni uendawazimu ambao mtu hajui akifanyacho kwa kuwa akili yake haijatimia kiroho." alisema.


Aliitaka jamiii ya Kitanzania ijifunze thamani ya amani na siasa safi kutokana na hali ya amani na usalama katika nchi jirani za Rwanda na Burundi ambayo ni hatari na inasikitisha.


Alisema vita na mauaji yanayoendelea katika nchi hizo, yanasababishwa na uroho wa madaraka wa watu wachache ambao hawajali utu wa wengine.

Aliongeza kuwa, "Siku zote tunapaswa kukumbuka kuwa, amani na mapendo ambayo Mungu ametujalia, tunapaswa kuyaenzi sisi sote kwa kuwa siasa bila dini, ni sawa na uendawazimu."


Padri Mapunda aliiasa jamii kuendelea kumuomba Mungu ili azidi kuwajalia amani,upendo na utulivu uliopo sasa, kuwa uwepo hata baada ya Uchaguzi Mkuu kupita.

Amewataka Waamini kuwaombea viongozi wanyanyasaji kama Herode, wabadilike na hivyo, kuongoza nchi kwa haki na akawasihi Watanzania kuyashinda maovu kwa kutenda yaliyo mema.


Hata hivyo, Padri Mapunda amewatahadharisha vijana kujiepusha kutumiwa na baadhi ya viongozi wa siasa, kwa nia ya kufanya fujo katika uchaguzi.

"Vijana mara nyingi wamekuwa wepesi wa kurubuniwa na vijizawadi vidogo vidogo, ili wafanye kile wanachokitaka wanasiasa wabinafsi. Sasa mimi nasema mkae chini na mlitafakari hilo kwa makini. Mtakao angamia ni ninyi na si wao," alitahadharisha.


Alisema vijana ni Taifa la leo na Taifa bila vijana limekufa, hivyo aliwasihi kuwaheshimu wazazi na walezi ili wapate kuishi maisha marefu na yenye heri duniani, kama walivyojaliwa kuuona mwaka huu mpya.


Naye Mwenyekiti wa Umoja huo, Bw. Benjamini Komba alisema, lengo la Shirika la Undugu, ni kuiunganisha jamii, ikiwa ni pamoja na kuimarisha Ukristo katika kupata hamasa katika kazi ya umisionari, ili ijengeke roho ya umisionari wa kweli nchini Tanzania.


Bw. Komba alisema kuwa, Shirika limekuwa na mchango mkubwa kwa jamii, kwa kuwa ni chombo cha kuelimisha jamii na kuendeleza mawasiliano na wamisionari wa Afrika ambao wapo ndani na nje ya nchi kwa lengo la kusukuma mbele kurudumu la Injili katika Taifa hili.

Umoja huo haujishughulishi na mambo ya siasa na hauna ubaguzi wa dini, rangi, imani wala itikadi.
Katika sherehe hizo, Wanaundugu na watu wengine walialikwa na kuhudhuria pamoja na familia zao.
 
Pasco hauna ubavu wa kuyaongelea Mapinduzi ya Zanzibar kwa kutumia reference kutoka kwenye wikipedia, kuna maswali watu wakikuuliza utakosa majibu, na mwishowe utawambia wafungue thread, ngoja nikuulize viswali kidoga tu kuhusu Mapinduzi ya Zanzibar.

Umepata kumsikia huyu Comrade Amour Doughaish huyu yupo hai anaishi Upanga na Msasani alisoma Cuba pia alipigana vita Vietnam 1960 huyu ndiyo aliyoingia ndani ya ndege na sub-machine gun kumu arrest haramia John Okello tena kwa kumzaba makofi kama mtoto akiwa na LT.Hashir aliyekuwa airwing Ukonga Dar.

Tuanzie hapa Pasco, humu kuna watu walikuwepo wakati wa Mapinduzi ya Zanzibar na wameshuhudia unyama wakiyofanyiwa watu.
 
Mkuu Pasco hii part 2 ni muhimu kuileta siku kama ya leo jpili ili tuipitie vizuri..kwann unamuhita field Marshall? Kama inawezekana fungua uzi mpya tusonge mbele

Ben Mugashe
Lugha naomba itumike yeyote kwani kama mleta mada anasema hawawezi badili na wewe yanekana umeridhi hayo,

Sasa hakuna haja ya kutafuta suluhu kwa Mods hadi wao watapoona kuwa fulani kakiuka maadili,

Kwani yale maneno ya KISHENZI kwa mstaarabu hawezi andika jukwaa kama hili,

Hivyo lugha atayoileta yutaitumia hiyo hiyo maana sie twaifahamu kinyumenyume chake

Tambua hapa hatuna JAJI wa kutoa alama wala hatuhitajii hilo, kama nawe umetosheka na maneno yake ya kipuuzi yasokuwa hata na faida, mruhusu alete hiyo Part || yake haina haja ya kusubiri hiyo J'pili yako.

Kwani wakati akileta hii alikuambia kuwa napeleka kitu fulani.

Nawe jitokeze tukujue usikae nyuma kama chogo kumbe lenu moja.
 
