Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Miaka 50 Ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Bado Kuna Maswali Bila Majibu -1

Wananchi wana dini.Una maana gani nchi kuwa na dini?Yes mimi ni mtanzania.

1: Bunge linaongozwa na viumbe gani?

2:Weye ni dini gani?

Naona twenda uzuri mmeru weye, sasa usije leta matata ya kidhabdhaba ukapoteza mwelekeo wa somo letu,
 
1: Bunge linaongozwa na viumbe gani?

2:Weye ni dini gani?

Naona twenda uzuri mmeru weye, sasa usije leta matata ya kidhabdhaba ukapoteza mwelekeo wa somo letu,
Linaongozwa na wanadamu wenye dini tofauti.Acha ujinga huu si "muhadhara"
 
Linaongozwa na wanadamu wenye dini tofauti.Acha ujinga huu si "muhadhara"

Nilikutahadharisha mapema kuepuka LUGHA za KIJAAHIL,

Si kama sizifahamu la hasha wakallaa...!
Ama wataka nizitumie kwa shuruutwizo?

Hebu turegee ndani ya somo ili faida ziwaendee wafuatiliaji wetu,

Hizo dini zafahamika?
 
Nilikutahadharisha mapema kuepuka LUGHA za KIJAAHIL,

Si kama sizifahamu la hasha wakallaa...!
Ama wataka nizitumie kwa shuruutwizo?

Hebu turegee ndani ya somo ili faida ziwaendee wafuatiliaji wetu,

Hizo dini zafahamika?
Lugha ya kitumwa sizungumzi.Sina dini.
 
Hakuna mji wowote!, ukiamua kutaja taja, ukiamua kutotaja kwa sababu hujapewa mji usitaje,
simjui huyo kwenye picha wala anahusu nini!, "One can never miss what you never know!"
Ila pia kitendo cha kuomba nikupe mji, ni ishara njema ya good faith, nimekupa mji wa kwetu kule Mashokololokubangashee!.
Pasco.

Pasco, mpe mji. Haya aende Mchambawima, huko kama hataki aende Makunduchi.
 
1: Bunge linaongozwa na viumbe gani?

2:Weye ni dini gani?

Naona twenda uzuri mmeru weye, sasa usije leta matata ya kidhabdhaba ukapoteza mwelekeo wa somo letu,

Maulana Wabara,

Salaam Al Akhiy.

Huyo punda-urongo, nafahamu yakuwa wajitahidi kwenda nae kisimani kumnywisha maji japo kiduchu!

Lakini asema yeye hata Kiswahili champa dhiki,haya hicho Kimwemwende uzungumzacho weye mtafahamkiana kweli!? Teeh! Teeh! Teeh!

Nenda nae kwa stara...maana tayari yushikuanzia matusi huyo pundaka wa swaidaka Mwanachadema kitukuu kisofundwasema aka jmushi1! Teeh! Teeh! Teeh!
Ahsanta.
 
Kwa hiyo lugha ulotumia hapo juu na hizo tashtit...basi weye lazim utakua ni mtoto wa wale muitao ndo Wahaya huko Tanga-nyikwa...au na wewe pia ndo Msu-K.U.M.A kama huyo Pasikali aka Pasco!? Teeh! Teeh! Teeh!

Hizo kashfa na matusi yako hapa hayatasaidia kitu...nyinyi mnajaribu kuja kumuokoa mgalatia mwenzenu alochemsha kwa kutumia matusi na tashtit bila ya hoja!?

Sasa ati "Waarabu-koko" ndo nini!?...mbona pale Ngara,Biharamulo na Kamachumu wamejazana watoto wa kigoa na Makalasinga...sasa ndo nini kile!?

Tafadhali usintafute nikujibu wewe mchovu wa maisha ,ikanilazim kutukana na wangine ninaowastahi japo kiduchu!

Weye na Wenzio nyoote hamna mjualo!...kwalo itakua sisi ni kupoteza wakti wetu ati kulumbana nanyi kuhusu history ya Zanzibar au dasturi za Wazanzibary kiundani!

Sasa kabla sijakwacha ili ukaendelee na yale makhanatha yenu ya Chadema...nakuliza suali kiduchu!

Tutajie watu wowote japo kumi tu kwa ushahidi thabit...uliowahi kusikia ati waliuwawa au hata kuwekwa ndani/kizuizini bila ya kufunguliwa mashtaka au bila ya hatia na Sultan wa Zanzibar kabla ya hayo Mapinduzi yenu ya kidhalimu/mauaji...atleast from 1961 to 1964!?

