Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Asante sana, japo sijapoa wanguPole...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana, japo sijapoa wanguPole...
Alopotea ni Nani!?dahAsante sana, japo sijapoa wangu
Hujawah kutuma au kutumiwa na ya kutolea jiulize kabla ya muhamala nn hufanyika kablaHivi mtu anajilegezaje kupitia maandishi.?
Kaka yanguAlopotea ni Nani!?dah
Kuna siku mtu mmoja akaandika hawez kula mihogo.mie nikasema sehem nilozaliwa hakukua na bamia .so mie bamia na nyanyachungu zinanishindaga kbs nasismka ..akaja na flastuesheni zake...ohh unajidai Sana...khaa...Sasa km Kuna mtu ameshidnwa kula mihogo Mimi nishindwe bamia na kisamvu we unaweweseka Nini?? Asinipangie Cha kuandika Babu wee...sidhani km nimewahi andika uongo..ili iwaje Sasa...! Apambane na ufukara wake bwana wee!..Hana hela halafu anakuja kupiga kelele humu, mbafu zake
Labda nimewahi mdekea snipe hela..muulize ajibu hapa...mijitu mijinga Sana humu...una stress za maisha hangaija nazo mwenyeweHivi mtu anajilegezaje kupitia maandishi.?
Atakua machimboni huyo😄😄! Amini hiliKaka yangu
Kuandika tu yenyewe shida..unahangaikia na mimi..eti muhamala😏😏Hujawah kutuma au kutumiwa na ya kutolea jiulize kabla ya muhamala nn hufanyika kabla
Pambania umaskini wako...farasi wewe!..nijilegeze kwa kipi..konyo we...ninaandika coz hakuna anayelipia pumzi yangu..hutaki niignore! Mxiew
Utajijuu ..usinichosh mie..pyeeView attachment 1504674hongera sie hata airport tunaishia kuziona kwenye TV tuu
Huwezi amini alikuwa mfanyakazi wa serikali kabisa na alikuwa na mke na mtotoAtakua machimboni huyo[emoji1][emoji1]! Amini hili
Sasa airport ndo unaona deal au? MxuewView attachment 1504674hongera sie hata airport tunaishia kuziona kwenye TV tuu
Mke anasemaje?? Duh..hiyo so kawaida...duhHuwezi amini alikuwa mfanyakazi wa serikali kabisa na alikuwa na mke na mtoto
Airport sio Inshu Bali inshu n kusoma magazine ya ma mbele na exposureSasa airport ndo unaona deal au? Mxuew
Airport sio Inshu Bali inshu n kusoma magazine ya ma mbele na exposure
Mambele makalio yako, mxiuuuuu mbafu weweAirport sio Inshu Bali inshu n kusoma magazine ya ma mbele na exposure
Shikamoo mzeeWakati anaondoka nikikuwa darasa la sita, nikipomaliza elimu ya sekondari mwaka 1976 niluajiriwa moja kwa moja na Shirika la Reli mjini Tabora. Mwaka 1981 nikahamishiwa Mwanza ndipo nilipomkuta kaka anaendelea kubangaiza maisha yalishampiga sana. Mwishowe mwaka 1988 akaja nyumbani kwangukuniomba nimpeleke nyumbani. Ndipo tarehe 3/9/1988 nikampeleka. Mimi matukio muhimu huwa ninaandika kwenye daftari langu la kumbukumbu.
Badili mindset wewe chizi ....kuwa positive...na mm nilikua nachukia wanaomwagia maji road na gari zao Kali...nikaamua kuwakubali..jikubali na Hali ulonayo ..mengine yatajiset!..pole Sana!Kumbe mpo wengi Hilo linaitwa JIWE GIZANI
Shikamoo mzee