Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Zomba, with due respect, haya uliyoandika humu kumhusu huyu binti ndiyo niliyoyasema humu kuhusu yeye?!.
Mlengwa wenu si ni mimi?!, Unapomsingizia mtu wa watu, mtu muadilifu, mwenye heshma zake, mwenye staha zake, 24/7 ndani ya hijabu sijapata hata kuuona unywele wake mmoja, Mwislam safi wa swala 5, halafu unamsingizia mambo makubwa, mabaya, machafu, maovu kama haya ili nionekane mimi ndio nimemtaja kwa hayo ili iweje?!.
Naomba tusiendeleze the damage already done!.
I rest my case
Asante kwa michango yako na wengine wote asanteni kwa michango yenu!.
Pasco
Mode kwa heshima ya jukwaa hili, wakiendelea kudefame wengine, nitakuomba kwa heshma na taadhima uufunge huu uzi kwa sababu hakuna mwenye jibu la maana kuhusu hoja ya msingi ya uzi huu.
Natanguliza shukrani.
Mkuu Zomba, hii ya kufundishwa kwa ku kremu tuu majina kuwa Fuvu la mtu wa kale lilivumbuliwa Olduvai Gorge na kuishia hapo tuu kumeponza wengi bila kujua hiyo Olduvai iko wapi haswa!.
Sio kosa lako hata sisi zamani tulifundishwa Mlima Kilimajaro uko Moshi, then mtu anaandika humu Mlima Kilimajari uko Mkoa wa Kilimajaro, mtoto uliekremisha unaibuka na kusema hapana, hauko Kilimajaro bali uko Moshi!. Kwa kukusaidi tuu, Olduvai iko Ngorongoro!.
Baada ya kuvumbuliwa hilo fuvu hapo Oldudai, kwa kudhaniwa ndio la Adamu, msako wa kuisaka bustani ya Adeni ukafanywa ndipo ile Ngorongoro Creater ikaonekana ni mahali stahiki!.
Baadae limeishavumbuliwa fuvu la kale zaidi, bustani yake ya Edeni bado haijapatikana!.
Nendelea kusisitiza hoja yangu kuu humu imekwisha bila majibu, haya ni mengineyo tuu!.
Pasco.
Mods,
Kwa hisani yenu nakuombeni uzi huu usifungwe maana huyu Pasco kaingiza mambo mangine ambayo ninyi ni mashaahid juu ya yaloletwa/andikwa naye na alokuwa akiyaendeleza,
Sasa vipi akufundisheni kazi ilhali ninyi mlifungua Gorum hii bila ya hata kujua kuwa pana kiumbe chaitwa Pasco mkakitaka ushauri juu ya uwepo wa forum kama hii?
Pasco
Hivi kwanini wapenda cheza na akili za watu kiasi hicho?
Kwani wewe kuomba radhi kwa makosa yako uliisha haramishiwa au ni katika mwendelezo wa dharau zako?
Sasa twendelee na mnaakasha hadi ukome kwa maropoko yako mbele ya waungwana.
Ulizo langu bado lingali pale pale, je, bado una ubavu wa kuzijibu huja za mabwana au uwezo😱😱 umekutoweka?
Mkuu Zomba, with due respect, haya uliyoandika humu kumhusu huyu binti ndiyo niliyoyasema humu kuhusu yeye?!.
Mlengwa wenu si ni mimi?!, Unapomsingizia mtu wa watu, mtu muadilifu, mwenye heshma zake, mwenye staha zake, 24/7 ndani ya hijabu sijapata hata kuuona unywele wake mmoja, Mwislam safi wa swala 5, halafu unamsingizia mambo makubwa, mabaya, machafu, maovu kama haya ili nionekane mimi ndio nimemtaja kwa hayo ili iweje?!.
Naomba tusiendeleze the damage already done!.
I rest my case
Asante kwa michango yako na wengine wote asanteni kwa michango yenu!.
Pasco
Mode kwa heshima ya jukwaa hili, wakiendelea kudefame wengine, nitakuomba kwa heshma na taadhima uufunge huu uzi kwa sababu hakuna mwenye jibu la maana kuhusu hoja ya msingi ya uzi huu.
Natanguliza shukrani.