Pasco, unasema wewe haukuwepo wakati wa Mapinduzi ya Zanzibar wala ulikuwa bado haujazaliwa, lakini umekaririshwa kuwa yalikuwa Mapinduzi matakatifu hakuna tatizo kwenye kuamini kwako kama mauaji ya kimbari kwako ni matakatifu ukipata muda jaribu kujisomea hii makala utapata mwanga kidogo.

[h=2]MAKABURI YA HALAIKI -ZANZIBAR [/h]

Idadi hasa ya wazanzibari waliokuwa katika Mapinduzi haijulikani. Inakisiwa tu kuwa ni kiasi ya watu 2,000 hadi 20,000. Hata hivyo, kilicho bayana ni kuwa idadi ya wahanga - miongoni mwa jeshi la serikali na lile la Mapinduzi ilikuwa ndogo mno. Kiongozi wa Mapinduzi hayo anaripoti kuwa alipokea taarifa ya wahanga hao tarehe 13 Januari, saa 9:30 alasiri baada ya sultani kukimbia na vikosi vyote vya serikali kwisha kushindwa. Anaadika kuwa katika ushindi wao wa Zanzibari - yaani ule wa ghala ya silaha na ule wa vikosi vya serikali - upande wake ulipoteza askari 2 na kujeruhiwa wengine 18. Ama kwa upande wa serikali, katika mapigano haya mawili yaliyopishana kwa takribani masaa 2, majeshi 16 waliuawa na 81 wakaachwa majeruhi.
Death_march_3.jpg

Wakati wa kuziteka ngome nyengine za serikali asubuhi hiyo, mauaji zaidi yalitokea. Hata hivyo, hisabu ya jumla ya wahanga wote katika "medali ya vita", ikijumuisha na ya ziwani, ilikuwa ni askari 9 tu waliouawa na 173 tu walijeruhiwa kwa upande wa jeshi la Mapinduzi,na 70 tu waliouawa na 401 walijeruhiwa kwa upande wa vikosi vya serikali. Askari na wapiganaji wengine 818 wa serikali walijisalimisha aidha wakati ama baada ya mapambano. Idadi hii ya wahanga 653 tu miongoni mwa waliouawa na waliojeruhiwa, kwa pande zote mbili, hailingani kabisa na ile idadi ya maelfu ya wahanga waliopoteza maisha, viungo katika pirika-pirika za muendelezo wa Mapinduzi.
Small_boat2.jpg
Viongozi wa Mapinduzi hawakuwa na mpango wa kabla juu ya nini wawafanye "maadui" zao endapo wangeliwashinda. Ukosefu huu wa mpango ulizaa dalili za ukosefu wa nidhamu katika kupeana vyeo vya Mapinduzi, huku uchu, ulafi na uoga zikiongoza nidhamu hii. Uporaji ulianza mara tu baada ya Mapinduzi kutangazwa, bali khofu na mateso dhidi ya wapinzani (waliopinduliwa) vikaonekana kuwa vitu vilivyotawala hisia za watu kwa siku mbili mutawaliya zilizofuatia Mapinduzi . Khofu hizi ndizo silizowaruhusu baadhi ya watu wajiingize katika uvunjaji mkubwa wa sheria, kwa bahati mbaya, kiongozi wa Mapinduzi hayo alionekana kuwa mmoja miongoni mwa hao. Sio tu kwamba yeye binafsi alishiriki katika ukatili wa hali ya juu, bali pia aliendelea kutumia Redio akitangaza njia ya mikakati ya kuwahamasisha watu wake wamwage damu.

The_dead_in_the_sea2_.jpg
Vingi miongoni mwa vyombo vya nyumba za Zanzibar kwa wakti huo vilijumuisha silaha, miongoni mwao zikiwa bunduki kongwe zilizonakshiwa kwa mkono na ambazo zilikuwa urathi wa kizazi hadi kizazi. Watu walioishi maisha ya nafuu katika sehemu za mashamba, pia walikuwa na silaha walizopewa kwa ajili ya kujilinda. Mambo haya mawili, pamoja na ukweli kuwa wengi wa wakaazi wa mjini walikimbilia kwa ndugu zao wa mashamba pale ghasia zilipokaribia mji mkongwe yakawa ni kichocheo kikubwa cha mauaji ya maangamizi. Ubinadamu uliopo kisiwanii kwa mara ya mwanzo ukatikiswa najazba ya safisha-safisha ya kikabila isiyopata kuonekana hapo mwanzoni katika upwa huu. Haya hapa maelezo kutoka kiongozi wa Mapinduzi mwenyewe yakisimulia mkasa huu.
Preparing_to_fire_on_prisoners_3.jpg