Nitajie mtu yeyote/family ndani ya ile Unguja ambayo iliwahi kudhulumiwa/kunyang'anywa mali zake/zao...japo hata mkoba wa mbata!? Teeh! Teeh! Teeh!

Nitajie Mawaziri/Viongozi wowote wa Serikali ya Sultan ambao/ambaye waliuwawa bila ya hatia na Serikali ya Sultan kabla ya hayo muitayo nyinyi ati ndo "mapinduzi matukufu"!? kudadeki zenu Watanga-Nyikwa!! Teeh! Teeh! Teeh!

Nyinyi munadai yakuwa Sultan alikua ati ndo "Mgeni" na yule Karume Mnyasa ndo "Mwenyeji" sio!? Teeh! Teeh! Teeh!

Sasa yawaje huyo nyinyi mujaribu ati kumuita ndo "mgeni" au "Muarabu" ana generations takriban nne pale Unguja na kwa ushahidi wa walipozikiwa Wazazi Wake wa awali...na huyo Mnyasa alokuja pale mtoto wa mgongoni ndo kweli ati awe yeye ndo "kwao" pale!?

Kwa kifupi,nisingalipenda kunena mangi kupitia kwako usojua lolote/chochote...itakua tu ni kutowatendea haki ndugu na jamaa zetu wasio na farka nasi wala tafran!

Hayo yoote msemayo wewe na wenzako hapa jukwaani ni racism ya hali ya juu mno! Dah!

Lakini sistaajabu...nakhis hata exposure yenu kwayo ni kiduchu mno!

Wewe si tu mlemavu wa fikra utumiaye zile Colonial connotations lakini pia hujui usemacho maskini! Dah! Teeh! Teeh! Teeh!

Salaam zao!

Ahsanta.

Mkuu,
Kwanza kabisa nikushukuru kwa matusi!
Ni kweli kuwa mimi ni mtu wa bara!Na kama ulivyosema yawezekana nikawa mhaya au msukuma au kabila lolote lile!Japokuwa nimeshangazwa wewe kuniita kwa kabila,labda nikukumbushe tu huku tulishaacha habari ya kuitana kwa makabila!Ukabila ulishakwisha!Sisi ni watanganyika sasa!Japo kuwa nyie ndio mlikuwa mkiturudisha nyuma kwa hoja zenu za udini zilizokuwa zikilichafua Taifa!Natumaini mkijitenga mtakuwa mmetusaidia sana kurudisha umoja wetu wa Tanganyika!

Pili,nikukumbushe tu hawa waarabu waliofika bara hawakuja kwa bahati mbaya,walikuja kwa biashara zilezile kubwa walizokuwa wakifanya.Biashara ya pembe za ndovu(ivory),Mashamba ya mkonge na Watumwa.Waarabu wote unaowaona katika mikoa hiyo ni kizazi kinachotokana na waliokwenda kuendesha biashara hizo.

Pia unapaswa kujua kuwa biashara zote zilikuwa ovu.Kwani zilihitaji nguvu kazi ambayo ilifanya nguvu ya ziada ya kuteka watu kwenye vijiji na kuwafanya watumwa itumike!Kwa hiyo familia zilivunjika,Baba alipoteza mke,mama alipoteza mwana na nguvu kazi ya maendeleo katika eneo husika kupotea.Hili si suala la kufurahia hata kidogo!!!!
Watumwa takribani 50,000 waliingizwa kisiwani Zanzibar kutoka bara na waarabu kila mwaka na takribani watumwa 80,000 walikufa njiani kuelekea kisiwani humo!Kwa hiyo kama kweli Una uchungu na hao waarabu ,wahindi na waasia 18,000 waliokufa kutokana na mapinduzi matukufu lazima utakuwa una matatizo kumkichwa!

Kusema kuwa hakuna mzalendo aliyekufa kutokana na utawala wa waarabu,huo ni upotoshaji wa ajabu unaohitaji maombi!

Mwisho,nakuomba upunguze matusi.Yanapunguza nguvu za hoja yako.Na pia hayatawasaidia pale mtakapokuwa mnaijenga Zanzibar mpya,sana sana mtaendelea kulifanya lionekane ni Taifa lenye vichwa 'chakavu'!

