Miaka 63 baba mdogo hajawahi kurudi nyumbani

Miaka 63 baba mdogo hajawahi kurudi nyumbani

Muda mwingine inakubidi , kukaa pembeni , maana wanadamu wanaokuzunguka ni shida bin taabani , mim naona uzi huu ni mzuri sana , maana una akisi uhalisia wa maisha kabisa , tena bila chenga . Inafikia hatua unaambiwa ww una jaza choo , tu unakuwa mweupe tu , na maneno mengineyo yanayoweza kuku haribu ki fikra kabisa , binafsi mimi baada ya kuona uzi huu nkaona kumbe nikiondoka hapa napokaa itakuwa vyema sana .
kwan bro ulishawah kujaza choo peke ako? ndugu askupasue kchwa ukajkuta umeenda kutesa nafsi yako bure Anasemwa Ngurue na din nzima na bado ananenepa sembuse ww na ndugu hawazd ata 20
 
Hivi wanakutaka nini hao wendavichaa!!??
Mbona sijawahi ona ukimkera mtu.

Hii ni mara ya pili.. Last two weeks kuna raia tena zilikuletea wenge.

Usiwajibu. 😘
Msweetie amelala subiri akiamka atakuja,
Lakini usimchokeze pm maana ni wifi yangu, sawa
 
Hivi wanakutaka nini hao wendavichaa!!??
Mbona sijawahi ona ukimkera mtu.

Hii ni mara ya pili.. Last two weeks kuna raia tena zilikuletea wenge.

Usiwajibu. 😘
Labda niwaombe waniignore...yaani wanataka nisiandike... Sijui wanasumbuka na nn na mm..Maana nikiandika naonekana najua kila kitu .tumepishana kuanzia malezi na makuzi ..jamani niignore uwe na amani na jf!💕💕! Naandika nikimaanisha.. siandiki mradi nimeiandika iweje kwanza
 
acha uboya wewe dogo! yani unamkuta mtu jf haumjui unaanza kumpangia maisha?! mbona kuna process za ku ignore mtu kama hutaki kusoma msg zake
Huyu chanzo Cha kunichukia Kuna Uzi mtu alisema hawez kula mihogo..
Mie nikasema siwez kula bamia na nyanyachungu na kisamvu..coz nilopozaliwa hakukua na hizo Mambo..bas akanivamia na uswahili wake ..eti we demu unaringa Sana ..amesahau Kuna mwingine amesema Hali mhogo..Ila mie nikaonekana naringa! Yaan mtu anakupangia uishi vipi ..bahat mby siwez kumfurahisha mtu awaye yyt yule!..hayo ndo matokeo ya umaskini wa akili ulokithiri!
 
Nilimrudisha shemeji yangu kwao kiaina bila ya yeye kutaka, kulikuwa na msiba wa mtoto wa Kaka yake mjini ikabidi tusafirishe kupeleka kijijini kwao wanae wakanitonya kwamba maiti ikipandishwa kwenye gari yeye atatoroka hivyo niwe naye karibu nilichofanya nikamwambia tutaondoka gari moja akakataa nikaongea na driver na wale ambao nitaondoka nao wapande kabisa yeye alipoingia driver akaondoa gari [emoji2][emoji2] jamaa kasahau kwao Bahati tulikuwa na mtoto wa marehemu ndio akatuongoza kila nikimuuliza husband hapa wapi anajibu sijui. Tulipofika yaani watoto na vijana walikuwa hawamfahamu kabisa japo wengine wanajina lake. Tulizika nikamtoroka akakaa siku tatu akarudi hajaenda tena. Ila watoto wake walikuwa wanakwenda hadi sasa. Kisa anadai mwaka 1967 walimuulia mwanae na baada Kaka yake alitakiwa kuwa mrithi wa Baba ghafla akawa bubu Kwa hasira akasema harudi tena kwao.
 
Hii habari yako ni questionable! Mjombake mama aliondoka 1980's mama akiwa mdogo akaja kurudishwa 2000's wewe umshamaliza sekondari. Hebu eleza vizuri.
Kweli ngumu kumeza labda kama mama aliachwa na umri wa miaka14-16.
 
😆😆😆😆😆 maza mtoto wa kwanza had 3 was girls ..baba akamwambia sijakuona uzae mademu nenda kwanza kwenu😆😆! Aliporudi ndo tukapatikana sisi .hahaha..mie men wa hivyo mbona namchinja usk
Wapuuzi hao Mie wife kanizalia mabinti tu sioni sababu ya kumnyanyasa tena tayari yupo Menopause.
 
Back
Top Bottom