"Vita ni dhamana ya kuogofya na matokeo yake daima ni uharibifu mkubwa. Hakuna chochote kiwezekanacho kuthibitisha hili zaidi ya vita vilivyotokea tarehe 12, Bubwini Kaskazini Unguja, eneo ambao waliishi waarabu wengi. Eneo hili lilikuwa ni kituo cha kuhifadhia silaha ambazo waarabu hawa walikusudia kuzitumia katika mauaji ya maangamizi dhidi ya waafrika.
Kwa hakika walipanga kufanya shambulizi hilo siku ya tarehe 13 Januari. Nilipata habari hizi kutoka kwa kijana aliyekuwa karibu kuuawa na wanajeshi Wazungu. Wanajeshi hawa walikuwa tayari wameshawaua watu 40 katika eneo hilo na nilikuwa na bahati ya kuwasili hapo wakiwa wanataka kummaliza kijana huyu kwa risasi. Nilipomsaili zaidi, kijana huyu aliniambia kuwa silaha zilikuwa zimehifadhiwa katika eneo hili na waarabu walishapanga kuzitumia hivi punde tu; pia aliniambia kuwa wengi miongoni mwa wale waliouawa na askari wazungu hawakuwa wakaazi wa nyumba walizokutwa. Habari hizi za uovu zilithibitisha habari nilizozipata hapo kabla na nilichukizwa sana. Niliwaamuru askari wangu wafyatue risasi kila upande na wakiuwe kiumbe chochote kilicho mbele yao- wanaume, wanawanake, watoto, walemavu na hata kuku na mbwa"
Prisoners_dead_3_.jpg
Wimbi la mauaji huko mashamba na mashambulizi katika sehemu nyengine zilizochukuliwa kuwa za "maadui" yalikuwa yanatishia sana. Habari zinazosimuliwa zaidi ni zile baadhi ya watu wasio na hatia wakiwa na silaha zao duni ambao walihiyari kujifungia katika majumba yao huku umma usiozuilika ukiwazingira. Vikosi vya Askari wa Mapinduzi vilikuwa vikipita nyumba hizi moja baada ya nyengine katika magari ya doria; na walipowasili kwenye nyumba ya aina waliyokuwa wakiishambulia kwa bunduki za automatiki. Akizungumzia ubaya wa "mapambano" haya, kiongozi wa Mapinduzi alisema: "Ni Mungu tu awezaye kuujua ubaya wa mapigano haya kwa wakati huo; risasi zilimiminika mithili ya wingu la mvua, na mashambulizi yalisambaa kisiwa chote".

Truck_trasporting_bodies2.jpg
Baada ya muda. "maadui" waliyakimbia majumba yao kukimbilia vichakani na pengine pwani. Wachache walinusurika kwa kusafiri na vimashua walivyovikuta pwani. Wengine waliuawa ama kuchukuliwa mateka. Mauaji ya wafungwa yalikuwa jambo la kawaida na wengi wao walikufa baadaye kutokana na mateso mabaya gerezani au katika kambi mpya za wafungwa zilizofunguliwa baada ya kiu ya damu kwisha.
Mass_grave_4.jpg

Siku mbili baada ya Mapinduzi, mpiga picha wa kitaliano alipiga picha zilizozaa makala hii. Picha hizo zinaonesha misururu mirefu ya wafungwa, watu wakikimbia kupitia pwani, maiti waliozagaa ufukweni, mauaji ya wafungwa, usafishwaji wa miili ya wahanga na makaburi ya halaiki.

mass_grave_3.jpg
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Zomba, la Karume na Fatma niliisha lijibu kule wala silijibu tena!, jibu ndilo lile!.

Pasco

Hilo swali limekushinda kujibu lakini mimi ntakujibu, kwani linahusu sana maandiko yako ya "utwana" na "ubwana" uliyoyaandika huko juu, kuwa eti mapinduzi ndio yalifanya watwana wawabake watoto wa mabwana na kufunguwa milango.

Kwa mara ya kwanza Sheikh Abeid Karume alifunga ndoa na Bibi Pili binti Ahmed Ambari mwanzoni mwa miaka ya Arubaini. Mke wake wa pili ni Bibi Ashura binti Maisara. Baada ya kutengana na wake hao wawili, Sheikh Karume alifunga ndoa na Bibi Fatma binti Gulamhussein Ismail (Fatma Karume) katika mwaka 1944 mwishoni mwa mwezi wa Novemba, harusi ambayo ilifanyika huko Bumbwini Misufini. - Ali Shaaban Juma.

Sasa nakuuliza, kulikoni? huo "utwana" na "ubwana" haukuwepo 1944?Isitoshe, si Fatma tu na Ashura ambao ni wakizazi cha "mabwana", pia kuna wengine ambao waliolewa na Bwana Karume ni Bibi Nasra, Bibi Helemu na Bibi Fadya ambao kila mmoja alizaa nae mtoto mmoja wa kike.

Unawajua khabari zao hawa mabibi Nasra, Helemu na Fadya?


Kwa kukujuza nao pia si katika "watwana". Kulikoni? ilikuwa ni unique case kwa Karume tu? jibu lako ni hili hapa:




Mwinyi "mtwana" wa kutoka Mkuranga kumuoa Siti mtoto wa "mabwana" 1960 na kuzaa nae watoto sita, au Mapinduzi yalikuwa tayari yameshawafungua watoto wa mabwana? Isitoshe, si Siti tu, kuna mwengine aitwae Bi Khadija nae yuko hapo hapo nyumba hiyo hiyo na Bi Siti, unaelewa kuwa nae si katika "watwana"?
Pasco Zanzibar huijui. Waachie Wazanzibari wenyewe japo kidogo na sie wa pwani, kwani kwetu pia mpaka wa hii leo ni himaya ya Zanzibar na khulka zetu hazijapishana kihivyo, si kama wewe wakuja. Unalijuwa hilo? nani aliibadili ile maili 10 ya pwani? Unajuwa kuwa Kariakoo na Gerezani ni chini ya maili kumi kutoka pwani ya bahari ya hindi?

