Miaka 60+ nchi inajadili uhaba wa sukari?? CCM hebu kaeni pembeni

Inasikiitisha sana na kuumiza ukiacha kuudhi, hapa tunasikilizia sijui muda gani watakata, wanatufanya tuwe watumwa muda wote unatizama simu, nchi ya maajabu hii.

Mungu tukumbuke Kwa kutifumbua macho na akili zetu.
 
Kuna Kagera Sugar, Kilombero Sugar, Mtibwa Sugar na T.P.C lkn bado eti tunahangaika. Nani katuloga kama siyo CCM??

Sent from my Nokia 7 plus using JamiiForums mobile app
 
Huyu aliyejipa uenyekiti wa milele ndio tumpe nchi? Kuweni serious basi
Ccm inaiba kura Kwa faida ya wananchi au genge lao!? Hushangai Samia anaogopa kinyang'anyiro cha urais chamani mwake anataka awekewe fomu Moja wakati hajawahi hata mara Moja kupitishwa kwenye chujio la mkutano Mkuu kama waliopita!
 
Suppose kweli wakae pembeni, kuna nani wa kui replaces CCM?.
P

Kwani unadhani atakosa wa kufanya replacement?

Acha uoga hakuna kitakachodumu.

Kwenye chaguzi wapinzani waliposhida hizo sehem waliposhinda kuna kilichosimama kisa hamna mwakilishi wa ccm au mbadala?

Acha hofu za baadae kesho itajijua sio kukariri bila flani mambo yatakwama, mf: Familia ngapi bado zipo na wategemezi wao hawapo? Hata mambo yakienda kombo kisa flani hayupo basi hiyo ndivyo imepangwa iwe!
Sio kuhoji kuna nani wakui-replace ccm!
Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho ni muda tu haujafika na uoga wa Watanzania kufanya maamuzi ila naamini kizazi kinakuja hakita kubaliana na maelezo yako tuombe uzima ujionee!
 
NCHI YA HOVYO HII
MATUNDU YA VYOO MADAWATI ni mjadala
Tunachagua VIONGOZI wa WASIOFAA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Alafu kuna mtu Anazunguka mikoa kibao na misafara yenye magari lukuki
Anatumia gharama kubwa eti kutatua changamoto [emoji1]
-""#Β£ aise nchi hii ina vituko

Ova
Mtu mwenyewe mpumbavu,kakutana na wapumbavu hivyo lazima awe mwenye kuonekana mwenye akili sababu hata kwenye kundi la wapumbavu Kuna mwenye afadhari.
 
Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho ni muda tu haujafika na uoga wa Watanzania kufanya maamuzi ila naamini kizazi kinakuja hakita kubaliana na maelezo yako tuombe uzima ujionee!
I'm praying to God to grant me HIS Grace to witness this day! kwasababu mimi ukweli wangu ni huu Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…