Asante!
 
Lugha ya kitumwa sizungumzi.Sina dini.

Kwa mantiki hiyo Watanzania wote ni Watumwa?

Kwa kukosa diniweye, ndo sawa na wengi pale ndani ya Bunge wanajinasabisha na dini ilhaal hawamo ndani ya dini,

Kwa hivo ndo tukaanzia hapo kukanusha ya nini kuita "TUKUFU' ilhaal pana waovu ndanimwe?

Hatutaki litumike hilo neno kwasababu wajuao dini wametanabahi kutezewa maneno kwa wasoyua maana,

Ila tosheka na hapo maana huna dini sasa bora mbuzi wangu ntamtinda na kumla pamoya na rafiki zangu kuliko weye uso faida,

Kama pana utata pahala, nakaribisha maulizo tena,

Fasi unayo ila NIDHWAAM ikutawali japo kwa muda utaodumu katika mada na baada ya hapo waezaregea katika Asli ya twabiayo.
 
Pasco, mpe mji. Haya aende Mchambawima, huko kama hataki aende Makunduchi.


Kwanini msije hapa Mferejimaringo au Mferejiwawima!?

Au waonaje pale BarasteKipande!?

Lakini nyie Watanga-Nyikwa italzim tukupelekeni pale Dole na Mwakaje...maana ndipo walipojazana wale Wanyamwezi na Wasu-K.U.M.A wenzenu! Teeh! Teeh! Teeh!

Huyo Pasikali umuitae,hana uwezo wala dhamira ya kungia humu wakti huu! Labda mfanzie sabra kwenye "usiku wa manane"!? Duh! Teeh! Teeh! Teeh!

Ahsanta.
 
Mkuu,
Kwanza kabisa nikushukuru kwa matusi!
Ni kweli kuwa mimi ni mtu wa bara!Na kama ulivyosema yawezekana nikawa mhaya au msukuma au kabila lolote lile!Japokuwa nimeshangazwa wewe kuniita kwa kabila,labda nikukumbushe tu huku tulishaacha habari ya kuitana kwa makabila!Ukabila ulishakwisha!Sisi ni watanganyika sasa!Japo kuwa nyie ndio mlikuwa mkiturudisha nyuma kwa hoja zenu za udini zilizokuwa zikilichafua Taifa!Natumaini mkijitenga mtakuwa mmetusaidia sana kurudisha umoja wetu wa Tanganyika!

Pili,nikukumbushe tu hawa waarabu waliofika bara hawakuja kwa bahati mbaya,walikuja kwa biashara zilezile kubwa walizokuwa wakifanya.Biashara ya pembe za ndovu(ivory),Mashamba ya mkonge na Watumwa.Waarabu wote unaowaona katika mikoa hiyo ni kizazi kinachotokana na waliokwenda kuendesha biashara hizo.

Pia unapaswa kujua kuwa biashara zote zilikuwa ovu.Kwani zilihitaji nguvu kazi ambayo ilifanya nguvu ya ziada ya kuteka watu kwenye vijiji na kuwafanya watumwa itumike!Kwa hiyo familia zilivunjika,Baba alipoteza mke,mama alipoteza mwana na nguvu kazi ya maendeleo katika eneo husika kupotea.Hili si suala la kufurahia hata kidogo!!!!
Watumwa takribani 50,000 waliingizwa kisiwani Zanzibar kutoka bara na waarabu kila mwaka na takribani watumwa 80,000 walikufa njiani kuelekea kisiwani humo!Kwa hiyo kama kweli Una uchungu na hao waarabu ,wahindi na waasia 18,000 waliokufa kutokana na mapinduzi matukufu lazima utakuwa una matatizo kumkichwa!

Kusema kuwa hakuna mzalendo aliyekufa kutokana na utawala wa waarabu,huo ni upotoshaji wa ajabu unaohitaji maombi!

Mwisho,nakuomba upunguze matusi.Yanapunguza nguvu za hoja yako.Na pia hayatawasaidia pale mtakapokuwa mnaijenga Zanzibar mpya,sana sana mtaendelea kulifanya lionekane ni Taifa lenye vichwa 'chakavu'!

Asante!


Mkuu,

Kwa hisani yako tafadhali usifanze nikapatwa na simanzi!...hujui yakuwa weye Mkuu ndo uloanza lugha kali na kebehi/matusi!? Nitake radhi Yakhe,kwa kunivunjia hishma yangu!