"Sisi mambo twayajua" - Khadija Kopa.

Situmai majibu kutoka kwako lakini nna uhakika somo umelipata.




 
Hilo swali limekishinda kujibu lakini mimi ntakujibu, kwani linahusu sana maandiko yako ya "utwana" na "ubwana" uliyoyaandika huko juu, kuwa eti mapinduzi ndio yalifanya watwana wawabake watoto wa mabwana na kufumguwa milango.

Kwa mara ya kwanza Sheikh Abeid Karume alifunga ndoa na Bibi Pili binti Ahmed Ambari mwanzoni mwa miaka ya Arubaini. Mke wake wa pili ni Bibi Ashura binti Maisara. Baada ya kutengana na wake hao wawili, Sheikh Karume alifunga ndoa na Bibi Fatma binti Gulamhussein Ismail (Fatma Karume) katika mwaka 1944 mwishoni mwa mwezi wa Novemba, harusi ambayo ilifanyika huko Bumbwini Misufini. - Ali Shaaban Juma.

Sasa nakuuliza, kulikoni? huo "utwana" na "ubwana" haukuwepo 1944?Isitoshe, si Fatma tu na Ashura ambao ni wakizazi cha "mabwana", pia kuna wengine ambao waliolewa na Bwana Karume ni Bibi Nasra, Bibi Helemu na Bibi Fadya ambao kila mmoja alizaa nae mtoto mmoja wa kike.

Unawajua khabari zao hawa mabibi Nasra, Helemu na Fadya?


Kwa kukujuza nao pia si katika "watwana". Kulikoni? ilikuwa ni unique case kwa Karume tu? jibu lako ni hili hapa:




Mwinyi "mtwana" wa kutoka Mkuranga kumuoa Siti mtoto wa "mabwana" 1960 na kuzaa nae watoto sita, au Mapinduzi yalikuwa tayari yameshawafungua watoto wa mabwana? Isitoshe, si Siti tu, kuna mwengine aitwae Bi Khadija nae yuko hapo hapo nyumba hiyo hiyo na Bi Siti, unaelewa kuwa nae si katika "watwana"?
Pasco Zanzibar huijui. Waachie Wazanzibari wenyewe japo kidogo na sie wa pwani, kwani kwetu pia mpaka wa hii leo ni himaya ya Zanzibar na khulka zetu hazijapishana kihivyo, si kama wewe wakuja. Unalijuwa hilo? nani aliibadili ile maili 10 ya pwani? Unajuwa kuwa Kariakoo na Gerezani ni chini ya maili kumi kutoka pwani ya bahari ya hindi?

"Sisi mambo twayajua" - Khadija Kopa.

Situmai majibu kutoka kwako lakini nna uhakika somo umelipata.




Mkuu zomba

Ujue unatoa elimu kubwa sana kuhusu historia ya Zanzibar, unachofanya saizi ni kutoa Ilm kwa wale wanaofuatilia huu mnakasha.
 
Last edited by a moderator:
Pasco nilikuonya kuwa usiwatukane Watumbatu na Wahadimu kuwa ni masalia ya watumwa. Na sasa nakuonya tena usiwansibishe hawa watu na Tanganyika sababu hawana asili ya Tanganyika.

Huyo Chami is a damn liar research yake is full of distortion ma lengo lake ni kuondoa all elements za kiarabu ndani ya Uswahili na jambo la aibu na kusikitisha sana msomi kama yeye kufikia extent ya ku distort reality.

Inasikitisha sana niliona documentary yake eti Kilwa haikujengwa na Waarabu eti na design za Kilwa Ruins si za Kiarabu.

Lakini why mutake ku Bantusize kila kitu kwa malengo ya utashi wa Kisiasa tu.

Basi Tanganyika should Annex Fiji Islands na kulazimisha ziwe sehem ya Jamhuri ya Muungano kwani Fijians wanajivunia asili yao ya East Africa (Tanganyika) ref. The History of Fiji and Tonga.

Recent findings zimeshapindua ile dhana kuwa mtu wa mwanzo duniani ametoka Africa iliyotokana dhana ya kikafiri (Darwinism) dhana kuu ambayo hata Kanisa inaipinga (Evolution). Hivi karibuni dhana hiyo ya mtu wa mwanzo duniani inayosema ametokea Olduvai imejipiku wenyewe kwa kugundua more historic finding zonazompita mtu wa Olduvai kwa umri na kugundua masalio makongwe zaidi Kusini ya Arabia (South Oman).

Sasa hao kina Chami wanaotaka ku Bantusize the Coastal Swahili Civilization watuonyeshe Ruins na makaburi ya Ki- Bantu kwanza.

Halfu nakupa hint katufute asili ya Kushites wanatokea wapi mpaka tukafikia kupata watu weusi katika Africa.