Asante kwa links hizo, kumhusu Dr. Ghassany, naomba fungua hii link hapa, soma tarehe ya hii thread, angalia nilisema nini kumhusu Dr. Ghassany, by the time nachangia hapa nilikuwa nimeishasoma kitabu siku nyingi na nilipewa na dada yenu, Mtoto wa Kiarabu hapo Zanzibar!, tena mnabahati sisi haturuhusiwi kuoa zaidi ya mara moja!, ningembadili dini na leo hii ningekuwa shemeji yenu!. Muungano wa Tanganyika na Zanzibar; Una Faida gani na kwa ...
Leo nimekiweka ili wengi zaidi wakisome, ili nitakapoanza kukibomoa, tuweze kwenda sambamba.
Pasco
Pasco kuwa muungwana. Hata sie lugha hizo twaziweza. Ushemeji hauelemei upande mmoja. Kuwa na adabu.
By Pasco![]()
![]()
La ushemeji, si nimesema ninge!, au hasira na kumbadili dini mtu?!. Mbona wabara wengi wamesilimishwa kwa ajili hiyo!. Bara Zanzibar dugu moja!. Hata mitaa yako hapo Gerezani, tumepita sana tuu, wakati huo nikiwa RTD, walikuwa wanakuja wenyewe!. Ujana nao una ushetani wake, basi tuu saa hizi ungekuta labda niliishasilimishwa zamani nikiitwa Mkwe!. Basi tuu!.
Pasco.
Mkuu Zomba kosa langu kubwa ni kuwa very frank, ukiwa mkweli mno ni tatizo!. Yote niliyoyasema humu ni mkweli mtupu tatozo ni tafsiri.
Tukubali tukatae kuna mambo mazuri yanafanyika katika jamii zetu ambayo ndio tunapenda kuyataja, ila pia kuna mambo mabaya yanayo fanyika katika jamii zetu tunapenda kuyaficha, yasitajwe.
Mfano kwa wakazi wa Dar es Salaam miaka ile kuna mambo fulani, yalianzia club moja maarufu ikiitwa Maggots, fanya utafiti waanzilishi ni kina nani?!. Nyingi ya zile nyumba za maeneo fulani ya zamani, wamiliki ni kina mama, mama zetu, fanya utafiti baadhi yao walizijenga hizo nyumba kivipi au walizimiliki vipi, utashindwa kuamini!. Tukiingia kwenye ukweli wa aina hii, tutaishia kuleta malumbano ya kunyoosheana vidole kuwa nimetikana watu humu!.
Naanza kukubali ukweli mno pia sometimes sio kitu kizuri, haswa ukweli wenyewe kama ni ukweli mchungu wa kuudhi!.
Kwa sasa mjadala umeisha na haya ni mengineyo tuu ambayo yanapelekea nifanye tafakari yakinifu kama mada hizi ziendelee au zisiendelee kufuatia mchafuko wa hali ya hewa ya uzi huu!.
Mada zenyewe ni hizi
Nafanya tafakuri kama nizipandishe au laa, nitaisikiliza dhamira yangu (listening to myself, the voices from within) kisha utekelezaji utafuatia.Pasco.
- Part I-Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar: Maswali Bila Majibu Part I
- Part II-Jee nini Chanzo Halisi cha Mapinduzi ya Zanzibar na Nani Haswa Waipanga/Waliotekeleza
- Part III -Nani ni Shujaa Halisi wa Mapinduzi ya Zanzibar!.
- Part IV -Kwanini Abedi Amani Karume, Aliyakimbia Mapinduzi ya Zanzibar na hakushiriki?
- Part V- Baadhi Matunda ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ni Muungano Adhimu!-"Mapinduzi Daima!"
Tena bado anatamba na kutishia usalama wa watu na kujigamba kuwa yuko tayari kwa vita vya silaha. Huyu kiumbe wa ajabu sana. If he is abusing his position katika society and the public to such an extent ina maana he can do anything cha hatari huyu.
Wanajamvi nilipatapo kumwambia Pasco kuwa mie ni bashraf asubiri waimbaji wanakuja.
Jisome mwenyewe hapa halafu useme nimekusingizia nini?
Ulikuwa unamaanisha nini hapo? mpaka kufikia kumkejeli yeye huyu Binti yetu pamoja na sisi. Hivi ulifikiri kututangazia hayo ulikuwa unafanya mema kwake au kwetu sisi? Mpaka Maalim Mohamed Said akaja kukutanabahisha:
Lakini hukumuelewa na ukaendelea kutoa kejeli zako ukaingia mpaka kututukania dada zetu wa Gerezani. Umesahau?