Mbona hukujibu nilikuuliza nini maana ya "Muarabu-Koko" kama ulivyotaja!? Acha kujifanza ati weye ndo Victim sasa!? Teeh! Teeh! Teeeh!

Nakuhakikishia yakuwa...mie hutumia lugha kali tu pale inapolazim! Jaribu kupitia ile bayana yako ya awali ilonilazim mie kukujibu ujionee Mkuu!?

Khalaf tafadhali Mkuu,tuwekeane staha japo kiduchu...hivi umefuatilia bayana zoote hapa jamvini!? Mbona wajitia hamnazo,huwaoni waloanzisha matusi na waendeleao kutukana!?

Mie hiyo Tanga-Nyikwa nafahamu kupita kiasi...ni bakhti mbaya tu yakuwa humu JF hatufahamiani Mkuu! Utastaajabu yakuwa wewe labda ndo itakua mgeni hapo Tanga-Nyikwa!

Kwa hiyo acha kujipa false hope na ati kujidanganya yakuwa hapo Tanga-Nyikwa hapana ukabila ulokubuhu na pia udini/Islamophobia!? Weye unaishi wapi Mkuu wangu!?

Nina mangi ya kukwambia...lakini tu kiduchu jiulize yale mapigano yalokubuhu mpaka kulazimisha mauaji ya takriban watu 18 kati ya Wandamba na Wasu-k.u.m.a kule Ifakara.Malinyi,Mahenge na Ulanga...je ile nini!?

Wafahamu yakuwa ilimlazim IGP wa Police ende pale kwa haraka na baadhi ya majeshi yalokua ile Mikoa ya jirani kuwekwa on standby!?

Mie kwenye bayana yangu ilopita nimekuuliza specific questions...lakini nilikhis Mkuu yakuwa hautakua na majawaba yenye mantik asilan,ndo matokeo yake ati umenijia na hizo triangular excuses/explanations!? Dah!

Sasa nitajie wapi umeshawahi kusikia pale Zanzibar...makabila/families zipi ziliuana kwa ukabila!?

Sitarajii kunitajia ule upuuzi wa yale mauaji/nakma ya 1964!?...maana hii nayo ni subject/Topic nyangine kabisa!!

Mkuu mie nduguyo hiyo history/Anthropology na Philology ya dunia/ulimwengu mzima, ninafundisha na ukilazimisha nitakuwekea ushahidi hapa japo kiduchu! Kwa hiyo nina some sort of authority!

Sikutishi wala si dasturi yangu majigambo asilan...lakini ufahamu yakuwa nafahamu nini ninachozungumza tena kiundani mno na wala sibahatishi! Kwa hiyo huna haja ya kunitumia hayo maelekezo/"hoja" yako dhaifu!

Nisingalipenda kwa sasa kukutaka ku-substantiate hizo statistics/figures hapo ulizotaja wala sources zake...maana itatulazim chokonoa mangi mno!? Nafikiri mie binafsi utaona nalijaribu kumtahadharisha huyo mleta mada!!

Nimefurahika,yakuwa kwa sasa nakukhis waelekea kurejea kwenye mazungumzo mema na yenye staha...basi labda mnakasha sasa utapoa dharuba na hoja zilo njema kutawala!?

Ahsanta.
 
Duh!mnawaogopa kiasi hicho?Ndo maana wakitoa amri wafuasi hamfikirii mara 2,kama Pasco ni mwandishi sioni ajabu kukutana nao.

Lakini tunawastahi tu,...kwetu sisi wa kuogopewa ni Allah tu!

Tafauti na nyinyi mnavyomuabudu yule Nabii wa Tengeru! Teeh! Teeh! Teeh!

Ahsanta
 
Kwanini msije hapa Mferejimaringo au Mferejiwawima!?

Au waonaje pale BarasteKipande!?

Lakini nyie Watanga-Nyikwa italzim tukupelekeni pale Dole na Mwakaje...maana ndipo walipojazana wale Wanyamwezi na Wasu-K.U.M.A wenzenu! Teeh! Teeh! Teeh!

Huyo Pasikali umuitae,hana uwezo wala dhamira ya kungia humu wakti huu! Labda mfanzie sabra kwenye "usiku wa manane"!? Duh! Teeh! Teeh! Teeh!