Nakupa somo moja tafuta link ya Watanganyika na Cameroon na Nigeria katika history ni kuhusu nini kisha tutafakari jee watu hao wadai annexation ya Tanganyika na Nchi hizo mbili?

Na kwa upande wa Watumbatu unaowabandika Utumwa kasome historia ya Malkia wao Mwana wa Mwana.

Pasco hujahitimu endelea kusoma usifanye copy and paste has from wikipedia sababu wikipedia ina full of distortion na ni free fall platform every Tom Dick and Harry can post and edit there.
Mkuu Kawarizimu, kwanza asante kwa kujibu hoja objectively. Literacy work yoyote ama inakuwa complemented na literacy work nyingine, ama inakuwa defeated na literacy work nyingine, ndio maana siku za nyuma kwenye ule uzi kazi ya Maalim Mohamed Said kuhusu maisha ya Wazee wake wa Gerezani, ukishambuliwa left, right and center na watu wakaja na facts za ukweli kabisa kuudefeat urongo wake, walimlazimisha Maalim Mohamed Said ndie atoe toleo jengine lenye ukweli, mimi ni miongoni niliosimama na Maalim kuwa yeye ukweli wake ndio huo, hawa wenye ukweli zaidi na watoe kitabu ili machapisho ya Maalim yawe defeated!.

Kwenye historia ya Zanzibar, nimekuonyesha andiko kuwa wanaodaiwa kuwa wenyeji, Wahadimu na Watumbatu, kule sio kwao!, nikakueleza walipotoka!, tena ni hapa kwetu bara!. Nikakueleza ukiondoa hao Wahadimu na Watumbatu, Zanzibar haina wenyewe ndio maana Sultani katoka zake Oman na kuahamia Zanzibar bila negotions na mtu yoyote kwa sababu kavikuta visiwa havina wenyewe!. Ulichotakiwa kufanya sio tuu kuita watu waongo!. Kama ni waongo, unautaja uongo wao kisha unauweka ukweli wako!. Umeambiwa Watumbatu na Wahadimu asili yao ni bara, kama ni uongo unaiweka ile asili yao ya ukweli unaijua wewe!.

Nimekuambia Sultan Seyyid Said, aliviokota visiwa vya Zanzibar kama sadakalawe, hakukuta mtu pale wala kufanya majadiliano na yeyote kabla ya kuhamia. Sasa wewe kama unazo details alimkuta nani, alifanya majadilano yapi alivitwaa visiwa vya Zanzibar toka kwa nani, tuwekee ukweli huo to defeat uongo uliotangulia!.

Maadamu unayo historia hadi ya malikia wao Mwana wa Mwana, tuwekee nasi tuijue ili tupate kujua huyu Mwarabu alihamiaje hamiaje nchi ya watu hivi hivi tuu, just like that il khali nchi ilikuwa na wenyewe?!.
Ukiweza pia kutueleza hiyo asili halisi ya hao wenyewe tutashukuru, vinginevyo tuanze process ya kuwafukuza wavamizi wa nchi yetu, waliovamia bila ruhusa yetu, wakauweka ufalme wao tulioupindua kwa yale Mapinduzi Matukufu, kisha tuunganishe kabisa nchi yetu iwe "Nchi moja!, Taifa moja! Tujue moja!.
Pasco.
 
Mkuu Ritz ndo maana nimesema wote wamekosea..mimi na ww tulianza vizuri kusoma toka juzi nakumbuka hata comments zako..ila kwa vile kitumbua kimeingia mchanga hakina budi kutupwa..hakisafishiki kabisa..kuna udini umejitokeza, kuna kashfa kwa viongozi umeonekana akina Mzee Karume na mkewe na Nyerere..bora tuwe waungwaba tu kwa kuufuta huu mjadala

Mzee Karume na Mkewe wapi wametukanwa? niliyeuliza swali kuhusu Mzee Karume na Mkewe ni mimi. Nimeuliza walioana lini? kutokana na Pasco kudai kwamba "rainbow nation" imekuja baada ya "watwana" kuwabaka mabinti wa "mabwana" wakati wa mapinduzi.

Kuna tusi katika kuuliza Karume kamuoa lini Fatma?
 
Last edited by a moderator:
Pasco nilikuonya kuwa usiwatukane Watumbatu na Wahadimu kuwa ni masalia ya watumwa. Na sasa nakuonya tena usiwansibishe hawa watu na Tanganyika sababu hawana asili ya Tanganyika.

Huyo Chami is a damn liar research yake is full of distortion ma lengo lake ni kuondoa all elements za kiarabu ndani ya Uswahili na jambo la aibu na kusikitisha sana msomi kama yeye kufikia extent ya ku distort reality.

Inasikitisha sana niliona documentary yake eti Kilwa haikujengwa na Waarabu eti na design za Kilwa Ruins si za Kiarabu.

Lakini why mutake ku Bantusize kila kitu kwa malengo ya utashi wa Kisiasa tu.

Basi Tanganyika should Annex Fiji Islands na kulazimisha ziwe sehem ya Jamhuri ya Muungano kwani Fijians wanajivunia asili yao ya East Africa (Tanganyika) ref. The History of Fiji and Tonga.