Bado tu unataka kusema hujatutukana sisi na binti zetu na dada zetu?
Mkuu Mbute, ikitokea tumefanikiwa kuanzisha shirikisho la Afrika Mashariki, na sisi nchi zote tano tukaamua liwe Kenya, then serikali ya Kenya tuu inamuandikia UN SG, NV kumuarifu kuwa kuanzia sasa zile nchi hazipo tena na viti vyake vyote nitakalia mimi itoshe?. Muungano wowote wa nchi ni international instrument hivyo huo mkataba mlioingia kuziunganisha nchi zenu ulipaswa kutuma kule UN as an attachment!.Mheshimiwa, kumbuka hakuna fomula ya kuunda miungano ya nchi kimataifa. Mambo yote yanayofanywa kimataaifa ni matokeo ya makubaliano, hivyo UN huwa na kazi ya kulinda makubaliano hayo na sio kuweka mambo juu yao.
Si kwamba jina la Tanganyika limekufa, ila sovereignty ya Tanganyika imekufa hali kadhalika sovereignty ya Zanzibar. Zanzibar hutajwa kwa wingi ila si zaidi ya jina, kwani, kama Tanganyika, haina sovereignty iwayo yote. Supernationality (TANZANIA) ya muungano huu ambayo kila nchi ili-surrender madaraka na mamlaka kwa mfumo wa rationality, ndio ina sovereignty.
Maswali ya msingi ni kama;
1. Ya wapi makao makuu ya muungano?
2. Dodoma ni mji mkuu wa Tanganyika au Tanzania?
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Mohamed,
Kwa taarifa yako juzi tu, through Private masage, nimetoka kumuomba Pasco namba yake ya simu ili tuanze mawasiliano nje ya JF kuhusu research ya hili!!!
Je, hata kama ingekuwa Pasco amekujibu via separate ID, pangua hoja yake maana hiyo ID ya pili hajaja na hoja kwamba amefungua ID bali kaleta sunstannsive contribution ambayo akili yako haikweuza kuifikia.
Panua akili utaweza kujibu hoja nyingi humu JF.
Ukiangalia hoja zangu humu utaona Pasco ni mmoja wa wanaonipa like nyingi. Toa na wewe watakupa like akiwemo Pasco.
Kupanua akili ni rahisi sana. Soma vitabu, usikimbilie viroba.
Mkuu Mbute, ikitokea tumefanikiwa kuanzisha shirikisho la Afrika Mashariki, na sisi nchi zote tano tukaamua liwe Kenya, then serikali ya Kenya tuu inamuandikia UN SG, NV kumuarifu kuwa kuanzia sasa zile nchi hazipo tena na viti vyake vyote nitakalia mimi itoshe?. Muungano wowote wa nchi ni international instrument hivyo huo mkataba mlioingia kuziunganisha nchi zenu ulipaswa kutuma kule UN as an attachment!.
Kiti kufutwa kwa NV tuu?!.
Bado nalifanyia kazi!.
Pasco.
Mkuu Mbute, ikitokea tumefanikiwa kuanzisha shirikisho la Afrika Mashariki, na sisi nchi zote tano tukaamua liwe Kenya, then serikali ya Kenya tuu inamuandikia UN SG, NV kumuarifu kuwa kuanzia sasa zile nchi hazipo tena na viti vyake vyote nitakalia mimi itoshe?. Muungano wowote wa nchi ni international instrument hivyo huo mkataba mlioingia kuziunganisha nchi zenu ulipaswa kutuma kule UN as an attachment!.
Kiti kufutwa kwa NV tuu?!.
Bado nalifanyia kazi!.
Pasco.
Je,nikuthibitishie kuwa hii ID ya Nikupateje pia ni ya kwako wewe Pasco??yan unaitumia kuandika na kujijibu mwenyewe ili ufanye spinning na ulaghai??
Uthibitsho jionee mwenyewe pale ulipoandika kupitia ID hiyo kisha mwishoni ukamalizia kwa neno lako la PASCO hapo mwishoni...
Mimi naona wewe kikaragosi kwa sasa utakuwa umeshapagawa moja kwa moja.