Ahsanta.
Mkuu gombesugu

Nikupa hiki kisa nisome kwa makini Mbwa Mbwa ni viumbe waaminifu mno wanajitoa mhanga ketetea mafanikio ya bwana zao! katika jamii nyingi mbwa hutumiwa kuwinda wanyama wa mwituni kwa ajili ya kitoweo, katika jamii ya Kiluo mbwa hutumiwa kuwinda sungura, wao huita Apwoyo, lakini mbwa anapokamata Apwoyo, bwana wake hula minofu yote na kumuachia kwato, vichwa mapanki na matumbo ambayo ni nadra kuliwa na mtu, Mkuu gombesugu nisome kwa ushui.

Maeneo mengine ya nchi yetu mbali na mnyama huyo kujitwika dhima ya kulinda familia na utajiri usiku kucha, bila mshahara huishiwa kupewa makombo, tena mwishoni baada binadamu kuwa wamemaliza kula minofu mbwa hulazimika kula makombo chini ya meza ya bwana wake hata kama alichinjwa mbuzi.

Hakuna anayekubali kula meza moja na mbwa, achilia mbali sahani moja, wala hakuna anayekubali kunywea maji katika bakuli ya mbwa, wakati wa baridi na masika mbwa huachwa kunyeshewa nje hulia kwa huruma malangoni wala hakuna anayemjali lakini bado mbwa ni waaminifu kwa bwana wao...niishie hapa ndugu yangu najua umenifahaumu uzuri kwenye kisa hiki cha mbwa.

Tuendelee na mjadala.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu gombesugu

Nikupa hiki kisa nisome kwa makini Mbwa Mbwa ni viumbe waaminifu mno wanajitoa mhanga ketetea mafanikio ya bwana zao! katika jamii nyingi mbwa hutumiwa kuwinda wanyama wa mwituni kwa ajili ya kitoweo, katika jamii ya Kiluo mbwa hutumiwa kuwinda sungura, wao huita Apwoyo, lakini mbwa anapokamata Apwoyo, bwana wake hula minofu yote na kumuachia kwato, vichwa mapanki na matumbo ambayo ni nadra kuliwa na mtu, Mkuu gombesugu nisome kwa ushui.

Maeneo mengine ya nchi yetu mbali na mnyama huyo kujitwika dhima ya kulinda familia na utajiri usiku kucha, bila mshahara huishiwa kupewa makombo, tena mwishoni baada binadamu kuwa wamemaliza kula minofu mbwa hulazimika kula makombo chini ya meza ya bwana wake hata kama alichinjwa mbuzi.

Hakuna anayekubali kula meza moja na mbwa, achilia mbali sahani moja, wala hakuna anayekubali kunywea maji katika bakuli ya mbwa, wakati wa baridi na masika mbwa huachwa kunyeshewa nje hulia kwa huruma malangoni wala hakuna anayemjali lakini bado mbwa ni waaminifu kwa bwana wao...niishie hapa ndugu yangu najua umenifahaumu uzuri kwenye kisa hiki cha mbwa.

Tuendelee na mjadala.


Shariff Ritz,

Shukran mno kwa bayana hii ilo njema na mafundo mangi ndanimwe!

Imenilazim kui-print na tahifadhi kwa mrejeo wakti mwangine.

Mola akulipe kwa takrima zako za Ilm humu-JF.

Ahsanta.
 
Mkuu,

Kwa hisani yako tafadhali usifanze nikapatwa na simanzi!...hujui yakuwa weye Mkuu ndo uloanza lugha kali na kebehi/matusi!? Nitake radhi Yakhe,kwa kunivunjia hishma yangu!

Mbona hukujibu nilikuuliza nini maana ya "Muarabu-Koko" kama ulivyotaja!? Acha kujifanza ati weye ndo Victim sasa!? Teeh! Teeh! Teeeh!

Nakuhakikishia yakuwa...mie hutumia lugha kali tu pale inapolazim! Jaribu kupitia ile bayana yako ya awali ilonilazim mie kukujibu ujionee Mkuu!?

Khalaf tafadhali Mkuu,tuwekeane staha japo kiduchu...hivi umefuatilia bayana zoote hapa jamvini!? Mbona wajitia hamnazo,huwaoni waloanzisha matusi na waendeleao kutukana!?