Recent findings zimeshapindua ile dhana kuwa mtu wa mwanzo duniani ametoka Africa iliyotokana dhana ya kikafiri (Darwinism) dhana kuu ambayo hata Kanisa inaipinga (Evolution). Hivi karibuni dhana hiyo ya mtu wa mwanzo duniani inayosema ametokea Olduvai imejipiku wenyewe kwa kugundua more historic finding zonazompita mtu wa Olduvai kwa umri na kugundua masalio makongwe zaidi Kusini ya Arabia (South Oman).

Sasa hao kina Chami wanaotaka ku Bantusize the Coastal Swahili Civilization watuonyeshe Ruins na makaburi ya Ki- Bantu kwanza.

Halfu nakupa hint katufute asili ya Kushites wanatokea wapi mpaka tukafikia kupata watu weusi katika Africa.

Nakupa somo moja tafuta link ya Watanganyika na Cameroon na Nigeria katika history ni kuhusu nini kisha tutafakari jee watu hao wadai annexation ya Tanganyika na Nchi hizo mbili?

Na kwa upande wa Watumbatu unaowabandika Utumwa kasome historia ya Malkia wao Mwana wa Mwana.

Pasco hujahitimu endelea kusoma usifanye copy and paste has from wikipedia sababu wikipedia ina full of distortion na ni free fall platform every Tom Dick and Harry can post and edit there.


Eti anakimbilia Google na wikipedia??

Hata mtoto wa darasa la kwanza hashindwi na hilo,Pasco kweli amevurugwa...!!!
 
Pasco,

Bado unajibu kwa ufedhuli na utovu wa adabu. Wewe kiumbe sawa na Sheittan wewe. Wewe ndie katika Qur'an Tukufu tumembiwa mioyo yao ina maradhi na Mungu anawazidishia maradhi. Haki ni katika waliopotea.
Mkuu Kahawarizimu, kauli huumba!, inategemea nguvu iliyomo ndani ya kauli yako yaani "the power within" inatoka kwa nani kati ya Mungu kweli na shetani, kwa sababu shetani naye anazo nguvu za giza!.

kitendo cha kunifananisha mimi binadamu mwenye imani ya Mungu wa kweli, ambaye yumo ndani yangu, kuniita ni shetani kunahatari kweli kweli kwa aliyendani yangu kukukabili vilivyo hivyo nakushauri share uzi huu na nduguzo na jamaa zako na wale ambao hawana access na jf, waambia tuu kwa kauli yako kuwa kuna mwanajf fulani anaitwa Pasco, nimemfananisha na shetani, ili kesho na keshokutwa, yakikukuta ya kukuta, angalau wataelewa sababu.

Kwa wengine msio amini, mimi Pasco wa JF naamini kwenye "nothing but the truth!", binaadamu kumfananisha binaadamu mwingine na shetani, kwa vitendo ambavyo sio vya kishetani, anajitengenezea "bad karma" ikitokea kumrudi, msipate tabu kumtafuta mchawi, itakuwa ni shetani mwenyewe halisi kanfuata kumpatia haki yake!.

Mambo mengine jamani tuachane maskhara!.
Pasco.
 
Mkuu Kawarizimu, kwanza asante kwa kujibu hoja objectively. Literacy work yoyote ama inakuwa complemented na literacy work nyingine, ama inakuwa defeated na literacy work nyingine, ndio maana siku za nyuma kwenye ule uzi kazi ya Maalim Mohamed Said kuhusu maisha ya Wazee wake wa Gerezani, ukishambuliwa left, right and center na watu wakaja na facts za ukweli kabisa kuudefeat urongo wake, walimlazimisha Maalim Mohamed Said ndie atoe toleo jengine lenye ukweli, mimi ni miongoni niliosimama na Maalim kuwa yeye ukweli wake ndio huo, hawa wenye ukweli zaidi na watoe kitabu ili machapisho ya Maalim yawe defeated!.

Kwenye historia ya Zanzibar, nimekuonyesha andiko kuwa wanaodaiwa kuwa wenyeji, Wahadimu na Watumbatu, kule sio kwao!, nikakueleza walipotoka!, tena ni hapa kwetu bara!. Nikakueleza ukiondoa hao Wahadimu na Watumbatu, Zanzibar haina wenyewe ndio maana Sultani katoka zake Oman na kuahamia Zanzibar bila negotions na mtu yoyote kwa sababu kavikuta visiwa havina wenyewe!. Ulichotakiwa kufanya sio tuu kuita watu waongo!. Kama ni waongo, unautaja uongo wao kisha unauweka ukweli wako!. Umeambiwa Watumbatu na Wahadimu asili yao ni bara, kama ni uongo unaiweka ile asili yao ya ukweli unaijua wewe!.

Nimekuambia Sultan Seyyid Said, aliviokota visiwa vya Zanzibar kama sadakalawe, hakukuta mtu pale wala kufanya majadiliano na yeyote kabla ya kuhamia. Sasa wewe kama unazo details alimkuta nani, alifanya majadilano yapi alivitwaa visiwa vya Zanzibar toka kwa nani, tuwekee ukweli huo to defeat uongo uliotangulia!.

