Miaka 63 baba mdogo hajawahi kurudi nyumbani

Hana hela halafu anakuja kupiga kelele humu, mbafu zake
Kuna siku mtu mmoja akaandika hawez kula mihogo.mie nikasema sehem nilozaliwa hakukua na bamia .so mie bamia na nyanyachungu zinanishindaga kbs nasismka ..akaja na flastuesheni zake...ohh unajidai Sana...khaa...Sasa km Kuna mtu ameshidnwa kula mihogo Mimi nishindwe bamia na kisamvu we unaweweseka Nini?? Asinipangie Cha kuandika Babu wee...sidhani km nimewahi andika uongo..ili iwaje Sasa...! Apambane na ufukara wake bwana wee!..
 
Shikamoo mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…