Mie hiyo Tanga-Nyikwa nafahamu kupita kiasi...ni bakhti mbaya tu yakuwa humu JF hatufahamiani Mkuu! Utastaajabu yakuwa wewe labda ndo itakua mgeni hapo Tanga-Nyikwa!

Kwa hiyo acha kujipa false hope na ati kujidanganya yakuwa hapo Tanga-Nyikwa hapana ukabila ulokubuhu na pia udini/Islamophobia!? Weye unaishi wapi Mkuu wangu!?

Nina mangi ya kukwambia...lakini tu kiduchu jiulize yale mapigano yalokubuhu mpaka kulazimisha mauaji ya takriban watu 18 kati ya Wandamba na Wasu-k.u.m.a kule Ifakara.Malinyi,Mahenge na Ulanga...je ile nini!?

Wafahamu yakuwa ilimlazim IGP wa Police ende pale kwa haraka na baadhi ya majeshi yalokua ile Mikoa ya jirani kuwekwa on standby!?

Mie kwenye bayana yangu ilopita nimekuuliza specific questions...lakini nilikhis Mkuu yakuwa hautakua na majawaba yenye mantik asilan,ndo matokeo yake ati umenijia na hizo triangular excuses/explanations!? Dah!

Sasa nitajie wapi umeshawahi kusikia pale Zanzibar...makabila/families zipi ziliuana kwa ukabila!?

Sitarajii kunitajia ule upuuzi wa yale mauaji/nakma ya 1964!?...maana hii nayo ni subject/Topic nyangine kabisa!!

Mkuu mie nduguyo hiyo history/Anthropology na Philology ya dunia/ulimwengu mzima, ninafundisha na ukilazimisha nitakuwekea ushahidi hapa japo kiduchu! Kwa hiyo nina some sort of authority!

Sikutishi wala si dasturi yangu majigambo asilan...lakini ufahamu yakuwa nafahamu nini ninachozungumza tena kiundani mno na wala sibahatishi! Kwa hiyo huna haja ya kunitumia hayo maelekezo/"hoja" yako dhaifu!

Nisingalipenda kwa sasa kukutaka ku-substantiate hizo statistics/figures hapo ulizotaja wala sources zake...maana itatulazim chokonoa mangi mno!? Nafikiri mie binafsi utaona nalijaribu kumtahadharisha huyo mleta mada!!

Nimefurahika,yakuwa kwa sasa nakukhis waelekea kurejea kwenye mazungumzo mema na yenye staha...basi labda mnakasha sasa utapoa dharuba na hoja zilo njema kutawala!?

Ahsanta.
Mkuu gombesugu

Huyo jamaa mnafiki sana, wao ndiyo wanaanza kutoa lugha za kejeri na matusi wakijibiwa wanaanza kulalamika hawa hawajui kuwa sisi ni waungwana sana kama watafanya mnakasha kwa lugha za stara, ebu msome huyu kauzu hapa chini.
Mkuu,
Unachopaswa kujua ni kwamba wengi wanaoandika hapa kuwatetea waarabu ni walewale uliowaita waarabu koko!Walewale ambao hawataki mapinduzi hayo yaitwe matukufu kwa kuwa mamia ya waarabu waliuawa na wengine kuikimbia Zanzibar!
Yawezekana kabisa Wazanzibar wazalendo hawana hata access na JF,au wanaamini kuwa hawa ndio wasemaji wao wa mambo ya Zanzibar wakati hata hiyo historia wanaipotosha!
Mapinduzi haya yalikuwa ni matukufu kwa kuwa yaliondoa nguvu kutoka kwa mkoloni mwarabu aliyekuwa akibaka watumwa,akitesa watu weusi na kunyang'anya haki zao.
Haiwezekani yasiwe matukufu eti kwa kuwa waarabu waliuawa wakati miaka yote takribani 500 waarabu wamekuwa wakibaka,kupiga na kuua watumwa!
Wengine hapo ni zao lilelile la ubakaji wa watumwa lakini kutokana na 'fikra za kitumwa' wanaendelea kuogopa ukweli wa historia,wanatamani usultani urudi ili angalau waendelee kufaidi hadhi ya 'dugu ya sultani!