Maadamu unayo historia hadi ya malikia wao Mwana wa Mwana, tuwekee nasi tuijue ili tupate kujua huyu Mwarabu alihamiaje hamiaje nchi ya watu hivi hivi tuu, just like that il khali nchi ilikuwa na wenyewe?!.
Ukiweza pia kutueleza hiyo asili halisi ya hao wenyewe tutashukuru, vinginevyo tuanze process ya kuwafukuza wavamizi wa nchi yetu, waliovamia bila ruhusa yetu, wakauweka ufalme wao tulioupindua kwa yale Mapinduzi Matukufu, kisha tuunganishe kabisa nchi yetu iwe "Nchi moja!, Taifa moja! Tujue moja!.
Pasco.

Mkuu,
Nimevutiwa sana na ilmu uliyoitoa hapa juu,lakini naomba niulize swali moja!

Unaposema kuwa Sultan Seyyid Said, aliviokota visiwa vya Zanzibar kama sadakalawe, hakukuta mtu pale wala kufanya majadiliano na yeyote kabla ya kuhamia unamahanisha nini?

Unataka kusema hawa wakazi wa kisiwa hicho walitoka wapi?Unataka kusema pamoja na hizi kelele zote za kuvunja muungano,kutaka kisiwa Chao,na blaablaa za kutaka mamlaka kamili kumbe hata wao ni wageni?

Na je hawa wazanzibar wote ni zao la watumwa walioletwa na waarabu?Maana majibu yaweza kutoa picha ya nini chanzo cha matusi na kebehi wanazozitoa mitandaoni pengine zinaweza zikawa zimetokana na kurithishwa STRESS za utumwa ati!Maana mtoto wa nyoka ni nyoka.

Naomba jibu tafadhali!
Ahsante.
 
Mkuu zomba

Ujue unatoa elimu kubwa sana kuhusu historia ya Zanzibar, unachofanya saizi ni kutoa Ilm kwa wale wanaofuatilia huu mnakasha.

Naam, nataka kwanza aelimike huyu Pasco kuwa si kama asemavyo yeye kuwa "rainbow nation" ilianza baada ya mapinduzi, napenda aelewe u rainbow wa Zanzibar ni wa asili na fasili, na hao niliomuonesha hapo juu ni wale maarufu kwa sasa, ngoja nimuwekee picha ya babu yake wa Unyamwezini huko, (Wanyamwezi na Wasukuma ni kitu kimoja), ambae ni "bwana" hana kabisa rangi anayofikiria Pasco kuwa ni kigezo cha "ubwana" na "utwana" kwa ujinga tu aliojazwa:

TT1.jpg

Huyu anaitwa Hamad bin Muḥammad bin Jumah bin Rajab bin Muḥammad bin Sa‘īd al-Murghabī aka Tippu Tip (1837 – June 14, 1905).

Ana kigezo kipi cha Pasco (weupe) cha ubwana?
mercanti-arabi-di-zanzibar-east-cost-africa-1884-foto-di-j-kirk.jpg


Pasco Zanzibar huijui. Na ukitaka kuijuwa Zanzibar, tafadhali uliza tu kistaarabu, ntakupa "hint", itayokusaidia sana kuijuwa Zanzibar.
 
Last edited by a moderator:
Hilo swali limekishinda kujibu lakini mimi ntakujibu, kwani linahusu sana maandiko yako ya "utwana" na "ubwana" uliyoyaandika huko juu, kuwa eti mapinduzi ndio yalifanya watwana wawabake watoto wa mabwana na kufumguwa milango.

Kwa mara ya kwanza Sheikh Abeid Karume alifunga ndoa na Bibi Pili binti Ahmed Ambari mwanzoni mwa miaka ya Arubaini. Mke wake wa pili ni Bibi Ashura binti Maisara. Baada ya kutengana na wake hao wawili, Sheikh Karume alifunga ndoa na Bibi Fatma binti Gulamhussein Ismail (Fatma Karume) katika mwaka 1944 mwishoni mwa mwezi wa Novemba, harusi ambayo ilifanyika huko Bumbwini Misufini. - Ali Shaaban Juma.

Sasa nakuuliza, kulikoni? huo "utwana" na "ubwana" haukuwepo 1944?Isitoshe, si Fatma tu na Ashura ambao ni wakizazi cha "mabwana", pia kuna wengine ambao waliolewa na Bwana Karume ni Bibi Nasra, Bibi Helemu na Bibi Fadya ambao kila mmoja alizaa nae mtoto mmoja wa kike.

Unawajua khabari zao hawa mabibi Nasra, Helemu na Fadya?


Kwa kukujuza nao pia si katika "watwana". Kulikoni? ilikuwa ni unique case kwa Karume tu? jibu lako ni hili hapa:




Mwinyi "mtwana" wa kutoka Mkuranga kumuoa Siti mtoto wa "mabwana" 1960 na kuzaa nae watoto sita, au Mapinduzi yalikuwa tayari yameshawafungua watoto wa mabwana? Isitoshe, si Siti tu, kuna mwengine aitwae Bi Khadija nae yuko hapo hapo nyumba hiyo hiyo na Bi Siti, unaelewa kuwa nae si katika "watwana"?
Pasco Zanzibar huijui. Waachie Wazanzibari wenyewe japo kidogo na sie wa pwani, kwani kwetu pia mpaka wa hii leo ni himaya ya Zanzibar na khulka zetu hazijapishana kihivyo, si kama wewe wakuja. Unalijuwa hilo? nani aliibadili ile maili 10 ya pwani? Unajuwa kuwa Kariakoo na Gerezani ni chini ya maili kumi kutoka pwani ya bahari ya hindi?

