Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
- Thread starter
-
- #21
Duh Kanisa tena mkuu?!halafu kwa hela ya mkopo?
Kumbe huwaga yanalipa eh!
Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
We unaumwa mk** toka kwa shemeji hapo unambana tu dadako nenda kajitegemee
Nashukuru mkuu kwa kucheka ila ujumbe umefika Ahsante.Ahahahahaha.
Nimeishia kucheka tu, hata kukujibu nimeshindwa.
All in all umeniongezea furaha kwa post yako hii
Ujumbe wako ni sahihi ila umefika kwa mtu asiye husika.Nashukuru mkuu kwa kucheka ila ujumbe umefika Ahsante.
AiseeYule Ibilisi katuchelewesha sana
Kwani Magu anasemaje huko motoniHabari,
Ndani ya miaka 6 ya Magufuli niliambulia annual increment moja tu ya November 2017, ambacho ni kiasi kidogo sana.
Kwa ufupi mshahara haujaongezeka katika kipindi chote hicho.
Miezi 3 tu ya Rais Samia Suluhu salary slip yangu pale juu imebadilika.
Watu wa imani tunaamini kuwa mateso ni zao la uasi na Ibilisi bali Neema ni zao la haki na Mungu.
Hivyo basi huhitaji kuombewa ili upate kujua kati ya Rais Samia Suluhu na Rais Magufuli ni nani chaguo la Mungu na ni nani chaguo la shetani kwa watumishi wa umma.
Sizungumzii kwa wananchi, wafanyabiashara, wakulima au kundi jingine lolote, nazungumzia kwa watumishi wa umma.
Kwani Magu anasemaje huko motoni
Ingependeza ukiambatanisha vithibitisho vya kupanda kwa mshahara wako pamoja na uzi huu kwa maslahi ya umma unaopitia uzi huu mkuu.
Alizidi o sana Mkuu...he was too MuchHivi hamuwezi mpa pongezi Mh Rais aliyepo hadi mumkashifu Hayati?
Hivi hamuwezi mpa pongezi Mh Rais aliyepo hadi mumkashifu Hayati?
Wewe jamaa utakuwa unafilimbwa ulembe siyo bure. Usilazimishe watu waheshimu hilo shetani lako. Muhimu limeenda kuwasalimia lililowaua kina Akwilini, Saanane, Azory n.k.Mkuu tuamini kuwa hajaenda likizo au kwenye matibabu tuamini kuwa anefariki na kuzikwa tumpe heshima kulingana na tamaduni zetu.Tujue tunawaumiza sana wana familia yake wanapoona hivi. Imagine mtoto wako baada ya wewe kufa akaja ambiwa kuwa baba yako alikuwa shoga japo ni kweli ila itamuharibu kisaikolojia maisha yake yote.
Wewe jamaa utakuwa unafilimbwa ulembe siyo bure. Usilazimishe watu waheshimu hilo shetani lako. Muhimu limeenda kuwasalimia lililowaua kina Akwilini, Saanane, Azory n.k.
Ye ndio familia yake inaumia? Familia za kina Ben, Lissu, Azory hazina maumivu???Mkuu tuamini kuwa hajaenda likizo au kwenye matibabu tuamini kuwa anefariki na kuzikwa tumpe heshima kulingana na tamaduni zetu.Tujue tunawaumiza sana wana familia yake wanapoona hivi. Imagine mtoto wako baada ya wewe kufa akaja ambiwa kuwa baba yako alikuwa shoga japo ni kweli ila itamuharibu kisaikolojia maisha yake yote.
πππPole kwa mikopo lukuki na salary advance