Miaka 60 ya Uhuru: Hawa ni wanafunzi wa shule ya msingi wakiwa darasani

Miaka 60 ya Uhuru: Hawa ni wanafunzi wa shule ya msingi wakiwa darasani

Watoto wa mbunge wao walikuwa wanasoma shule ya kulipia inaitwa Martin Luther hapo Dodoma. Shule bora sana
 
Write your reply...Napendekeza lake zone tujitenge na hili li nji lenu
 
Sisiyemu ni adui namba moja wa taifa ili. Sijui huwa wanawaza nini viongozi wetu. Hapo unakuta libunge nilishangalia jimboni kwakwe kununua ndege.
 
Mtera si ndo kwa jon malechela,

kweli kwenye miti hakuna wajenzi
Ndio sehemu ambayo mwaka juzi watafiti waliuawa wakidhaniwa nyonya damu , sasa fikiria watu hao wana uelewa wa kiwango gani .
 
Hizi tozo za mzee madelu ni wapi huko huwa zinajenga, au ni sound tu.....
 
Aloturoga hii nchi kafa, na utakuta mbunge wa jimbo kama hilo anapewa kura kwa miaka hata 20 mfululizo.
 
Back
Top Bottom