"Sisi mambo twayajua" - Khadija Kopa.

Situmai majibu kutoka kwako lakini nna uhakika somo umelipata.






zomba...

a.k.a Mzee wa Hints..!!


:cool2: :cool2:
 
Last edited by a moderator:
Mzee Karume na Mkewe wapi wametukanwa? niliyeuliza swali kuhusu Mzee Karume na Mkewe ni mimi. Nimeuliza walioana lini? kutokana na Pasco kudai kwamba "rainbow nation" imekuja baada ya "watwana" kuwabaka mabinti wa "mabwana" wakati wa mapinduzi.

Kuna tusi katika kuuliza Karume kamuoa lini Fatma?

Mkuu mwanzoni Pasco alilisema kishabiki nikaisi kukashifiwa viongozi sijasema wametukanywa..ila kwa maelezo yako na ILMU uliyotoa nimefarijika sana na natamani uendeleze pale ulikoishia kwa akina mama wengine wawili uliowataja ila ukampa Pasco amalizie
 
Last edited by a moderator:
Naam nataka kwanza aelimika huyu Pasco kuwa si kama asemavyo yeye kuwa "rainbow nation" ilianza baada ya mapinduzi, napenda aelewe u raibow wa Zanzibar ni wa asili na fasili, na hao niiomuonesha ni wale maarufu kwa sasa, ngoja nimuwekee picha ya babu yake wa Unyamwezini huko, (wanyamwezi na wasukuma ni kitu kimoja), ambae ni "bwana" hana rangi anayofikiria Pasco kuwa ni kigezo cha "ubwana" na "utwana" kwa ujinga tu aliojazwa:

TT1.jpg

Huyu anaitwa Hamad bin Muḥammad bin Jumah bin Rajab bin Muḥammad bin Sa‘īd al-Murghabī aka Tippu Tip.

Ana kigezo kipi cha Pasco (weupe) cha ubwana?
mercanti-arabi-di-zanzibar-east-cost-africa-1884-foto-di-j-kirk.jpg


@Pasco Zanzibar huijui. Na ukitaka kuijuwa Zanzibar, tafadhali uliza tu kistaarabu, ntakupa "hint", itayokusaidia sana kuijuwa Zanzibar.


Usimuue haraka haraka hivyo please,,,

Asije akakimbia,tunamuhitaji akae kitako hapa yeye na jamaa zake
 
Mkuu Kahawarizimu, kauli huumba!, inategemea nguvu iliyomo ndani ya kauli yako yaani "the power within" inatoka kwa nani kati ya Mungu kweli na shetani, kwa sababu shetani naye anazo nguvu za giza!.

kitendo cha kunifananisha mimi binadamu mwenye imani ya Mungu wa kweli, ambaye yumo ndani yangu, kuniita ni shetani kunahatari kweli kweli kwa aliyendani yangu kukukabili vilivyo hivyo nakushauri share uzi huu na nduguzo na jamaa zako na wale ambao hawana access na jf, waambia tuu kwa kauli yako kuwa kuna mwanajf fulani anaitwa Pasco, nimemfananisha na shetani, ili kesho na keshokutwa, yakikukuta ya kukuta, angalau wataelewa sababu.

Kwa wengine msio amini, mimi Pasco wa JF naamini kwenye "nothing but the truth!", binaadamu kumfananisha binaadamu mwingine na shetani, kwa vitendo ambavyo sio vya kishetani, anajitengenezea "bad karma" ikitokea kumrudi, msipate tabu kumtafuta mchawi, itakuwa ni shetani mwenyewe halisi kanfuata kumpatia haki yake!.

Mambo mengine jamani tuachane maskhara!.
Pasco.

Hata maana ya shetani huijui. Pata somo kidogo;

Kuna binaadam shetani na utamjuwa kwa vitendo vyake, na kwa namna unavyoandika humu, mimi naungana na Khawarizm kuwa wewe ni shetani.

Tazama nilipokuwekea nyekundu, nna uhakika hiyo si typo, ni kusudi kabisa unam harass mtu kwa "name calling", hujaanzia hapo niliona nyuma huko ulipobadili ahmed deedat na kuipachika jina upendalo wewe. Huo kama si ushetani ni nini?
 
Last edited by a moderator:
Usimuue haraka haraka hivyo please,,,

Asije akakimbia,t unamuhitaji akae kitako hapa yeye na jamaa zake

Huyu Pasco anatukana na kutukejeli watu humu, kuanzia kututukania watoto zetu Wakiislaam na isitoshe, mpaka kufikia kubadili ID za watu akijifanya yeye anajuwa sana kuiandika kejeli. Anajaribu kutumia maandiko kufanya "character assassination".

Hafai kuchekewa hata kidogo huyu.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom