Miaka 6 ya Hayati Magufuli mshahara uleule, miezi 3 ya Rais Samia Suluhu mshahara wangu umebadilika

Miaka 6 ya Hayati Magufuli mshahara uleule, miezi 3 ya Rais Samia Suluhu mshahara wangu umebadilika

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Habari,

Ndani ya miaka 6 ya Magufuli niliambulia annual increment moja tu ya November 2017, ambacho ni kiasi kidogo sana.

Kwa ufupi mshahara haujaongezeka katika kipindi chote hicho.

Miezi 3 tu ya Rais Samia Suluhu salary slip yangu pale juu imebadilika.

Watu wa imani tunaamini kuwa mateso ni zao la uasi na Ibilisi bali Neema ni zao la haki na Mungu.

Hivyo basi huhitaji kuombewa ili upate kujua kati ya Rais Samia Suluhu na Rais Magufuli ni nani chaguo la Mungu na ni nani chaguo la shetani kwa watumishi wa umma.

Sizungumzii kwa wananchi, wafanyabiashara, wakulima au kundi jingine lolote, nazungumzia kwa watumishi wa umma.
 
Mishahara inapanda na vitu vimepanda bei isivyo kawaida. Ni lini tutaacha unafiki? Mh. Rais Mungu akupe afya na nguvu ushuhudie mengi kwetu walalahoi aka choka mbaya aka heri ya Jana kuliko leo, "tia maji tia maji"
 
Pole kwa mikopo lukuki na salary advance
Ndugu naona una sonona. Nimeandika kuwa mabadiliko yako juu kwakuwa pale ndipo panapoongea kuwa salary yako iko vipi.

Sasa kwa akili zako unaweza kuongezewa mshahara halafu take home isibadilike?

Sasa kama take home haijabadilika kulikuwa na haja ya kusema mshahara wangu umepanda?
 
Mishahara inapanda na vitu vimepanda bei isivyo kawaida. Ni lini tutaacha unafiki? Mh. Rais Mungu akupe afya na nguvu ushuhudie mengi kwetu walalahoi aka choka mbaya aka heri ya Jana kuliko leo, "tia maji tia maji"
Hiyo ni dhana mfu.

Magufuli aliingia madarakani cement mfuko elfu 10 kafa hajaongeza mshahara lakini cement ilipanda bei tayari.

Nondo, misumari, bati, na material yote ya ujenzi yalikwishapanda bei mara dufu hata kabla ya mshahara kuongezeka.

Sasa vikiongezeka ndio iwe sababu kwakuwa salary ya baadhi yetu imepanda?

Ngoja nikakope nifungue kanisa.
 
Hongereni wafanyakazi wa umma,

Wananchi sisi tunasubiri neema ya mvua tuanze kilimo then tuone je kuna mabadiliko kwenye bei au ndio yale yale matumaini yanayo kokotolewa kwenye karatasi na utekelezaji ni kuambulia hasara.
 
Hiyo ni dhana mfu.

Magufuli aliingia madarakani cement mfuko elfu 10 kafa hajaongeza mshahara lakini cement ilipanda bei tayari.

Nondo, misumari, bati, na material yote ya ujenzi yalikwishapanda bei mara dufu hata kabla ya mshahara kuongezeka.

Sasa vikiongezeka ndio iwe sababu kwakuwa salary ya vaadhi yetu imepanda?

Ngoja nikakope nifungue kanisa.
Kuna watu unajiuliza kwa mawazo wanayotoa kama walistahili kuwa binadamu.
 
Unahitaji kuombewa ili ujue kuwa mshahara wako hautakufikisha popote.

Utakufa masikini sana
 
Hiyo ni dhana mfu.

Magufuli aliingia madarakani cement mfuko elfu 10 kafa hajaongeza mshahara lakini cement ilipanda bei tayari.

Nondo, misumari, bati, na material yote ya ujenzi yalikwishapanda bei mara dufu hata kabla ya mshahara kuongezeka.

Sasa vikiongezeka ndio iwe sababu kwakuwa salary ya vaadhi yetu imepanda?

Ngoja nikakope nifungue kanisa.
Duh Kanisa tena mkuu?!halafu kwa hela ya mkopo?

Kumbe huwaga yanalipa eh!


Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
 
Hiyo ni dhana mfu.

Magufuli aliingia madarakani cement mfuko elfu 10 kafa hajaongeza mshahara lakini cement ilipanda bei tayari.

Nondo, misumari, bati, na material yote ya ujenzi yalikwishapanda bei mara dufu hata kabla ya mshahara kuongezeka.

Sasa vikiongezeka ndio iwe sababu kwakuwa salary ya vaadhi yetu imepanda?

Ngoja nikakope nifungue kanisa.
We unaumwa mk** toka kwa shemeji hapo unambana tu dadako nenda kajitegemee
 
Back
Top Bottom