Hakuna kitu kibaya kama UTUMWA WA FIKRA!
Asante!
Sasa wewe kauzu eti unalalamika umetukanwa, unadhani wewe kutumia lugha za kifedhuri humu JF watu wengine hawawezi, kama umeamua kutumia hizo lugha tulizana mipini uingie kwenye hoja.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu,
Kwanza kabisa nikushukuru kwa matusi!
Ni kweli kuwa mimi ni mtu wa bara!Na kama ulivyosema yawezekana nikawa mhaya au msukuma au kabila lolote lile!Japokuwa nimeshangazwa wewe kuniita kwa kabila,labda nikukumbushe tu huku tulishaacha habari ya kuitana kwa makabila!Ukabila ulishakwisha!Sisi ni watanganyika sasa!Japo kuwa nyie ndio mlikuwa mkiturudisha nyuma kwa hoja zenu za udini zilizokuwa zikilichafua Taifa!Natumaini mkijitenga mtakuwa mmetusaidia sana kurudisha umoja wetu wa Tanganyika!

Pili,nikukumbushe tu hawa waarabu waliofika bara hawakuja kwa bahati mbaya,walikuja kwa biashara zilezile kubwa walizokuwa wakifanya.Biashara ya pembe za ndovu(ivory),Mashamba ya mkonge na Watumwa.Waarabu wote unaowaona katika mikoa hiyo ni kizazi kinachotokana na waliokwenda kuendesha biashara hizo.

Pia unapaswa kujua kuwa biashara zote zilikuwa ovu.Kwani zilihitaji nguvu kazi ambayo ilifanya nguvu ya ziada ya kuteka watu kwenye vijiji na kuwafanya watumwa itumike!Kwa hiyo familia zilivunjika,Baba alipoteza mke,mama alipoteza mwana na nguvu kazi ya maendeleo katika eneo husika kupotea.Hili si suala la kufurahia hata kidogo!!!!
Watumwa takribani 50,000 waliingizwa kisiwani Zanzibar kutoka bara na waarabu kila mwaka na takribani watumwa 80,000 walikufa njiani kuelekea kisiwani humo!Kwa hiyo kama kweli Una uchungu na hao waarabu ,wahindi na waasia 18,000 waliokufa kutokana na mapinduzi matukufu lazima utakuwa una matatizo kumkichwa!

Kusema kuwa hakuna mzalendo aliyekufa kutokana na utawala wa waarabu,huo ni upotoshaji wa ajabu unaohitaji maombi!

Mwisho,nakuomba upunguze matusi.Yanapunguza nguvu za hoja yako.Na pia hayatawasaidia pale mtakapokuwa mnaijenga Zanzibar mpya,sana sana mtaendelea kulifanya lionekane ni Taifa lenye vichwa 'chakavu'!

Asante!
Acha kulia lia ngoja nidadavue bayana zako kiduchu, ebu jisome hapa chini mlivyokuwa mnatoa kejeli.
Mkuu,
Unachopaswa kujua ni kwamba wengi wanaoandika hapa kuwatetea waarabu ni walewale uliowaita waarabu koko!Walewale ambao hawataki mapinduzi hayo yaitwe matukufu kwa kuwa mamia ya waarabu waliuawa na wengine kuikimbia Zanzibar!
Yawezekana kabisa Wazanzibar wazalendo hawana hata access na JF,au wanaamini kuwa hawa ndio wasemaji wao wa mambo ya Zanzibar wakati hata hiyo historia wanaipotosha!
Baada ya kutoa matusi na kejeli bado ukaona haitoshi ukaendelea tena jisome hapa chini.
Wengine hapo ni zao lilelile la ubakaji wa watumwa lakini kutokana na 'fikra za kitumwa' wanaendelea kuogopa ukweli wa historia,wanatamani usultani urudi ili angalau waendelee kufaidi hadhi ya 'dugu ya sultani!

Hakuna kitu kibaya kama UTUMWA WA FIKRA!
Asante!
Sasa mtu kama wewe kweli kuna mtu atafanya mjadala na wewe kiungwana, kama unajiamini hii lugha yako ni sawa usilie lie kuwa umetukanwa kama kisu kimegusa mfupa.
 
Unamaanisha nini unaposema WAARABU KOKO?

Waarabu koko ni nyie wagunya mliokuwa watumwa wa kuchuma karafuu. Tatizo mmejifunza kiarabu kidogo na kujua kunywa kaawa na kashata alafu mnajifanya sio wafrika ni waarabu. Na usizani namaanisha machotara bali kunamijitu mingine myeusi kama mkaa alafu inajiona sio waafrica kama watu wa bara.
 
Back
Top Bottom